TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Wabongo mnashida sana....wamisionary waliacha hydro ram pump ambayo haitumii umeme kupandisha maji lakini hamtaki kuzitumia. Mnabaki kukejeli tu! Mnaniudhi.Shule nilosoma ila hollow bricks ilijengwa na wamissionary so nadhani nyie si wa kwanza
Akijibu niTAGMbona maneno na tambo nyingi. Umeulizwa mfuko mmoja unatoa tofali ngapi, jibu acha kurukaruka. Umeulizwa pia bei lakini hujibu unaleta tambo tu..
Zikija nistueTakuja na project ya tofali za mchanga na plastic yaani mota ya kuunganisha tofali ni plastic badala ya mchanga hizi ni nzuri zinaitwa dead brick yaani hazifyonzi maji so haziwezi sapoti kitu hai mfano fungus, ukungu kwenye tofali ni nzuri kujengea maeneo yenye unyevu nyevu hazipitishi unyevu,haziliki na chemical yeyeto hata chumvi. Zinadumu miaka 500.
Unatumia kishoka cha mafundi uashi (masonry axe) kama hauna angle grinder ya concrete. Ukitumia mapanga kama tofari zilizozoeleka sokoni itabidi ununue panga jipya kila siku ni hizo ni tofari za zege zenye ubora wa hali ya juu.
Fundi "Maiko" lazima achemshe hapo.
Vipande si ununue ya kawaida kama hamsini uwe unakata vipande? kuna ubaya gani katika hilo.?
Vipande si ununue ya kawaida kama hamsini uwe unakata vipande? kuna ubaya gani katika hilo.?
Asante sikuona!Alishajibu mleta uzi
Kwa quality na high standards, ondoa shaka kwa Abdul. Hata picha anazotuma zinaonesha ni vitu vya uhakika.Hongera! Hakikisha ratio inakuwa ya maana vinginevyo utavunja nyumba za watu!
Nimeanza kuweka kifaa kingine post ya hapo juu kidogo.Hongereni sana aisee,utuwekee na hivyo vingine mkuu.
Upo sahihi, hakuna shaka ya ubora kwenye vifaa na ujenzi wetu.Kwa quality na high standards, ondoa shaka kwa Abdul. Hata picha anazotuma zinaonesha ni vitu vya uhakika.
Haishauriwi kufanya hivyo kwenye ujenzi. Vipande havitalingana ubora na tofari, itasababisha matatizo.Vipande si ununue ya kawaida kama hamsini uwe unakata vipande? kuna ubaya gani katika hilo.?
Amejibu juu huko.Akijibu niTAG
Tulishajibu, kasome post namba 53.Akijibu niTAG
Wakati tunaendelea na ujenzi wa msingi kwa concrete hollow blocks,, haoa chini mtaona tumeanza kuwaonesha kifaa kingine cha kipekee, nacho ni hicho kinachojenga nguzo...
View attachment 2303693
Msingi unapanda na nguzo zinapanda wakati huohuo, bila kungoja na kupoteza muda kwa nguzo za kumwaga zege zilizozoeleka.
Hizo zinaitwa Abraar column blocks.
Nimeona hiyo,sasa baada ya hapo si unamwaga zege?Nimeanza kuweka kifaa kingine post ya hapo juu kidogo.
Hili swali analikwepa sana.Kwa watinduaji hizo tofali hollow ni changamoto
Kama unatindua kuweka mfumo wa bomba au umeme
Tunaomba jibu la hiliKwa watinduaji hizo tofali hollow ni changamoto
Kama unatindua kuweka mfumo wa bomba au umeme
Kwenye uzi mzuri kama huu; inasikitisha utaona kuna watu wana AKILI ZA KIMASIKINI sana!Wabongo mnashida sana....wamisionary waliacha hydro ram pump ambayo haitumii umeme kupandisha maji lakini hamtaki kuzitumia. Mnabaki kukejeli tu! Mnaniudhi.