Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

Mheshimiwa Mtaka usitoke hapo kabla ya kuuweka mkoa uwe wa mfano Tanzania.

Wewe ni mmoja wa watu makini sana.

Jaribu sana pia kuhakikisha miundombinu yakamilishwa kwa good landscaping yaani lami kuzunguka, maeneo kama hospitali na shule.

Pia upandaji miti pembezoni mwa barabara husaidia kuleta vivuli na mandhari mazuri, bustani katika maeneo nilitaja hapo juu.

Njombe kijiografia ni mkoa mzuri khasa kwa wawezekaji wa kigeni hivyo upangaji mji khasa katikati ya miji kutawezesha kuleta wawezakezaji katika maeneo mengi kama maduka makubwa, huduma , na mambo mengi sana.

Jaribu kubuni kuweka town centres ambazo zitaleta wawezekaji wa kila aina ambao watakuleteeni kodi za maendeleo.
 
N
Mheshimiwa Mtaka usitoke hapo kabla ya kuuweka mkoa uwe wa mfano Tanzania.

Wewe ni mmoja wa watu makini sana.

Jaribu sana pia kuhakikisha miundombinu yakamilishwa kwa good landscaping yaani lami kuzunguka, maeneo kama hospitali na shule.

Pia upandaji miti pembezoni mwa barabara husaidia kuleta vivuli na mandhari mazuri, bustani katika maeneo nilitaja hapo juu.

Njombe kijiografia ni mkoa mzuri khasa kwa wawezekaji wa kigeni hivyo upangaji mji khasa katikati ya miji kutawezesha kuleta wawezakezaji katika maeneo mengi kama maduka makubwa, huduma , na mambo mengi sana.

Jaribu kubuni kuweka town centres ambazo zitaleta wawezekaji wa kila aina ambao watakuleteeni kodi za maendeleo.
Na kaupatia kweli mkoa wa njombe anapiga kazi kweli kweli mkoa unabadilika Sana
 
Yan position mkoa ulipo utazidi kufunguka zaidi
Spatial-map-of-the-Southern-Highlands-with-significant-pig-related-and-ASF-locations.jpg
 
Kila wilaya ikiwa na town centre italeta msukumo wa wafanyabiashara kuhamia huko.

Ujenzi wa nyumba za gharama nafuu na kuanzisha zones maalum kwa ajili ya biashara.

Yaani unakuwa na town centre, kisha industrial zones na makazi ya watu..

Pia kuhakikisha mkoa wavutia vijana wenye ujuzi mbalimbali kuhamia huko na kuanzisha makazi na biashara na kuweka mazingira mazuri.
 
Kila wilaya ikiwa na town centre italeta msukumo wa wafanyabiashara kuhamia huko.

Ujenzi wa nyumba za gharama nafuu na kuanzisha zones maalum kwa ajili ya biashara.

Yaani unakuwa na town centre, kisha industrial zones na makazi ya watu..

Pia kuhakikisha mkoa wavutia vijana wenye ujuzi mbalimbali kuhamia huko na kuanzisha makazi na biashara na kuweka mazingira mazuri.
Kwa mkoa wa njombe naona Hilo wazo ndo wanatembea nalo maana nimezunguka halmashauri zote zote town centre ni wameboresha street road wamepiga lami ko hili jambo ndo linachochea wawekezaji kuingia mkoa wa njombe na wameteua mji wa makambako kuwa logistic centre wanajenga bandari kavu mizigo itasafirishwa na treni
 
Kila wilaya ikiwa na town centre italeta msukumo wa wafanyabiashara kuhamia huko.

Ujenzi wa nyumba za gharama nafuu na kuanzisha zones maalum kwa ajili ya biashara.

Yaani unakuwa na town centre, kisha industrial zones na makazi ya watu..

Pia kuhakikisha mkoa wavutia vijana wenye ujuzi mbalimbali kuhamia huko na kuanzisha makazi na biashara na kuweka mazingira mazuri.
Kwa mkoa wa njombe naona Hilo wazo ndo wanatembea nalo maana nimezunguka halmashauri zote zote town centre ni wameboresha street road wamepiga lami ko hili jambo ndo linachochea wawekezaji kuingia mkoa wa njombe na wameteua mji wa makambako kuwa logistic centre wanajenga bandari kavu mizigo itasafirishwa na tren
 
Mkoa wa Njombe: Mkoa wa Njombe una Halamashauri 6 ambazo ni Njombe Mjini, Vijijini, Ludewa, Makete, Wangingombe na Makambako.

Wenyeji wa Mkoa wa Njombe 70% ni wabena, ambao wanapatikana Wilaya za Njombe mjini,Vijijini, Makambako, Wangingombe na wakinga-Halamashauri ya Makete na Halamashauri ya Ludewa wapo Wapangwa na wanyasa.

