Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

Sasa mkiachana utamnyang'anya nini 😃😃

Siku hizi na sisi tumekuwa wajanja. Hatuombi like “babe naomba ninunulie kitanda “ au kitu chochote.. sisi tunaomba tu hela halafu tutakachonunua huwezi kujua.
Mnachonishangazaga wanawake, huku jf na mtaani mnadai mnapenda kupewa hela na mwanaume (kuhudumiwa), ili mahusiano yaanze na yaendelee kuwa imara, ila kuna wanaume ambao tangu muanze ku-date nao hawajawahi kuwapa hata TSH 50 mbovu, na mnawapelekea papuchi kila siku, bila kuwaomba hela..

Yaani kwa kifupi mna wanaume wa kuwaomba hela, na kuna wanaume mnawapa papuchi za bure Leejay49 Hannah
 
Mnachonishangazaga wanawake, huku jf na mtaani mnadai mnapenda kupewa hela na mwanaume (kuhudumiwa), ili mahusiano yaanze na yaendelee kuwa imara, ila kuna wanaume ambao tangu muanze ku-date nao hawajawahi kuwapa hata TSH 50 mbovu, na mnawapelekea papuchi kila siku, bila kuwaomba hela..

Yaani kwa kifupi mna wanaume wa kuwaomba hela, na kuna wanaume mnawapa papuchi za bure Leejay49 Hannah
Naomba Hannah anijibie na mimi pia
 
Huyo dada nae mjinga kwan hivyo vitu alipewa bure lazima kuna kitu alimpa jamaa ndio na jamaa akamnunulia hvyo vitu

Wanawake huwaga mna ile kususa na ego like chukua vitu vyako bana kwani sh ngapi? He capitalized on that. Ilishanikuta kama hivyo nilikuwa na demu mmoja way back in 2008 alikuwa demu wa kihaya mzuri kama mnyarwanda anaringa hatari watu walikuwa wanamuogopa Mimi nikamtokea akanikubalia . Nilikuwaga nampa mpa vizawadi na vivocha vya hapa na pale. Siku tuliyo mwagana nikazungumzia tu kama kuzungumzia kuhusu gharama nilizo wahi kumpa akaniambia" piga hesabu ya vihela vyako vyote ulivyo wahi kunipa" nikamwambia Laki 2, demu akaniambia twende bank tukaenda aka draw hela analipa nikapokea
 
Tukio kama hilo lilitokea Arusha kabla sijahamia mkoa mwingine. Alikua jamaa yetu kampangishia mchepuko nyumba kila kitu alinunua jamaa yetu na mkataba wa nyumba aliingia yeye na mwenye nyumba.

Jamaa yetu akapata ushahidi kua mchepuko anatembea na jamaa mwingine tena anakuja nae kwenye nyumba ileile. Jamaa baada ya kupata ushahidi bila chenga akavizia yule dada kaenda kazini akaenda kuchukua lorry mbili akahamisha kila kitu kwa msaada wa macharii wa "R" alafu funguo akarudisha kwa mwenye nyumba. Vile vitu akapeleka kwenye stoo ya ofisi yake. Jamaa ana stoo kubwaa ya vifaa vya ujenzi.

Tumekaa saluni mitaa ya sakina tunamuona yule mchepuko anakuja kumuliza jamaa. Jamaa kanyamaza tu. Jamaa mwingine ndo akaropoka we ushaachwa nenda kwa jamaa ako keivooo watu wakaanza kucheka ilikua aibu ya mwaka adi wadada wa saluni wakaanza kucheka. Macharii ya Arusha washapangwa wakazuia IST aliyokuja nayo maana pia alinunua jamaa yetu. Yule dada alivuka barabara bila kusema kitu anaishia kwa ngondi. Lile tukio nitalikumbuka siku zote.
sasa kama keivoo ni wa maana si angemnunulia n mavitu hayo[emoji16][emoji16].

aende kwa keivoo sasa.
 
mimi nilipanga na mama mmoja ana watoto wawili wa kiume na kike kama wa darasa la 6 hivi,siku anahamia alikuja na kitanda kimoja tu,mara ikaingia double deker kwa ajili ya hao watoto,tv,hatujakaa sawa sabufa kubwa na jiko la gesi.

ghafla ikaja njemba iko tough hivi,tetesi zikasema inatokea zanzibari ndiko inafanyia kazi,siku inaingia pale ikashuka na fridge na pasi nk,kwa namna madogo walivyompokea tukajua atakuaa ndiye baba yao,maisha yakaendelea jama aje mwezi huu,mara asije hivyo.

