October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
Sina Biashara za maana ila tiali ninaye niliye target kuwa ndio manager/Director wa Biashara zangu kubwa hapo baadae...jamaa ndio anayefanya biashara yangu ya sasahivi na kunilipa kwa week.
Nina mpango wa ku-base kwenye biashara aina moja ziwe kama 5 mjini na yeye ndio atakuwa anazi-manage akisaidizana na mimi.
Sikuzote anasema
“Babu unajua umeweka mzigo wako pesa nakuwa makini sana muda mwengine naumiza kichwa naangalia nini kimepungua”
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mpango wa ku-base kwenye biashara aina moja ziwe kama 5 mjini na yeye ndio atakuwa anazi-manage akisaidizana na mimi.
Sikuzote anasema
“Babu unajua umeweka mzigo wako pesa nakuwa makini sana muda mwengine naumiza kichwa naangalia nini kimepungua”
Sent using Jamii Forums mobile app