Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

Nimekupa zawadi ya Bahari ya Hindi utaamua ufugie Samaki au ufanye kivutio cha utalii, sasa vipi umeshakubari? Usiniambie habari za hela Mimi nakupa plot za Mungu tu
 
Mods naomba hii comment iprintiwe alafu ifanyiwe lamination then iwekwe JamiiForums HQ
 
Siku hizi na sisi tumekuwa wajanja. Hatuombi like “babe naomba ninunulie kitanda “ au kitu chochote.. sisi tunaomba tu hela halafu tutakachonunua huwezi kujua.
Au sio alafu unaomba ukiwa unafanya nini ukiwa umekaa mkao wa popo kanywa Mbingu au?
 
MRusi wa mchongo uko sahihi, hata mimi sipendi kuombwa hela 🤓😆
 
Siku hizi na sisi tumekuwa wajanja. Hatuombi like “babe naomba ninunulie kitanda “ au kitu chochote.. sisi tunaomba tu hela halafu tutakachonunua huwezi kujua.
Mwanaume mwenye tabia ya hivyo atakutemesha atachokukuta nacho
 
Yani uchi wa bleed nni starehe au uchafu?
 
Saiv nagonga mademu tu wanaonpenda na wale wenye shobo basi
 
Ungeanza na matajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…