Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

Siku hizi na sisi tumekuwa wajanja. Hatuombi like “babe naomba ninunulie kitanda “ au kitu chochote.. sisi tunaomba tu hela halafu tutakachonunua huwezi kujua.
Duuuuu,niliombwa nikauliza ni wapi mara magharibi,mashariki,nikatengeneza matukio,na yeye akalipiza kisasi,kila kitu kikaisha kama comedy.Wala sikumla miaka huku najua kabisa anatoka na nani,akuoiza kwani unataka nini nikajibu Kazi ni kukushawishi,nikipiga simu namskia yuko na mtu kwenye gari na bado navuta muda,mizinga ikapungua lakini hakutaka marriage alitaka money heist,kila kitu kimeisha ingawa kweli manzi yuko moyoni mpaka saa hii. Kizazi hiki bila referee wa kuamua hatutoboi mizinga kama ya uapishwaji wa Rais,no way.
 
Kila siku mnaambiwa ila hamsikii hiyo michepuko msifikiri ni ya kwenu peke yenu, maana kumbuka hapo mwanaume kaoa ila mchepuko hajaolewa sasa ni nani alimdanganya huyo mwanaume kwamba huyo mchepuko atakuwa wake peke yake, wakati yeye hana mpango wa kumuoa

Huyo mchepuko naye inabidi atafute wa kuolewa naye, hivyo hawezi kutulia na huyo mume wa mtu pekee, wakati mwingine huwa naona bora yawakute tu

Yani haiwezekani umnunulie mchepuko vitu vyote hivyo wakati siyo mkeo, na si ajabu mkeo hujawahi hata mnunulia au umemnunulia vichache tu, na hayo ndio malipo yake sasa
Unaambiwa huyo mchepuko alikua ni mrembo hasa yaani ni mrembo sana. Sasa jamaa etu ni mfanya biashara nikitaja jina tu hapa watu wa Arusha wanaweza kumjua. Yule mchepuko akawa anatoka na msela mmoja mfanyakazi mwenzie. Dada ni mtumishi sehemu X. Jamaa etu akamtafuta yule jamaa kutumia watu wakamletea taarifa akagundua ni kijana mdogo singo hajaoa akaamua kumuacha tu lakini yule dogo anaekula mchepuko wa mtu hakuwahi kujua kama kuna watu walimfatilia. Ila Arusha ni kama Afghanistan
 
sasa kama keivoo ni wa maana si angemnunulia n mavitu hayo[emoji16][emoji16].

aende kwa keivoo sasa.
Unaambiwa huyo keivoo hajui kinachoendelea maana jamaa etu alitaka kutuma wazee wa kazi kwa Keivoo watu walimsihi sana ndo akaacha. Nawakumbusha vijana ukikutana na mwanamke mzuri ana kila kitu alafu kazi yake ina mshahara mdogo au hana kazi akikuambia yuko singo basi ujue huyo ni mchepuko wa matajiri. Kimbia hapo broo labda kama umechoka maisha
 
sasa kama keivoo ni wa maana si angemnunulia n mavitu hayo[emoji16][emoji16].

aende kwa keivoo sasa.
Unaambiwa huyo keivoo hajui kinachoendelea maana jamaa etu alitaka kutuma wazee wa kazi kwa Keivoo watu walimsihi sana ndo akaacha. Nawakumbusha vijana ukikutana na mwanamke mzuri ana kila kitu alafu kazi yake ina mshahara mdogo au hana kazi akikuambia yuko singo basi ujue huyo ni mchepuko wa matajiri. Kimbia hapo broo labda kama umechoka maisha
 
mimi nilipanga na mama mmoja ana watoto wawili wa kiume na kike kama wa darasa la 6 hivi,siku anahamia alikuja na kitanda kimoja tu,mara ikaingia double deker kwa ajili ya hao watoto,tv,hatujakaa sawa sabufa kubwa na jiko la gesi.

ghafla ikaja njemba iko tough hivi,tetesi zikasema inatokea zanzibari ndiko inafanyia kazi,siku inaingia pale ikashuka na fridge na pasi nk,kwa namna madogo walivyompokea tukajua atakuaa ndiye baba yao,maisha yakaendelea jama aje mwezi huu,mara asije hivyo.

yule dada alikuwa na mambo kidogo hayaeleweki,muda mwingi sana utakuta anatengeneza kucha,nywele nk sio mtu wa kazi kazi kabisa,ni kupika,kula kutoka akirudi kulala.
kikaanza kuingia kijamaa flani mule ndani,lakini wake zetu wakatambulishwa ni mjomba(kaka wa huyo dada)mara kwa mara,kanakuja kanaweza kaa ndani humo mnasikia sauti ya tv mnapuuza maana ni mjomba[emoji23][emoji23].

eeeeeh,siku ya siku tunashangaa ile njemba imetimba kwa kushtukiza,yule mjomba na dada yake wametoka kama mshale shwaaaaaaaaa,bidada kashikilia kanga na kijana amevaa pensi na tishirt kashilikia mkononi,dada kilio na full kujitetea NISAMEHE,tukabaki kama mapaka hatuelewi kipi ni kipi,mara mwamba kaanza kufoka"mwanamke mshenzi saba wewe,huna shukrani,nakuhifadhi na watoto wako bado unanisaliti",ndio sisi kujua kumbe wale sio wanaye[emoji3525][emoji3525][emoji3525].

