Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Heeeh we jamaa, ni miambili au afu mbili? Naa unaongelea lita au umenipa bei ya kipimo gani kaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lita mojaHeeeh we jamaa, ni miambili au afu mbili? Naa unaongelea lita au umenipa bei ya kipimo gani kaka?
Asante sanaLita moja
Chai hujaitaja na fursa ya kilimo cha maua na apples kati ya mengi.Mkoa wa Njombe: Mkoa wa Njombe una Halamashauri 6 ambazo ni Njombe Mjini, Vijijini, Ludewa, Makete, Wangingombe na Makambako.
Wenyeji wa Mkoa wa Njombe 70% ni wabena, ambao wanapatikana Wilaya za Njombe mjini,Vijijini, Makambako, Wangingombe na wakinga-Halamashauri ya Makete na Halamashauri ya Ludewa wapo Wapangwa na wanyasa.
Sifa muhimu za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe
Sifa nyingine:
- Ndio Mkoa unaongoza kwa Idadi ndogo ya watu kwa takwimu za awali za sensa ya 2022 Mkoa huo unakadiriwa kuwa na watu 889,946
- Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa Mikoa top 5 iliyo na watu wa vipato vikubwa zaidi kuliko Mikoa mingine.
- Mkoa wa Njombe-Makambako kuna upepo wa kiwango kikubwa ambao unaweza kuzalisha umeme wa megawati zaidi ya 300
- Unaongoza kwa uzalishaji wa mbao-Asilimia 60-70 ya mbao zote zinazotumika Tanzania zinatoka katika huo Mkoa-na zinalimwa karibu Halamashauri zote za Mkoa huo.
- Unaongoza kwa uzalishaji wa zao la viazi mviringo 70% ya viazi vyote Tanzanua vinalimwa huko.
- Unaongoza katika uzalishaji wa zao LA parachihi Tanzania nzima.
- Ndio Mkoa unaongoza kwa madini ya Chuma na Makaa ya mawe. Kwa Tanzania akiba kubwa ya madini hayo yapo Mkoa huo na yanapatikana kule Luganga na Mchuchuma Wilayani Ludema.
N.B. Kama mtu upo interested kuishi mazingira kama ya Ulaya ulaya yenye baridi na green-Mkoa wa Njombe ndio jibu sahihi. Huko Mbu na nzi ni kama hakuna. Maelezo mengine kuhusu investment opportunities katika Mkoa huo tembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
- Unaongoza kwa wafanyabiashara wakubwa Tanzani a.k.a Wakinga
- Ndio Mkoa unaongoza kwa baridi Tanzania nzima hasa Njombe Mjini na Makete
- Mkoa wa Njombe ndio Mkoa pekee kwa kipindi cha miaka 5-10 unaongoza kwenye top 3 ya maambukizi ya HIV
- Mkoa wa Njombe ina Idadi kubwa ya Wanawake kuliko Wanaume kuliko Mikoa yote Tanzania.
![]()
SafBaadhi ya vivutio vya kitalii ndani ya mkoa wa njombe
View attachment 2518640View attachment 2518642View attachment 2518644View attachment 2518646View attachment 2518647View attachment 2518648View attachment 2518649View attachment 2518650View attachment 2518651View attachment 2518654View attachment 2518656View attachment 2518659
Dhahabu ni ludewaDhahabu VP huko inapatkana tuje tupambane
Hakuna mkoa usio na dhahabu TANZANIADhahabu VP huko inapatkana tuje tupambane
KILIMANJAROHakuna mkoa usio na dhahabu TANZANIA
ZipoKILIMANJARO
Kona Zinaanzia njombe mjini had songea makambako njombe imenyokaMoja kati ya barabara ngumu na ya kiume tanzania[emoji1787][emoji1787] makambako - njombe - songea - mbinga balaa tupu, hizo kitonga ziwe hata 10 ila hapo ndio mwisho wa matatizo
Yupo mbali sana na civilization 😂We kutoboa utasubiri sana