NaMshaangaa huyu jamaa
Kutoboa kwenye eneo gani sasa maana fursa tele.
Watu wapo Dar wamewekeza njombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoboa kwenye eneo gani sasa maana fursa tele.
Watu wapo Dar wamewekeza njombe
Kenya ndie supply Mkubwa Sana wa parachichi Ulaya na China, matajiri wetu hawawezi wanajua kuloga tu kutoa makafara tu barabarani,creativity hawana na biashara za kuigana tu sijui duka, magari, hotel hizi ni biashara za machinga tu. Inatakiwa wafanye uwekezaji mitaji wanayo na sio kuwaachia wachina.
Wekeza kwenye makaa ya mawe na chuma hutopata hasara. Watz hawajui kuhusu haya ngoja wachina waje watajirike
Bro wanaongea wote Hao ni wakazi wa Njombe nenda wewe mgeni sasaKwamba hayo makaa unanunua na kuuza. Alafu we si mtz mbona huendi kuwekeza huko?
Nipo njiani.Unayatumia kuyeyushiaa chuma, pia kutengeneza mkaa pia, na kuchomea matofali na vigae vya udongoKwamba hayo makaa unanunua na kuuza. Alafu we si mtz mbona huendi kuwekeza huko?
Hyo ya pili sio Agreement Hotel kweli??
Hyo ya pili sio Agreement Hotel kweli??
Haya mambo sehemu nyingi yapo