- Thread starter
- #41
Tunaibiwa mbona hatujaambiwa?Zinatoka kijijini kwenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaibiwa mbona hatujaambiwa?Zinatoka kijijini kwenu.
faMama ana akili usimfananishe na mwehu yule aliyepita
Mwl Nyerere nadhani kulikuwa na msukumo wa nje,ingawa suala la muundo yalikuwa makosa yake mwenyewe.Je Nyerere alifanya hivyo kwa makusudi au kukosa utashi wa akili ?
jiulize kwanini ni baada ya Samia kuwa rais wa Tanzania, jibu liko wazi pesa za Tanganyika. Muungano kuvunjika hakuepukiki, sema mpaka amalize miaka 5 atakuwa amemaliza rasilimali muhimu na Zanzibar itakuwa mbali sana na hatatakuwa wanahitaji tena muungano. Ukimsikiliza Hussein anavyojiamini utafikiri anaokota hela, eti Pemba yote atajenga lami, kwanini leo hiyo miaka yote 60 iliyopita kwanini hizo lami hazikujengwa? TumeliwaUkiangalia television na kusikiliza redio na hata kusoma magazeti utapata habari za miradi mikubwa mikubwa ikifunguliwa kila siku Zanzibar. Miradi hiyo ni kama vile barabara, shule za ghorofa, viwanjwa vy michezo, masoko ya ghorofa, majengo makubwa, viwanda, miradi ya nishati, flyovers, na kadhalika.
Kwa uchumi mdogo wa Zanzibar huwa najiuliza fedha za kujenga miundombinu mikubwa na mingi hivyo kwa muda mfupi tu wa miaka miwili mitatu zinatoka wapi?
Inaonekana wakati wanachukua fedha ni siri kubwa hufichwa, ila wakati wanafungua miradi siri hizo zinafichuka zote!
na bado ya kizimkaziMta uliza sana
Kama sherehe za kiserikali Bara zina futwa lakini Zanzibar zina fanyika, hamji ulizi kama mmesha kuwa watumwa wa Zanzibar?
Watanganyika tuamke!jiulize kwanini ni baada ya Samia kuwa rais wa Tanzania, jibu liko wazi pesa za Tanganyika. Muungano kuvunjika hakuepukiki, sema mpaka amalize miaka 5 atakuwa amemaliza rasilimali muhimu na Zanzibar itakuwa mbali sana na hatatakuwa wanahitaji tena muungano. Ukimsikiliza Hussein anavyojiamini utafikiri anaokota hela, eti Pemba yote atajenga lami, kwanini leo hiyo miaka yote 60 iliyopita kwanini hizo lami hazikujengwa? Tumeliwa
ndiyo nimegundua Nyerere hakuwa na akili. Alikuwa anamfurahisha nani?Je Nyerere alifanya hivyo kwa makusudi au kukosa utashi wa akili ?
Shida pa kuanzia, wapinzania wameshaanza kuparuana, labda CCM IGAWANYIKE NDIYO PONA YETU. jE WATATOKEA WABUNGE KM WALE 55 WA WAKATI WA MWINYI TENA?Watanganyika tuamke!
Hàmna akili Hadi muendelee kufuàta màtakwa ya hayati Nyerere? Kama katiba ni mbàya kwanini mnaifuata?Fedha zote zinatoka Tanganyika.
Rais wa Tanganyika ni Mzanzibar.
Rais wa Zanzibar ni Mzanzibar.
Mwl Nyerere alituachia katiba mbaya kuliko katiba zote Duniani.
Kwanini unàfuata màtakwa ya mtu asiye na akili? Wewe mwenye akili mbona hufanyi yako tuone akili zako?ndiyo nimegundua Nyerere hakuwa na akili. Alikuwa anamfurahisha nani?
Wazanzibari wanatuibia sana sisi WatanganyikaHàmna akili Hadi muendelee kufuàta màtakwa ya hayati Nyerere? Kama katiba ni mbàya kwanini mnaifuata?