Acha tu, soft si kidogo na pale unapopewa mkono wa hongera shurti mkono kuteleza..
Sent using Jamii Forums mobile app
Napita tu kuangalia warembo Kama Toto la kitutsi MBITIYAZA [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
hahahahahah uson full vurrugu rangi 4 kwenye jicho hahahaahha jaman mie nachekaga kila nikumbukapo !kha kuna watu jamn wanachafua nyuso za watu
Rangi 4 ?!!, Hahah!, huko ni kuchafua jicho haswa!
Si unajua lakini wengine wanavyopenda vitu vya kuwaka waka, iwe mchana iwe usiku...lol
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha si ndio bishost kwa picha alivyotibuliwa usoni hahaha jaman !yeah kuna wengn wanataka ming'aoooo huhu
qwi qwi kuna saloon maaruf huko dar hahaha uwii !remba yao mie nilishawagawa !lol! ova misukule jaman !ming'aro ng'aro weeekha !hahaha
ahaaaahhhhaaaaaaaaaaaaaa ! kitu mng'aro had nguo uwi
Ndio vinini hivyo?!!!!Hahah!, unaogopa utaweka kwa jicho.
Sasa twizzer naona ndo hutaki hata kuzisikia! [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashindwa kuelewa Kwa nini huwa wanadhani mtu unataka kupendeza kwa ajili yao tu.
Mtu akijiweka vizuri hata anajisikia vizuri na kuwaza mazuri.
Basically, kupendeza lift up the mood.
Hahaha!, gaal!, mwisho kuvaa beach wear lini! [emoji2]
Again, all the best na safari! [emoji12]
Naomba dhawadi ya perfume, isiwe Pampula tyuu...lol
Halafu usiwaambie espy Heaven Sent na Neybright
Ntawapea ma empty bottles ikiisha..[emoji124]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio vinini hivyo?!!!!
Yaani urembo wowote wa kope umenishinda.
Hakwepi mtu hapa, tena ngoja tuanze kuagiza nywele za mtoko Ulaya..
Cc Heaven Sent espy
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooooh kumbe hiyo!! Waxing tu siku ya kwanza kidogo nikimbie. Hiyo mfanye wenyewe tu kwakweli. Mie tachonga kawaida tu.ahhaha twizer inakaa muda mref huot oti manyus sema inamaumiv uwiii
Oooooh kumbe hiyo!! Waxing tu siku ya kwanza kidogo nikimbie. Hiyo mfanye wenyewe tu kwakweli. Mie tachonga kawaida tu.
Yaani acha kabisa.teh teh kweli waxing inauma
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] msaidie
Ndio vinini hivyo?!!!!
Yaani urembo wowote wa kope umenishinda.
ahhaha twizer inakaa muda mref huot oti manyus sema inamaumiv uwiii