Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Hiyo miaka ya 90 mzee baba.

Nakumbuka mwaka 94 nikiwa darasa la tatu kuna jamaa mmoja alikuwa kampangishia mchepuko wake nyumbani kwetu then mchepuko ukazingua, jamaa siku hiyo alikuja zake na pick up yake ya kukodi akachukua vitu vyote alivyomnunulia yule mchepuko pamoja na vingine kwa ajili ya kuuza ili kufidia gharama zake.( jamaa alikuwa mtu kutoka kanda maalumu)

Nikasema nikija kuwa mkubwa Mimi nitakuwa kama huyu jamaa wa kanda maalumu. He nimekuwa mkubwa naona tena mambo hayo hayapo.

Watu wanajenga mpaka ukweni na wanazinguliwa halafu hawadai Mali zao. Demu anakunywa bia zako bar halafu haondoki na wewe mwee!!

Zimeenda wapi nyakati hizi ?

1694790932382.jpg
 
Tukio kama hilo lilitokea Arusha kabla sijahamia mkoa mwingine. Alikua jamaa yetu kampangishia mchepuko nyumba kila kitu alinunua jamaa yetu na mkataba wa nyumba aliingia yeye na mwenye nyumba.

Jamaa yetu akapata ushahidi kua mchepuko anatembea na jamaa mwingine tena anakuja nae kwenye nyumba ileile. Jamaa baada ya kupata ushahidi bila chenga akavizia yule dada kaenda kazini akaenda kuchukua lorry mbili akahamisha kila kitu kwa msaada wa macharii wa "R" alafu funguo akarudisha kwa mwenye nyumba. Vile vitu akapeleka kwenye stoo ya ofisi yake. Jamaa ana stoo kubwaa ya vifaa vya ujenzi.

Tumekaa saluni mitaa ya sakina tunamuona yule mchepuko anakuja kumuliza jamaa. Jamaa kanyamaza tu. Jamaa mwingine ndo akaropoka we ushaachwa nenda kwa jamaa ako keivooo watu wakaanza kucheka ilikua aibu ya mwaka adi wadada wa saluni wakaanza kucheka. Macharii ya Arusha washapangwa wakazuia IST aliyokuja nayo maana pia alinunua jamaa yetu. Yule dada alivuka barabara bila kusema kitu anaishia kwa ngondi. Lile tukio nitalikumbuka siku zote.
 
Sipendi mno kuombwa hela in the name of love..Yan hata kama huna nia mbaya huwa naona kama una take advantage ya mbususu kitu ambacho hata siku 1 siwezi kukubaliana nacho.

Kwa kifupi sipend sana kuombwa ombwa hela.Nachukia sana.

NB
Hata hivyo sina hela
Mkuu kwa dunia ya sasa kama hupendi kuombwa hela basi tulia tu na mwanamke mmoja tatizo lenu wanaume wa kiafrika starehe mnataka ila gharama hamtaki, wakati starehe na gharama ni pande mbili za sarafu moja huwezi kuchagua kimoja ukaacha kingine ni either uchague vyote au uache vyote, you can't have your cake and eat it
 
Mkuu kwa dunia ya sasa kama hupendi kuombwa hela basi tulia tu na mwanamke mmoja tatizo lenu wanaume wa kiafrika starehe mnataka ila gharama hamtaki, wakati starehe na gharama ni pande mbili za sarafu moja huwezi kuchagua kimoja ukaacha kingine ni either uchague vyote au uache vyote, you can't have your cake and eat it
Mkuu za kuambiwa changanya na zako..au umesahau kuna watu wana akil za kuzaliwa?
Mnavyolipia sis wengine tunatumia bureeeeeee
 
Tukio kama hilo lilitokea Arusha kabla sijahamia mkoa mwingine. Alikua jamaa yetu kampangishia mchepuko nyumba kila kitu alinunua jamaa yetu na mkataba wa nyumba aliingia yeye na mwenye nyumba.

