Nimekupa zawadi ya Bahari ya Hindi utaamua ufugie Samaki au ufanye kivutio cha utalii, sasa vipi umeshakubari? Usiniambie habari za hela Mimi nakupa plot za Mungu tuMkuu kwa dunia ya sasa kama hupendi kuombwa hela basi tulia tu na mwanamke mmoja tatizo lenu wanaume wa kiafrika starehe mnataka ila gharama hamtaki, wakati starehe na gharama ni pande mbili za sarafu moja huwezi kuchagua kimoja ukaacha kingine ni either uchague vyote au uache vyote, you can't have your cake and eat it
Mods naomba hii comment iprintiwe alafu ifanyiwe lamination then iwekwe JamiiForums HQTukio kama hilo lilitokea Arusha kabla sijahamia mkoa mwingine. Alikua jamaa yetu kampangishia mchepuko nyumba kila kitu alinunua jamaa yetu na mkataba wa nyumba aliingia yeye na mwenye nyumba.
Jamaa yetu akapata ushahidi kua mchepuko anatembea na jamaa mwingine tena anakuja nae kwenye nyumba ileile. Jamaa baada ya kupata ushahidi bila chenga akavizia yule dada kaenda kazini akaenda kuchukua lorry mbili akahamisha kila kitu kwa msaada wa macharii wa "R" alafu funguo akarudisha kwa mwenye nyumba. Vile vitu akapeleka kwenye stoo ya ofisi yake. Jamaa ana stoo kubwaa ya vifaa vya ujenzi.
Tumekaa saluni mitaa ya sakina tunamuona yule mchepuko anakuja kumuliza jamaa. Jamaa kanyamaza tu. Jamaa mwingine ndo akaropoka we ushaachwa nenda kwa jamaa ako keivooo watu wakaanza kucheka ilikua aibu ya mwaka adi wadada wa saluni wakaanza kucheka. Macharii ya Arusha washapangwa wakazuia IST aliyokuja nayo maana pia alinunua jamaa yetu. Yule dada alivuka barabara bila kusema kitu anaishia kwa ngondi. Lile tukio nitalikumbuka siku zote.
Au sio alafu unaomba ukiwa unafanya nini ukiwa umekaa mkao wa popo kanywa Mbingu au?Siku hizi na sisi tumekuwa wajanja. Hatuombi like “babe naomba ninunulie kitanda “ au kitu chochote.. sisi tunaomba tu hela halafu tutakachonunua huwezi kujua.
MRusi wa mchongo uko sahihi, hata mimi sipendi kuombwa hela 🤓😆Sipendi mno kuombwa hela in the name of love..Yan hata kama huna nia mbaya huwa naona kama una take advantage ya mbususu kitu ambacho hata siku 1 siwezi kukubaliana nacho.
Kwa kifupi sipend sana kuombwa ombwa hela.Nachukia sana.
NB
Hata hivyo sina hela
Tutawaomba tu labda mtuue.MRusi wa mchongo uko sahihi, hata mimi sipendi kuombwa hela [emoji851][emoji38]
Au sio wakati huo mmekaa km viwete walemavu wasio na viungo au mkiwa mnazifanyia kazi hizo hela mnazoziomba?
Mh Mimi arghh, sitaki Dem🤓🤣
😂😂😂 Wewe utakua na matatizo.Mh Mimi arghh, sitaki Dem🤓🤣
Relax rafiki. Usichukulie serious kila unachokiona kwa mtandao.Au sio wakati huo mmekaa km viwete walemavu wasio na viungo au mkiwa mnazifanyia kazi hizo hela mnazoziomba?
No sipo serious sana no hard feelings nimeuliza TURelax rafiki. Usichukulie serious kila unachokiona kwa mtandao.
🥂No sipo serious sana no hard feelings nimeuliza TU
Mwanaume mwenye tabia ya hivyo atakutemesha atachokukuta nachoSiku hizi na sisi tumekuwa wajanja. Hatuombi like “babe naomba ninunulie kitanda “ au kitu chochote.. sisi tunaomba tu hela halafu tutakachonunua huwezi kujua.
Yani uchi wa bleed nni starehe au uchafu?Mkuu kwa dunia ya sasa kama hupendi kuombwa hela basi tulia tu na mwanamke mmoja tatizo lenu wanaume wa kiafrika starehe mnataka ila gharama hamtaki, wakati starehe na gharama ni pande mbili za sarafu moja huwezi kuchagua kimoja ukaacha kingine ni either uchague vyote au uache vyote, you can't have your cake and eat it
Kwani nyie hizo K zenu mlinunua bei gani kuzipata ili muuze mpate faida?Mnavoviona vya bure navo vina gharama zake
Wee sitaki matatizo 🤓, nyie viumbe hamfai🤣😂😂😂 Wewe utakua na matatizo.
Zaidi alimpa uchi tu kiasi kwamba wote walipata utamu sawaHuyo dada nae mjinga kwan hivyo vitu alipewa bure lazima kuna kitu alimpa jamaa ndio na jamaa akamnunulia hvyo vitu
Ungeanza na matajiriNiombe radhi kwa kuwa nje ya mada kidogo, nimeona sio mbaya nikiwapa huduma itayotusaidia kua online mda mwingi na kufaidi mambo mengi ya mtandaoni ikiwemo hapa, kwa gharama ndogo sana
KWA WATUMIAJI WA TIGO KUNA BANDO NAFUU SANA(T!G0 P0STPA!D), UKIJIUNGA MIAKA MIWILI MIZIMA UTAKUA UMEOKOA HELA NYING UNAYOTUMIA KWAAJIL YA DATA NA DAKIKA.
UTAKUA UNAPEWA GB&DAKIKA NYINGI KILA TAREHE 1, THEN UNALIPIA HELA SIKU YOYOTE, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO!!
SH 30K GB 35 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI
SH. 40K GB 48 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
SH. 60K GB 72 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
MALIPO YOTE UNAFANYA DIRECT KWENDA T!G0 HUNITUMII HATA MIA! (mm unanipa NO. yako tuu kwajili ya activation, nikiku activate nalipwa commission na T!G0)
UZURI ZAID NI KUA SAHIVI HUTAWEKWA KWENYE KIKUNDI CHA WATU, UNAKUA PEKE YAKO, SO HUWEZ KUPATA USUMBUFU WOWOTE!
Karibuni sana!!!
NIPIGIE AU NITEXT WHATSAPP KWA : 0717700921