Ule bado hawajaanza matengenezoMkuu vipi kuhusu uwanja wa ndege?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule bado hawajaanza matengenezoMkuu vipi kuhusu uwanja wa ndege?
Nitakuja njombe kuwekeza nimepapenda sana
Umefurahi siyo? Unakaa kujitengenezea takwimu zako? Cheka sasa km zuzu!Mkoa wa Njombe: Mkoa wa Njombe una Halamashauri 6 ambazo ni Njombe Mjini, Vijijini, Ludewa, Makete, Wangingombe na Makambako.
Wenyeji wa Mkoa wa Njombe 70% ni wabena, ambao wanapatikana Wilaya za Njombe mjini,Vijijini, Makambako, Wangingombe na wakinga-Halamashauri ya Makete na Halamashauri ya Ludewa wapo Wapangwa na wanyasa.
Sifa muhimu za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe
Sifa nyingine:
- Ndio Mkoa unaongoza kwa Idadi ndogo ya watu kwa takwimu za awali za sensa ya 2022 Mkoa huo unakadiriwa kuwa na watu 889,946
- Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa Mikoa top 5 iliyo na watu wa vipato vikubwa zaidi kuliko Mikoa mingine.
- Mkoa wa Njombe-Makambako kuna upepo wa kiwango kikubwa ambao unaweza kuzalisha umeme wa megawati zaidi ya 300
- Unaongoza kwa uzalishaji wa mbao-Asilimia 60-70 ya mbao zote zinazotumika Tanzania zinatoka katika huo Mkoa-na zinalimwa karibu Halamashauri zote za Mkoa huo.
- Unaongoza kwa uzalishaji wa zao la viazi mviringo 70% ya viazi vyote Tanzanua vinalimwa huko.
- Unaongoza katika uzalishaji wa zao LA parachihi Tanzania nzima.
- Ndio Mkoa unaongoza kwa madini ya Chuma na Makaa ya mawe. Kwa Tanzania akiba kubwa ya madini hayo yapo Mkoa huo na yanapatikana kule Luganga na Mchuchuma Wilayani Ludema.
N.B. Kama mtu upo interested kuishi mazingira kama ya Ulaya ulaya yenye baridi na green-Mkoa wa Njombe ndio jibu sahihi. Huko Mbu na nzi ni kama hakuna. Maelezo mengine kuhusu investment opportunities katika Mkoa huo tembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
- Unaongoza kwa wafanyabiashara wakubwa Tanzani a.k.a Wakinga
- Ndio Mkoa unaongoza kwa baridi Tanzania nzima hasa Njombe Mjini na Makete
- Mkoa wa Njombe ndio Mkoa pekee kwa kipindi cha miaka 5-10 unaongoza kwenye top 3 ya maambukizi ya HIV
- Mkoa wa Njombe ina Idadi kubwa ya Wanawake kuliko Wanaume kuliko Mikoa yote Tanzania.
![]()
Ni kweli nimeamini Njombe %kubwa ni wanawake..humu sokoni ni wanawake zaidi...safi kabisa wanawake wapambanajiVilevile itakuwa na masoko makubwa mawili njombe na makambako
View attachment 2520084View attachment 2520085
Nenda ukashangae....hela iko NjombeHizo fursa ziko wapi?
Nenda ukashangae....hela iko Njombe
SOma thread hii utaziona..Sawa sijakataa, andika hizo fursa hapa
Njombe fursa ni nyingi mno pesa ipo njombe mzeeSawa sijakataa, andika hizo fursa hapa
Njombe fursa ni nyingi mno pesa ipo njombe mzee
LudKinachotakiwa saizi kwenye huu mkoa ni kuweka barabara njia nne Kipande Cha makambako hadi njombe kutokana na hii Barabara inaunganisha halmashauri zote sita na na kwa Sasa imeanza kuzidiwa kwa kuwa na msongamano hii imepelekea kuwa na trafic light kama nne kipande hicho na msongamano utazidi zaidi utakapo Anza mgodi wa ludewaView attachment 2519973View attachment 2519953View attachment 2519957View attachment 2519971View attachment 2519972
Ludewa tayari Maxcoal kaanza kuchimba makaa ya mawe. Wakenya wanachukua mzigo kila sikuKinachotakiwa saizi kwenye huu mkoa ni kuweka barabara njia nne Kipande Cha makambako hadi njombe kutokana na hii Barabara inaunganisha halmashauri zote sita na na kwa Sasa imeanza kuzidiwa kwa kuwa na msongamano hii imepelekea kuwa na trafic light kama nne kipande hicho na msongamano utazidi zaidi utakapo Anza mgodi wa ludewaView attachment 2519973View attachment 2519953View attachment 2519957View attachment 2519971View attachment 2519972
Lud
Ludewa tayari Maxcoal kaanza kuchimba makaa ya mawe. Wakenya wanachukua mzigo kila siku