yule dada alikuwa na mambo kidogo hayaeleweki,muda mwingi sana utakuta anatengeneza kucha,nywele nk sio mtu wa kazi kazi kabisa,ni kupika,kula kutoka akirudi kulala.
kikaanza kuingia kijamaa flani mule ndani,lakini wake zetu wakatambulishwa ni mjomba(kaka wa huyo dada)mara kwa mara,kanakuja kanaweza kaa ndani humo mnasikia sauti ya tv mnapuuza maana ni mjomba[emoji23][emoji23].

eeeeeh,siku ya siku tunashangaa ile njemba imetimba kwa kushtukiza,yule mjomba na dada yake wametoka kama mshale shwaaaaaaaaa,bidada kashikilia kanga na kijana amevaa pensi na tishirt kashilikia mkononi,dada kilio na full kujitetea NISAMEHE,tukabaki kama mapaka hatuelewi kipi ni kipi,mara mwamba kaanza kufoka"mwanamke mshenzi saba wewe,huna shukrani,nakuhifadhi na watoto wako bado unanisaliti",ndio sisi kujua kumbe wale sio wanaye[emoji3525][emoji3525][emoji3525].

baharia bana kumbe alikuwa maanajeshi huko zenji,sijui kidada kilimroga maan kibovu tu hakina maajabu,akaita gari ikabeba kila kitu,watoto wanarudi mchana toka shule wanashangaa ndani kweupeee,mama kaduwaa hajui awaeleze nini.
ilikuw simanzi na fadhaa kwa wakati mmoja.
 
mimi nilipanga na mama mmoja ana watoto wawili wa kiume na kike kama wa darasa la 6 hivi,siku anahamia alikuja na kitanda kimoja tu,mara ikaingia double deker kwa ajili ya hao watoto,tv,hatujakaa sawa sabufa kubwa na jiko la gesi.

ghafla ikaja njemba iko tough hivi,tetesi zikasema inatokea zanzibari ndiko inafanyia kazi,siku inaingia pale ikashuka na fridge na pasi nk,kwa namna madogo walivyompokea tukajua atakuaa ndiye baba yao,maisha yakaendelea jama aje mwezi huu,mara asije hivyo.

yule dada alikuwa na mambo kidogo hayaeleweki,muda mwingi sana utakuta anatengeneza kucha,nywele nk sio mtu wa kazi kazi kabisa,ni kupika,kula kutoka akirudi kulala.
kikaanza kuingia kijamaa flani mule ndani,lakini wake zetu wakatambulishwa ni mjomba(kaka wa huyo dada)mara kwa mara,kanakuja kanaweza kaa ndani humo mnasikia sauti ya tv mnapuuza maana ni mjomba[emoji23][emoji23].

eeeeeh,siku ya siku tunashangaa ile njemba imetimba kwa kushtukiza,yule mjomba na dada yake wametoka kama mshale shwaaaaaaaaa,bidada kashikilia kanga na kijana amevaa pensi na tishirt kashilikia mkononi,dada kilio na full kujitetea NISAMEHE,tukabaki kama mapaka hatuelewi kipi ni kipi,mara mwamba kaanza kufoka"mwanamke mshenzi saba wewe,huna shukrani,nakuhifadhi na watoto wako bado unanisaliti",ndio sisi kujua kumbe wale sio wanaye[emoji3525][emoji3525][emoji3525].

baharia bana kumbe alikuwa maanajeshi huko zenji,sijui kidada kilimroga maan kibovu tu hakina maajabu,akaita gari ikabeba kila kitu,watoto wanarudi mchana toka shule wanashangaa ndani kweupeee,mama kaduwaa hajui awaeleze nini.
ilikuw simanzi na fadhaa kwa wakati mmoja.
watoto walikuwa wanasoma English Medium? So ilikuwaje baada ya hapo?
 
Mnachonishangazaga wanawake, huku jf na mtaani mnadai mnapenda kupewa hela na mwanaume (kuhudumiwa), ili mahusiano yaanze na yaendelee kuwa imara, ila kuna wanaume ambao tangu muanze ku-date nao hawajawahi kuwapa hata TSH 50 mbovu, na mnawapelekea papuchi kila siku, bila kuwaomba hela..

Yaani kwa kifupi mna wanaume wa kuwaomba hela, na kuna wanaume mnawapa papuchi za bure Leejay49 Hannah
Mkuu mbona unalalamika haya mambo mnayatakaga wenyewe ninyi wenyewe hamko fair kwa wanawake, ndio maana kuna wanaume wengine wanapata wanawake wanaokubali kuanza nao from the scratch, ila wakifanikiwa wanatumia hela na gold diggers wengine ambao hata hawawapendi wanafuata tu hizo hela
 
Back
Top Bottom