Zimeenda wapi nyakati zile ambazo ukiachana na mwanamke unampokonya vitu vyako vyote ulivyompa?

Au sio alafu unaomba ukiwa unafanya nini ukiwa umekaa mkao wa popo kanywa Mbingu au?
Mimi ni lover boy nishachakaza wanawake si chini ya 5000 sasa mwanamke ata apige sarakasi zote sisikii utamu wakunifanya nijihisi tofauti au nifanye mambo ya kipuunzi nikiwa na mwanamke isipokuwa nafanya kutimiza wajibu tu afu naona kawaida sana.[emoji1666]
 
Chanzo cha wanawake kuingiliwa kinyume na maumbile (mkunduni) ni tamaa ya pesa
 
Masikini..fukura..pengu pakavu...apeche alolo.

.....BROKE ASS NIGGQ
 
unataka utafute kifo.
Kuna jamaa alishwai kwenda kuchukua vitu vyote alivonunua kilichompata anasema bora kugongwa na reli ya umeme iliyokosa umeme
 
Yaaani laki mbili ndo inakutoa roho
..hahaha LIKUD ...you are poor bro
 
Mimi nilimpokonya kila kitu Hadi nguo zake za ndani
Sitakagi ujinga Mimi.
 
Kwani nyie hizo K zenu mlinunua bei gani kuzipata ili muuze mpate faida?
Nakupa homework, tafuta jibu kwanini mwanamke na mwanaume wakiwa kwenye mahusiano kisha wakaachana anayesimangwa ni mwanamke huku mwanaume akisifiwa, ukipata jibu la hili swali basi utakuwa umepata na jibu la hilo swali lako
 
Yani uchi wa bleed nni starehe au uchafu?
Siku mkipata pengine pa kumwagia hayo matakataka yenu, na mkiacha kufanya mambo ya ajabu kisa huo huo uchi ndio mje muongee hivi, nonsense
 
huyu mzee wangu ( WA KANDA MAALUM) alimfungulia demu retail shop, usiku mmoja akakuta mchepuko naye kaleta mchepuko
mzee akarudi kimyakimya ,kesho yake tukashangaa anaingia home na pick up imejaa mavitu ya dukani tukashusha mizigo stoo tukatumia hadi vikaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…