Sifa muhimu za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe
  • Ndio Mkoa unaongoza kwa Idadi ndogo ya watu kwa takwimu za awali za sensa ya 2022 Mkoa huo unakadiriwa kuwa na watu 889,946
  • Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa Mikoa top 5 iliyo na watu wa vipato vikubwa zaidi kuliko Mikoa mingine.
  • Mkoa wa Njombe-Makambako kuna upepo wa kiwango kikubwa ambao unaweza kuzalisha umeme wa megawati zaidi ya 300
  • Unaongoza kwa uzalishaji wa mbao-Asilimia 60-70 ya mbao zote zinazotumika Tanzania zinatoka katika huo Mkoa-na zinalimwa karibu Halamashauri zote za Mkoa huo.
  • Unaongoza kwa uzalishaji wa zao la viazi mviringo 70% ya viazi vyote Tanzanua vinalimwa huko.
  • Unaongoza katika uzalishaji wa zao LA parachihi Tanzania nzima.
  • Ndio Mkoa unaongoza kwa madini ya Chuma na Makaa ya mawe. Kwa Tanzania akiba kubwa ya madini hayo yapo Mkoa huo na yanapatikana kule Luganga na Mchuchuma Wilayani Ludema.
Sifa nyingine:
  1. Unaongoza kwa wafanyabiashara wakubwa Tanzani a.k.a Wakinga
  2. Ndio Mkoa unaongoza kwa baridi Tanzania nzima hasa Njombe Mjini na Makete
  3. Mkoa wa Njombe ndio Mkoa pekee kwa kipindi cha miaka 5-10 unaongoza kwenye top 3 ya maambukizi ya HIV
  4. Mkoa wa Njombe ina Idadi kubwa ya Wanawake kuliko Wanaume kuliko Mikoa yote Tanzania.
N.B. Kama mtu upo interested kuishi mazingira kama ya Ulaya ulaya yenye baridi na green-Mkoa wa Njombe ndio jibu sahihi. Huko Mbu na nzi ni kama hakuna. Maelezo mengine kuhusu investment opportunities katika Mkoa huo tembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Balaa la mkoa huo bhana ni hiyo baridi tu! Ila kwa fursa ni kama zote. Tanzania ni paradise ya Duniani, Mungu ibariki Tanzania, wabariki watu wake. 🙏 Amen.
 
Uvuvi ziwa nyasa hasa ludewa hua naweka kambi kila mwezi wa saba hadi wa kumi nanunua dagaa nyasa wa kupeleka Angola na zimbabwe tatizo lenu hamjui hata kama mna hiyo fursa hua nakaa miezi mitatu pale ludewa 7-10.
Watu wanajua fursa za dagaa labda useme soko nje ya nchi
 
Kila wilaya ikiwa na town centre italeta msukumo wa wafanyabiashara kuhamia huko.

Ujenzi wa nyumba za gharama nafuu na kuanzisha zones maalum kwa ajili ya biashara.

Yaani unakuwa na town centre, kisha industrial zones na makazi ya watu..

Pia kuhakikisha mkoa wavutia vijana wenye ujuzi mbalimbali kuhamia huko na kuanzisha makazi na biashara na kuweka mazingira mazuri.
Sahihi
 
Kinachotakiwa saizi kwenye huu mkoa ni kuweka barabara njia nne Kipande Cha makambako hadi njombe kutokana na hii Barabara inaunganisha halmashauri zote sita na na kwa Sasa imeanza kuzidiwa kwa kuwa na msongamano hii imepelekea kuwa na trafic light kama nne kipande hicho na msongamano utazidi zaidi utakapo Anza mgodi wa ludewa
FB_IMG_16755770785740455.jpg
IMG-20220904-WA0200.jpg
FB_IMG_16766045520629047.jpg
FB_IMG_16736272425276283~3.jpg
FB_IMG_16706646995655303.jpg
 
Kinachotakiwa saizi kwenye huu mkoa ni kuweka barabara njia nne Kipande Cha makambako hadi njombe kutokana na hii Barabara inaunganisha halmashauri zote sita na na kwa Sasa imeanza kuzidiwa kwa kuwa na msongamano hii imepelekea kuwa na trafic light kama nne kipande hicho na msongamano utazidi zaidi utakapo Anza mgodi wa ludewaView attachment 2519973View attachment 2519953View attachment 2519957View attachment 2519971View attachment 2519972
Kwa kuwa barabara zimejengwa tayari, bado pia njia za watembea kwa miguu zahitajika , mifereji ya maji na taa za barabarani.
 
Hapo iko sawa naona mifereji na njia za watembea kwa miguu.

Hapo zahitajika taa za barabarani na taa za solar zatosha sana.

Picha ya juu ionyeshayo mtaa wa residential watakiwa kufanyiwa kitu chaitwa Residential road improvement yaani barabara za kuingia kwenye makazi.
 
Back
Top Bottom