Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 15,328
- 11,192
Kwa mwonekano wa beat nadhani ni yeye.iviii enomike ya ziggy D altengeneza nan?
sio yeye kweli?
Album ya Historia ya kweli ya Dully, nyimbo nyingi katengeneza yeye.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mwonekano wa beat nadhani ni yeye.iviii enomike ya ziggy D altengeneza nan?
sio yeye kweli?
Hizo za akina mandojo ni pfunkMkiwa - K sal
Utanikumbuka - Vumilia
Wanok nok - Dojo na Domo
Nishike mkono - Jide & Mad Ice
Niaje - Dojo na Domo Feat Juma Nature
Eno mick - Ziggy Dee
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli Mkuu. Wimbo ambao kina Mandojo walirekodi kwa P Funk ni "Nikupe".Hizo za akina mandojo ni pfunk
Ile albam yote walirekodi kwa majaniSio kweli Mkuu. Wimbo ambao kina Mandojo walirekodi kwa P Funk ni "Nikupe".
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana. Walirekodi wimbo mmoja tu wakakorofishana na Majani, wakaenda kumalizia nyimbo zilizobaki kwa Miika.
It's Ol Ok mkuu! Ila hairuhusiwi kum expose mtu humu!Dah nimekulia mtaa huo huo miaka yote mpaka sasa,nadhani wewe nakujua,utakuwa dickson chilalile aiseee.Long sana mkuu
Alitengeneza pia vituko uswahilini ya suma gChidi benz ft mzee yusuf - Raha za dunia.hivi huyu jamaa anatumia jina gani kwenye social media?.
Alafu kuna mhindi alikuwa anaitwa Amit Mental alietengeneza nyimbo ya Noorah - vijimambo sjui yuko wapi huyu jamaa,kuna mwenye habari zake?
We utakuwa bado unaomba hela ya vitumbua kwa mzee!producer Bora bongo ni WCB laizer na tudd thomas sababu wasanii wao wanabeba ma award duniani kila siku.....
Umeona eeh! Produer gani huyu ambaye biti zote ni identical?We utakuwa bado unaomba hela ya vitumbua kwa mzee!
......
Album walirecord kwa majaniSio kweli Mkuu. Wimbo ambao kina Mandojo walirekodi kwa P Funk ni "Nikupe".
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa mkali. Ila wanaanza kumpa hata beat xa majani, basi tu
Niaje ni p funk majaniNiaje hatupatani - mandojo & domokaya
Manoko noko - mandojo & domokaya
Elimi mtaani.com
umenikumbusha mbali mkuu, huyu producer Amit Mental alikuwa anaishi nje, akaja akafungua studio yake Bongo, studio yake ilitwa 'Poa records', baadaye nadhani akaona studio bongo hailipi akarudi zake nje. nafikiri track yake ya kwanza kutengeneza ilikuwa ni 'vituko uswahilini' ya Suma G.Chidi benz ft mzee yusuf - Raha za dunia.hivi huyu jamaa anatumia jina gani kwenye social media?.
Alafu kuna mhindi alikuwa anaitwa Amit Mental alietengeneza nyimbo ya Noorah - vijimambo sjui yuko wapi huyu jamaa,kuna mwenye habari zake?
Hapana. Walirekodi wimbo mmoja tu wakakorofishana na Majani, wakaenda kumalizia nyimbo zilizobaki kwa Miika.
kweli mkuu mie hua naikubali zaidi nizikwe hai noma sana
Wazee wa Airport,huhaaaaaaNajua elimu dot kuna kipande kimerekodiwa pale opposite na airport kwa mwalimu kaneno sasa hivi pamebolewa karibu na Amadori. Kipindi wakina d knob wanafanya talent search pale jumbo club airport. Miaka imeenda msalimie Dr hi