Zipi ni njia bora za kumpata mfanyakazi mwaminifu

Hakuna mfanyakazi anatosheka na Mshahara
 
Askof tza kaka mambo mengi kaka.
Mimi napenda kumpigia mtu simu kama kuna inshu ya maana, ila kama sina inshu ya maana ya kumueleza, huwa nakuwa mzito sana kupiga na hata kutuma sms!
 
Tanzania hii kila aliyemuaminifu kajiajiri na hawatoshi.

Kwa maana hata hao waliojiajiri wapo wanaojiibia wenyewe.

Sahau.
 
Ndyo maneno yenu hya mkiwa mmepigika ila mkipewa na Chanel mnaanza kuonyesha picha zenu halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta kijana kijijini mleta dsm, by early January 2020, niachie just two weeks then chukua kijana wako akachape kazi.

Serious nitafute I will be there starting 11th January 2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbwewe wewe kama huwa unakutana na vimeo wanakuonyesha mapichapicha hao ni watu wako. Ila mimi nijuavyo vijana wachapakazi tupo kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…