Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Mimi ni lover boy nishachakaza wanawake si chini ya 5000 sasa mwanamke ata apige sarakasi zote sisikii utamu wakunifanya nijihisi tofauti au nifanye mambo ya kipuunzi nikiwa na mwanamke isipokuwa nafanya kutimiza wajibu tu afu naona kawaida sana.[emoji1666]Au sio alafu unaomba ukiwa unafanya nini ukiwa umekaa mkao wa popo kanywa Mbingu au?
Masikini..fukura..pengu pakavu...apeche alolo.Sipendi mno kuombwa hela in the name of love..Yan hata kama huna nia mbaya huwa naona kama una take advantage ya mbususu kitu ambacho hata siku 1 siwezi kukubaliana nacho.
Kwa kifupi sipend sana kuombwa ombwa hela.Nachukia sana.
NB
Hata hivyo sina hela
NakubaliMasikini..fukura..pengu pakavu...apeche alolo.
.....BROKE ASS NIGGQ
Yaaani laki mbili ndo inakutoa rohoWanawake huwaga mna ile kususa na ego like chukua vitu vyako bana kwani sh ngapi? He capitalized on that. Ilishanikuta kama hivyo nilikuwa na demu mmoja way back in 2008 alikuwa demu wa kihaya mzuri kama mnyarwanda anaringa hatari watu walikuwa wanamuogopa Mimi nikamtokea akanikubalia . Nilikuwaga nampa mpa vizawadi na vivocha vya hapa na pale. Siku tuliyo mwagana nikazungumzia tu kama kuzungumzia kuhusu gharama nilizo wahi kumpa akaniambia" piga hesabu ya vihela vyako vyote ulivyo wahi kunipa" nikamwambia Laki 2, demu akaniambia twende bank tukaenda aka draw hela analipa nikapokea
Nakupa homework, tafuta jibu kwanini mwanamke na mwanaume wakiwa kwenye mahusiano kisha wakaachana anayesimangwa ni mwanamke huku mwanaume akisifiwa, ukipata jibu la hili swali basi utakuwa umepata na jibu la hilo swali lakoKwani nyie hizo K zenu mlinunua bei gani kuzipata ili muuze mpate faida?
Siku mkipata pengine pa kumwagia hayo matakataka yenu, na mkiacha kufanya mambo ya ajabu kisa huo huo uchi ndio mje muongee hivi, nonsenseYani uchi wa bleed nni starehe au uchafu?
huyu mzee wangu ( WA KANDA MAALUM) alimfungulia demu retail shop, usiku mmoja akakuta mchepuko naye kaleta mchepukoHiyo miaka ya 90 mzee baba.
Nakumbuka mwaka 94 nikiwa darasa la tatu kuna jamaa mmoja alikuwa kampangishia mchepuko wake nyumbani kwetu then mchepuko ukazingua, jamaa siku hiyo alikuja zake na pick up yake ya kukodi akachukua vitu vyote alivyomnunulia yule mchepuko pamoja na vingine kwa ajili ya kuuza ili kufidia gharama zake.( jamaa alikuwa mtu kutoka kanda maalumu)
Nikasema nikija kuwa mkubwa Mimi nitakuwa kama huyu jamaa wa kanda maalumu. He nimekuwa mkubwa naona tena mambo hayo hayapo.
Watu wanajenga mpaka ukweni na wanazinguliwa halafu hawadai Mali zao. Demu anakunywa bia zako bar halafu haondoki na wewe mwee!!
Zimeenda wapi nyakati hizi ?
View attachment 2750187