Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Mheshimiwa Mtaka usitoke hapo kabla ya kuuweka mkoa uwe wa mfano Tanzania.
Wewe ni mmoja wa watu makini sana.
Jaribu sana pia kuhakikisha miundombinu yakamilishwa kwa good landscaping yaani lami kuzunguka, maeneo kama hospitali na shule.
Pia upandaji miti pembezoni mwa barabara husaidia kuleta vivuli na mandhari mazuri, bustani katika maeneo nilitaja hapo juu.
Njombe kijiografia ni mkoa mzuri khasa kwa wawezekaji wa kigeni hivyo upangaji mji khasa katikati ya miji kutawezesha kuleta wawezakezaji katika maeneo mengi kama maduka makubwa, huduma , na mambo mengi sana.
Jaribu kubuni kuweka town centres ambazo zitaleta wawezekaji wa kila aina ambao watakuleteeni kodi za maendeleo.
Wewe ni mmoja wa watu makini sana.
Jaribu sana pia kuhakikisha miundombinu yakamilishwa kwa good landscaping yaani lami kuzunguka, maeneo kama hospitali na shule.
Pia upandaji miti pembezoni mwa barabara husaidia kuleta vivuli na mandhari mazuri, bustani katika maeneo nilitaja hapo juu.
Njombe kijiografia ni mkoa mzuri khasa kwa wawezekaji wa kigeni hivyo upangaji mji khasa katikati ya miji kutawezesha kuleta wawezakezaji katika maeneo mengi kama maduka makubwa, huduma , na mambo mengi sana.
Jaribu kubuni kuweka town centres ambazo zitaleta wawezekaji wa kila aina ambao watakuleteeni kodi za maendeleo.