Aisee hatuombei vijana wakazeNaona zile 7 tulizopigwa na Algeria zinakuja tena
Utashangaa hata Somalia wanatuchapaTumuombe radhi mzee kabla hajafa atengue kauli yake. Inauma sana kila MTU anajibondea tu dah!
Wanasema uchumi wa zimbabwe mbovu mbna raia wake wanene hivyoMugabe 3-0 Magufuli
Mie pia nimejiuliza hilo swali. Naona sasa ndio anafanyaHuyu Mkwasa kocha wa hovyo kabisa..Mechi ya kirafiki utadhani mashindano...Zimbabwe pamoja na kushinda wamefanya sub 3 so far..Yeye anang'ang'ania wachezaji hawahawa badala ya kujaribu wengine...
Tutapigwa 5 leo
Sub ilitakiwa afanye dk ya 46...Mechi ya kirafiki hii unaweza badilisha hata timu nzimaMie pia nimejiuliza hilo swali. Naona sasa ndio anafanya
Kuna kipa Manula beki Dante,Nyoni,Tshabalala,Aidani,viungo himid mao,Mudathir Winga Msuva,Farid forward sammata,Magurihii ni aibu....kuna haja ya kutembeza bakora kwa vijana wakirudi!
line-up ya Stars leo ni ipi?
Ni game za Fifa.Zimbabwe wapo very active utadhani kuna kombe, taifa stars tutacheza kwa mnato sana.... Tumezoea kupigwa
Anashuka sana, sasa tukipanda unakuta yupo Maguri peke yake kule mbele, mbaya zaidi akipoteza mpira kama anachukia hiv, so anajikuta anatoka mchezoni!! Hiyo kazi angemwachia Kichuyaapandishe team, yeye asaidiane na Maguri kutafuta goli.Sammata naye hayuko kwenye kiwango kabisa