Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

Zitambue fursa za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe

Njia za mitaan makete na wangingombe We
View attachment 2519995View attachment 2519997
fb_img_16692513695829666-jpg.2520005
 

Attachments

  • AE2B101A-502F-4FCF-9CAF-BF2B89B5D4C9.jpeg
    AE2B101A-502F-4FCF-9CAF-BF2B89B5D4C9.jpeg
    305.5 KB · Views: 39
  • FB_IMG_16692513695829666.jpg
    FB_IMG_16692513695829666.jpg
    40 KB · Views: 156
Nimeangalia tovuti ya mkoa na zile za halmashauri zijapendezwa nazo kabisa.

Kuna sehemu nyingi katika tovuti hazijashiba madini sasa wawekezaji watapata vipi more information?

Sehemu ya biashara na uwekezaji.

Hapa wajaza habari za biashara, leseni za biashara.

Biashara ambazio ni lazima manispaa ipate kodi ni kama zifuatazo:

1. Mabango ya biashara

2. Masoko, maduka na masoko ya mitaani au magulio.

3. Majosho ya wanyama

4, Baa na kumbi za starehe

5. Magari ya kukodi na bodaboda.

Hapo wapata kodi ambayo itasaidia kuendeleza au kuboresha maeneo mengine.

Utapataje hizi kodi?

Weye waweka business rates kulingana na aina ya biashara.

Hili ni eneo mojawapo la kuingiza mapato kwa manispaa au wilaya.
 
Street light zikiendelea kuwekwa hii ni Barabara ya makambako to njombe na hizi zimewekwa makambako, njombe,wangingombe,ilembula,na igwachanya
View attachment 2520039
Safi sana kamanda haya ndo maendeleo tunayoyasema, barabara safi taa za barabarani na vivuko kwa watembea kwa miguu.

Taa za barabarani hupunguza vitendo cha kihalifu na pia kusaidia kutoa mwanga kwa nyakati za usiku.

Pia kusaidia aerial view kwa alie angani.
 
Mkoa wa njombe kuwa na stendi kubwa za mabasi mbili njombe na makambako ya njombe imekamilika bado ya makambako
thumb_513_1130x480_0_0_auto.jpg
 
Mkoa wa Njombe: Mkoa wa Njombe una Halamashauri 6 ambazo ni Njombe Mjini, Vijijini, Ludewa, Makete, Wangingombe na Makambako.

Wenyeji wa Mkoa wa Njombe 70% ni wabena, ambao wanapatikana Wilaya za Njombe mjini,Vijijini, Makambako, Wangingombe na wakinga-Halamashauri ya Makete na Halamashauri ya Ludewa wapo Wapangwa na wanyasa.

Sifa muhimu za kiuchumi katika Mkoa wa Njombe
  • Ndio Mkoa unaongoza kwa Idadi ndogo ya watu kwa takwimu za awali za sensa ya 2022 Mkoa huo unakadiriwa kuwa na watu 889,946
  • Mkoa wa Njombe ni miongoni mwa Mikoa top 5 iliyo na watu wa vipato vikubwa zaidi kuliko Mikoa mingine.
  • Mkoa wa Njombe-Makambako kuna upepo wa kiwango kikubwa ambao unaweza kuzalisha umeme wa megawati zaidi ya 300
  • Unaongoza kwa uzalishaji wa mbao-Asilimia 60-70 ya mbao zote zinazotumika Tanzania zinatoka katika huo Mkoa-na zinalimwa karibu Halamashauri zote za Mkoa huo.
  • Unaongoza kwa uzalishaji wa zao la viazi mviringo 70% ya viazi vyote Tanzanua vinalimwa huko.
  • Unaongoza katika uzalishaji wa zao LA parachihi Tanzania nzima.
  • Ndio Mkoa unaongoza kwa madini ya Chuma na Makaa ya mawe. Kwa Tanzania akiba kubwa ya madini hayo yapo Mkoa huo na yanapatikana kule Luganga na Mchuchuma Wilayani Ludema.
Sifa nyingine:
  1. Unaongoza kwa wafanyabiashara wakubwa Tanzani a.k.a Wakinga
  2. Ndio Mkoa unaongoza kwa baridi Tanzania nzima hasa Njombe Mjini na Makete
  3. Mkoa wa Njombe ndio Mkoa pekee kwa kipindi cha miaka 5-10 unaongoza kwenye top 3 ya maambukizi ya HIV
  4. Mkoa wa Njombe ina Idadi kubwa ya Wanawake kuliko Wanaume kuliko Mikoa yote Tanzania.
N.B. Kama mtu upo interested kuishi mazingira kama ya Ulaya ulaya yenye baridi na green-Mkoa wa Njombe ndio jibu sahihi. Huko Mbu na nzi ni kama hakuna. Maelezo mengine kuhusu investment opportunities katika Mkoa huo tembelea Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

Na maambukizi ya HIV ni fursa kiuchumi?
 
Ki

Kila sehemu uchawi upo Cha msingi ni kupambanaView attachment 2520090View attachment 2520091
Mkuu, safi sana, naona nimechokoza nyuki waleta mizinga ya maana.

Njombe kweli kumekucha.

Lakini kama nilivyosema hapo mwanzo kwamba mpangilio mzuri ni silaha tosha kuwalenga wawekezaji makini.

Kuna wawekezaji wengi hupenda kusikia maeneo fulani nimzuri kuishi au kujenga nyumbha nzuroi za makazi, masuala kama umeme usokatika hovyo, na uhakika wa maji salama.

Hivi nadhani vipo chini ya uwezo wenu.

Njombe oyeeeh!
 
Back
Top Bottom