Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

Hii ndo sehemu pekee iyounganisha hizi halmashauri nne za mkoa ndo maana kwa Sasa imezungukwa na makazi kibena
thumb_512_1130x480_0_0_auto-jpg.2532205
View attachment 2532206
Mkuu mimi bado nafuatilia.

Sasa naona tovuti imeanza kubadilika kidogo ni jambo zuri.

Jaribu kuhakikisha mtu anaeshughulika na hiyo tovuti aenda na wakati na tovuti yasheheni taarifa zote muhimu.

Kwa mfano hakuna taarifa zozote za mwezi Februari jambo ambalo si la afya kidogo.

Tatu, jaribu kuhakikisha tovuti ya mkoa ni dynamic yaani mtu aweze kufungua ukarasa zaidi ya mmoja bila kuathiri mwonekano (visual appeal) na muundo (layout). Tovuti isiwe yasimama (static) kwamba kila karasa ipo katika eneo moja tu na ni hapohapo.

Mwisho, msiogope kuwekeza katika masuala kama websites maana hizi ni dirisha la kwanza kabisa kwa mgeni khasa anotokea masafa ya mbali. Static website yahitaji manual updating lakini dynamic itakupa sehemu mbili yaani "client side scripting" na "server side scripting". Hizi njia zakupa website ambayo ni ya kisasa, yenye kujazwa taarifa kwa "real time" na ipo salama zaidi kwasababu kwenye "client side scripting", Java huweza kutumika.

Huo ni ushauri kwa kifupi sana lakini naamini utashughulikia kwani Halmashauri ya Njombe ina pesa ya kutosha kwa mambo madogo kama kugharamia website.
 
Mkoa wa Njombe: Mkoa wa Njombe una Halamashauri 6 ambazo ni Njombe Mjini, Vijijini, Ludewa, Makete, Wangingombe na Makambako.

Wenyeji wa Mkoa wa Njombe 70% ni wabena, ambao wanapatikana Wilaya za Njombe mjini,Vijijini, Makambako, Wangingombe na wakinga-Halamashauri ya Makete na Halamashauri ya Ludewa wapo Wapangwa na wanyasa.

Sifa muhimu za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe
  • Ndio Mkoa unaongoza kwa Idadi ndogo ya watu kwa takwimu za awali za sensa ya 2022 Mkoa huo unakadiriwa kuwa na watu 889,946
  • Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa Mikoa top 5 iliyo na watu wa vipato vikubwa zaidi kuliko Mikoa mingine.
  • Mkoa wa Njombe-Makambako kuna upepo wa kiwango kikubwa ambao unaweza kuzalisha umeme wa megawati zaidi ya 300
  • Unaongoza kwa uzalishaji wa mbao-Asilimia 60-70 ya mbao zote zinazotumika Tanzania zinatoka katika huo Mkoa-na zinalimwa karibu Halamashauri zote za Mkoa huo.
  • Unaongoza kwa uzalishaji wa zao la viazi mviringo 70% ya viazi vyote Tanzanua vinalimwa huko.
  • Unaongoza katika uzalishaji wa zao LA parachihi Tanzania nzima.
  • Ndio Mkoa unaongoza kwa madini ya Chuma na Makaa ya mawe. Kwa Tanzania akiba kubwa ya madini hayo yapo Mkoa huo na yanapatikana kule Luganga na Mchuchuma Wilayani Ludema.
Sifa nyingine:
  1. Unaongoza kwa wafanyabiashara wakubwa Tanzani a.k.a Wakinga
  2. Ndio Mkoa unaongoza kwa baridi Tanzania nzima hasa Njombe Mjini na Makete
  3. Mkoa wa Njombe ndio Mkoa pekee kwa kipindi cha miaka 5-10 unaongoza kwenye top 3 ya maambukizi ya HIV
  4. Mkoa wa Njombe ina Idadi kubwa ya Wanawake kuliko Wanaume kuliko Mikoa yote Tanzania.
N.B. Kama mtu upo interested kuishi mazingira kama ya Ulaya ulaya yenye baridi na green-Mkoa wa Njombe ndio jibu sahihi. Huko Mbu na nzi ni kama hakuna. Maelezo mengine kuhusu investment opportunities katika Mkoa huo tembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

hapo no 4 wanawake walio wengi wa mkoa huo wachafu hawajui kuoga wala kufua malaya sana ila ni watafutaji sana hata kupika hawajui zadi kitimoto
 
hapo no 4 wanawake walio wengi wa mkoa huo wachafu hawajui kuoga wala kufua malaya sana ila ni watafutaji sana hata kupika hawajui zadi kitimoto
Mkuu, weye waingiza soko kama la "beauty products" na nguo za aina zote za akina mama pamoja na majiko ya kisasa, fursa tayari.

Utashangaa hao wanawake wapendeza kwa kuogea sabuni nzuri, na pia wavaa nguo maridadi.

Just be positive.
 
Kwa plan hii huu mkoa kupitia hizi halmashauri nne wanauwezo wa kuja kuwa na jiji la mfano nyanda za juu kusini ni sehemu yenye uwanda wa tambalale kubwa ambalo ime cover Halmashauri nne za makambako tc ,wangingombe ,njombe dc na njombe tc wilaya zenye milima ni makete na ludewa
FB_IMG_16780704641722221.jpg
FB_IMG_16780704391154126.jpg
FB_IMG_16780706519420939.jpg
fb_img_16756788344120328-jpg.2538903
A-map-showing-the-study-districts-and-their-respective-wards-in-Njombe-region-Tanzania~3.jpg
FB_IMG_16780811284743955.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_16756788344120328.jpg
    FB_IMG_16756788344120328.jpg
    31.1 KB · Views: 106
" Njombe peleka pesa na sio kuchukua pesa, wenyeji bado hawaamin kununua kwa mtu asie kabila lao"
Peleka pesa kanunue viazi, mbao , mapori.
Lakini sio wao wakupe wewe pesa kupitia biashara utakayoanzisha. Naongea kwa uzoefu.
Uko sahihi kabisa
 
Kujifunza kwa aliyefanikiwa ni nzuri zaidi ni wakati Sasa wa mkoa wa njombe kujifunza dodoma jinsi walivyo fanya mgawanyo wa uwekezaji kwe zone hizo nne maana na mkoa wa njombe unaeneo kama Hilo lenye wakazi zaidi ya laki Saba ambao ni fursa kwao kwa uwekezaji na uwekezaji mkubwa inatakiwa ufanyike eneo la mtwango ambalo ndo katikati ya zone hizo ambalo Kila upande ni almost km 25 umefika halmashauri nyingine na wakifanya hivyo mkoa wa njombe utakuwa the best ukanda wa nyanda za juu kusini maana Hilo eneo lote ni tambalale
Map-showing-administrative-boundaries-of-Dodoma-municipal-urban-district(0).jpg
A-map-showing-the-study-districts-and-their-respective-wards-in-Njombe-region-Tanzania~3.jpg
 
Naomba kuuliza kuhusu hii fursa je?
Ulanzi unauzwa Tsh ngapi huko kwa lita moja.

Na anahefahamu bei ya ulanzi kwa Iringa tafadhali. Anijuze
 
Back
Top Bottom