Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

Around makambako sub town zinakua Sana hizi Zina fanya mji wa makambako uchangamke Sana mfano ilembula ,kipagamo na mtwango hii hapa ni ilembula
 
Chai hujaitaja na fursa ya kilimo cha maua na apples kati ya mengi.
 
Fursa ya kibiashara ukanda wa tambarare makambako Hilo eneo linajumuisha maeneo ya mtwango ,kichiwa ,ikuna ninga ,igongolo na kata zote za makambako tc na wangingombe tc kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 hili eneo Lina watu zaidi ya laki nne ambapo ni zaidi ya nusu ya watu wote waliopo mkoa wa njombe hili eneo asilimia kubwa lipo busy na biashara asilimia 90 makazi Yao yameungana na kitovu Chao Cha biashara ni makambako hii inafanya centre ya makambako Kuwa busy na biashara na pongezi kwa aliye buni mradi wa kujenga soko la kimataifa makambako maana ni eneo lililopo centre na Lina mwingiliano mkubwa wa watu
 
Fursa nyingi, mfano maranda ya mbao unaweza tengeneza mkaa, au briquettes pellet ukaexport. Kuna mianzi ya kutosha unatengeneza bidhaa kibao za mianzi Mfano mkaa, mkaa wa kusafisha bidhaa za viwandani mfano mafuta nk, kutengeneza mbao , karatasi, vipodozi, nk
 
Moja kati ya barabara ngumu na ya kiume tanzania[emoji1787][emoji1787] makambako - njombe - songea - mbinga balaa tupu, hizo kitonga ziwe hata 10 ila hapo ndio mwisho wa matatizo
 
Kon
Moja kati ya barabara ngumu na ya kiume tanzania[emoji1787][emoji1787] makambako - njombe - songea - mbinga balaa tupu, hizo kitonga ziwe hata 10 ila hapo ndio mwisho wa matatizo
Kona Zinaanzia njombe mjini had songea makambako njombe imenyoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…