So East Africa hakuna hata mmoja?Mkuu hilo lipo wazi, weusi wote wa Amerika ni kutoka W.Africa. Walichukuliwa toka huko kwa sababu kuu mbili, mosi, walitaka watu wakubwa wenye miili mikubwa na nguvu ili wafanye kazi za kutumia nguvu na ukiangalia hadi leo West Africans wana miili mikubwa kuliko watu wengine wote wa Africa, pili ilikua kwa sababu za ukaribu. Ni karibu kutoka nchi kama Nigeria kwenda Amerika kuliko wangekuja kuchukua watu toka nchi kama Malawi(wadogo, wafupi na mbali yani landlocked) hasa ukizingatia usafiri wa wakati huo.
Tanzania tunae 50 cent [emoji4]So East Africa hakuna hata mmoja?
Kuwalinda ni kuwaacha waishi Kama walivyozoea si kuwaingilia. Wakiingiliwa ndo watapotea mara moja, kama wameishi millennia kadhaa bila kuingiliwa Basi wataendelea kuwepo hata kwa uchache au wataamua kujichanganya na wengineMkuu kwa population hiyo hakika 20 years to come watatoweka, binafsi nadhani UN hawana mkakati thabiti wa kuwalinda kama wanavyofanya kwenye maeneo mengine yanayotambulika kama Urithi wa Dunia.
Labda wapo ila sio kwa wingi Kama watu toka West Africa. Ushahidi wote unaelekezea West AfricaSo East Africa hakuna hata mmoja?
Hapana wengi zaidi bado wanaipenda Afrika. Hawapendi neno African American sababu linawatenga na kuwabagua wakati wao wameshiriki kuijenga America kama ilivo kwa wazungu ambao hawaitwi kutokana na sehemu zao za Asili. Kuhusu kupatana na waafrika mbona hawana shida nao ndo mana wasanii wao wanafanya sana collabo na waafrika siku hizi ila kinachoweza kuweka kadaraja ni tamaduni tu coz hizi jamii mbili zimetengana muda mrefu sana.
Hii ni kweli kabisa! Ila siwezi kuwaita wash***y kabisa, ni kasumba tu tuliyo nao watu weusi.Ila cha kushangaza hao black american hawapendi kabisa kuitwa waafrika. Na pia ni rahis mno kwa mtu kutoka afrika kuwa na urafiki na whites kuliko hao black american.
Watu weusi kweli tunalaana. Yaan wao huko kwao ukienda wanatutenga na kutuona sie ni kama tunawaaibisha.
Wakati sie huku tunawapenda na kuwasupport. Shenzy kabisa hao black americans
Yaah ni kweli ulichosema kuhusu uhusiano wa wamarekani weusi na waafrika, hilo pia nimelisikia pia kwa watz waliosoma Marekani. Ila nimeona pia baadhi ya wamarekani weusi wakihamasishana kuja kutembelea Afrika na kuwafunza watoto wao kuhusu mazuri ya Afrika.Jamaa ndio waliyojenga USA hiyo nakubali, lakini wanaona waafrka wanawaaibisha sana. Hawapendi waafrika muulize mtu yoyote aliyeishi USA atakwambia. Mimi nimeishi USA over 15 years so najua nnachoongelea. Kuna weusi wa USA waaamini wao asili yao Africa bali ancestors wao ni black jews.
Like serious??[emoji23] [emoji23] [emoji23]Tanzania tunae 50 cent [emoji4]
Huu ni uongo ukisema wanapambana na ubaguzi na kupigania haki zao nakubali kwa 100% lakini kamwe hawajivunii asili yao ya kuwa wao ni waafrika.Ni kweli Brazil inaongoza kuwa na watu weusi wasiojivunia uafrika na hawapendi kujitambulisha kama weusi. Pongezi nyingi wapewe weusi wa Marekani hawa pamoja na utumwa na ubaguz ila wamepambana kudai haki zao na kujivunia uafrika wao na wamejenga influence kubwa kupitia sekta ya burudani, michezo,n.k
Acha uongo ndugu kuhusu kujivunia rangi nyeusi ni kweli lakini kuipenda Africa hapo umebugiHapana wengi zaidi bado wanaipenda Afrika. Hawapendi neno African American sababu linawatenga na kuwabagua wakati wao wameshiriki kuijenga America kama ilivo kwa wazungu ambao hawaitwi kutokana na sehemu zao za Asili. Kuhusu kupatana na waafrika mbona hawana shida nao ndo mana wasanii wao wanafanya sana collabo na waafrika siku hizi ila kinachoweza kuweka kadaraja ni tamaduni tu coz hizi jamii mbili zimetengana muda mrefu sana.
Kule kwetu mzee.Alafu kuna mpumbavu mmoja.anataka kuitenganisha AFRICA NA AMERICA.
I see someting in this articleBrazil walikuwa zaidi ya million 100 lakini washenzi wazungu wakaleta policy ya whitening kuiondoa rangi nyeusi 1960s. Na Wamefanikiwa kabisa kwasababu machotara ni wengi Na weusi waliobaki hawaoani Sana wenyewe kwa wenyewe Ni nadra Na wanajidharau sana. Pele kazaa Na mweupe watoto wake machotara.
Yani tayari wameshawapandikizia mbegu akilini kuchukia uweusi wengi wameintermarry Na natives. Upande wa Kaskazini Ni weupe wengi kusini weusi wengi.
Huko Argentina balaa wamefanikiwa kutokomeza uweusi kabisa.
Weupe wengi was Brazil Ni asili ya Ujerumani, ureno, italia Na ufaransa. Fikiria kutoka million 100 Hadi 55.
Ila kinachonifariji ni baadhi ya hao weusi mabantu wanatrace their origins kutoka Yoruba Nigeria Na wanafuata Mila za mababu zao.
Sasa Muambie Ronaldo de lima wee Ni mweusi anaweza kukutandika wakati babu zake Ni manigger
Pia Cuba hivyohivyo wanaitwa milato
Duhh kule noma ukikutwa unasoma biblia unapata shida sanaNorth korea mbona,ume isahau [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahaaaUkome. Mi sio mume mwenza