baharia bana kumbe alikuwa maanajeshi huko zenji,sijui kidada kilimroga maan kibovu tu hakina maajabu,akaita gari ikabeba kila kitu,watoto wanarudi mchana toka shule wanashangaa ndani kweupeee,mama kaduwaa hajui awaeleze nini.
ilikuw simanzi na fadhaa kwa wakati mmoja.
Hahahhaaa
 
Tukio kama hilo lilitokea Arusha kabla sijahamia mkoa mwingine. Alikua jamaa yetu kampangishia mchepuko nyumba kila kitu alinunua jamaa yetu na mkataba wa nyumba aliingia yeye na mwenye nyumba.

Jamaa yetu akapata ushahidi kua mchepuko anatembea na jamaa mwingine tena anakuja nae kwenye nyumba ileile. Jamaa baada ya kupata ushahidi bila chenga akavizia yule dada kaenda kazini akaenda kuchukua lorry mbili akahamisha kila kitu kwa msaada wa macharii wa "R" alafu funguo akarudisha kwa mwenye nyumba. Vile vitu akapeleka kwenye stoo ya ofisi yake. Jamaa ana stoo kubwaa ya vifaa vya ujenzi.

Tumekaa saluni mitaa ya sakina tunamuona yule mchepuko anakuja kumuliza jamaa. Jamaa kanyamaza tu. Jamaa mwingine ndo akaropoka we ushaachwa nenda kwa jamaa ako keivooo watu wakaanza kucheka ilikua aibu ya mwaka adi wadada wa saluni wakaanza kucheka. Macharii ya Arusha washapangwa wakazuia IST aliyokuja nayo maana pia alinunua jamaa yetu. Yule dada alivuka barabara bila kusema kitu anaishia kwa ngondi. Lile tukio nitalikumbuka siku zote.
Duh!Aisee 🤔
 
Ckuiz tumekuwa magentlemen huwa tunapotezea tu.Ukizinguana na demu mkaachana unamuachia kila kitu ulichompa na kuanza upya.
 
Tukio kama hilo lilitokea Arusha kabla sijahamia mkoa mwingine. Alikua jamaa yetu kampangishia mchepuko nyumba kila kitu alinunua jamaa yetu na mkataba wa nyumba aliingia yeye na mwenye nyumba.

Jamaa yetu akapata ushahidi kua mchepuko anatembea na jamaa mwingine tena anakuja nae kwenye nyumba ileile. Jamaa baada ya kupata ushahidi bila chenga akavizia yule dada kaenda kazini akaenda kuchukua lorry mbili akahamisha kila kitu kwa msaada wa macharii wa "R" alafu funguo akarudisha kwa mwenye nyumba. Vile vitu akapeleka kwenye stoo ya ofisi yake. Jamaa ana stoo kubwaa ya vifaa vya ujenzi.

Tumekaa saluni mitaa ya sakina tunamuona yule mchepuko anakuja kumuliza jamaa. Jamaa kanyamaza tu. Jamaa mwingine ndo akaropoka we ushaachwa nenda kwa jamaa ako keivooo watu wakaanza kucheka ilikua aibu ya mwaka adi wadada wa saluni wakaanza kucheka. Macharii ya Arusha washapangwa wakazuia IST aliyokuja nayo maana pia alinunua jamaa yetu. Yule dada alivuka barabara bila kusema kitu anaishia kwa ngondi. Lile tukio nitalikumbuka siku zote.
Huyo ni miongoni mwa wanaume wa shoka,

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Youtube, wasap na aina yake hazikuwepo ,utafanya sahizi sekunde TU nchi Zima masela wakowote washajua
 
Hao ni wale ambao sisi tunavuja jasho,wao wanavizia tunavyowapa mademu.Ila mwisho ni mbaya.
 
Just imagine kila mwanaume angekua anaombwa hela,si wangekua wengi wao ni matajiri?
Imagine kuanzia aliyemtoa bikra,hadi miaka 40,si mamilioni?
 
Hapo niwaachie mjadala ninyi ambao hutoa vitu vinavyofaa kudai maana mimi sasa ntadai underwear yake nipeleke wapi sasa kama sio ushirikina.
 
Siku hizi na sisi tumekuwa wajanja. Hatuombi like “babe naomba ninunulie kitanda “ au kitu chochote.. sisi tunaomba tu hela halafu tutakachonunua huwezi kujua.
[emoji28][emoji28][emoji119]
 
Yani haiwezekani umnunulie mchepuko vitu vyote hivyo wakati siyo mkeo, na si ajabu mkeo hujawahi hata mnunulia au umemnunulia vichache tu, na hayo ndio malipo yake sasa
Raha ya kukojoa penye Joto raha sana akili yote inahama unagawa mpaka Bahari

Jadda nimekuzawadia Mbingu na Ardhi vipi umekubari?
 
Back
Top Bottom