Sijui kama huu mfano utasaidia.
Mabaunsa zamani tulikua tukiitwa kulinda Uwanja wa Taifa tunaambiwa malipo ni 30, na tulikua hatukatai kwakua tulikua tunajua kuna njia za kuiba.
Utakuta unawapitisha watu mlango wa nyuma unapata almost 180. Baadaye ikawa tunalinda na askari, upigaji ukaminywa na tukawa tunakataa kazi.
Point yangu ni kwamba kama maslahi yanaendana na kazi anayofanya mtu uaminifu ni given.