Jamaa yetu akapata ushahidi kua mchepuko anatembea na jamaa mwingine tena anakuja nae kwenye nyumba ileile. Jamaa baada ya kupata ushahidi bila chenga akavizia yule dada kaenda kazini akaenda kuchukua lorry mbili akahamisha kila kitu kwa msaada wa macharii wa "R" alafu funguo akarudisha kwa mwenye nyumba. Vile vitu akapeleka kwenye stoo ya ofisi yake. Jamaa ana stoo kubwaa ya vifaa vya ujenzi.

Tumekaa saluni mitaa ya sakina tunamuona yule mchepuko anakuja kumuliza jamaa. Jamaa kanyamaza tu. Jamaa mwingine ndo akaropoka we ushaachwa nenda kwa jamaa ako keivooo watu wakaanza kucheka ilikua aibu ya mwaka adi wadada wa saluni wakaanza kucheka. Macharii ya Arusha washapangwa wakazuia IST aliyokuja nayo maana pia alinunua jamaa yetu. Yule dada alivuka barabara bila kusema kitu anaishia kwa ngondi. Lile tukio nitalikumbuka siku zote.
Duh very interesting jamaa alikuwa mwamba kweli. Ilikuwa mwaka.gani hii?
 
Hiyo huwa inategemea na mmeachanaje mkuu Sasa demu anakuacha Kwa kukutishia maisha anavitu vyako ukimuachia ni unyonge mkubwa mno
Hiyo huwa inategemea na mmeachanaje mkuu Sasa demu anakuacha Kwa kukutishia maisha anavitu vyako ukimuachia ni unyonge mkubwa mno
😁😁😁😁
 
Tukio kama hilo lilitokea Arusha kabla sijahamia mkoa mwingine. Alikua jamaa yetu kampangishia mchepuko nyumba kila kitu alinunua jamaa yetu na mkataba wa nyumba aliingia yeye na mwenye nyumba.

Jamaa yetu akapata ushahidi kua mchepuko anatembea na jamaa mwingine tena anakuja nae kwenye nyumba ileile. Jamaa baada ya kupata ushahidi bila chenga akavizia yule dada kaenda kazini akaenda kuchukua lorry mbili akahamisha kila kitu kwa msaada wa macharii wa "R" alafu funguo akarudisha kwa mwenye nyumba. Vile vitu akapeleka kwenye stoo ya ofisi yake. Jamaa ana stoo kubwaa ya vifaa vya ujenzi.

Tumekaa saluni mitaa ya sakina tunamuona yule mchepuko anakuja kumuliza jamaa. Jamaa kanyamaza tu. Jamaa mwingine ndo akaropoka we ushaachwa nenda kwa jamaa ako keivooo watu wakaanza kucheka ilikua aibu ya mwaka adi wadada wa saluni wakaanza kucheka. Macharii ya Arusha washapangwa wakazuia IST aliyokuja nayo maana pia alinunua jamaa yetu. Yule dada alivuka barabara bila kusema kitu anaishia kwa ngondi. Lile tukio nitalikumbuka siku zote.
Kila siku mnaambiwa ila hamsikii hiyo michepuko msifikiri ni ya kwenu peke yenu, maana kumbuka hapo mwanaume kaoa ila mchepuko hajaolewa sasa ni nani alimdanganya huyo mwanaume kwamba huyo mchepuko atakuwa wake peke yake, wakati yeye hana mpango wa kumuoa

Huyo mchepuko naye inabidi atafute wa kuolewa naye, hivyo hawezi kutulia na huyo mume wa mtu pekee, wakati mwingine huwa naona bora yawakute tu

Yani haiwezekani umnunulie mchepuko vitu vyote hivyo wakati siyo mkeo, na si ajabu mkeo hujawahi hata mnunulia au umemnunulia vichache tu, na hayo ndio malipo yake sasa
 
Back
Top Bottom