Hayo ni majungu ya kuchafua mkoa wageni ni wengi Sana wamewekeza mkoa wa njombe na saiz wachina na wakenya wanamiminika kwa wingi mkoa wa njombe una fursa kibaoMkoa wa hovyo watu wa majungu, uganga, full uchawi sana, wasiotaka wageni wafanikiwe ni wenyewe tu watu wenye roho mbaya na za kwa nini. Huko kuishi mpaka uwe mwenyeji na kufanikiwa kutoka kibiashara uwe mtu wa madawa sana