Zito mbona hujiamini, acha kuwa mpole sana kwa Lisu na chadema

Zito mbona hujiamini, acha kuwa mpole sana kwa Lisu na chadema

Chadema na Lisu mnatakiwa mheshimu mawazo ya vyama vingine. Leo mmeshambulia sana Zito licha ya Zito kuwa mpole lakini hamna adabu.
Zito acha kuwa mpole sana kwa hawa watu.
ebu sikia hapaona jinsi lisu anavyomtusi Zito. Siyo fair kabsa



lisu kulikuwa kuna haja ya kutukana wenzako, kwani maamuzi ya ACT lazima yafananane na Chadema,.
Chadema acheni siasa za chuki
Lisu ni dikteta mbaya sana, akikamata urais atawaua sana.. mtafungwa sana kwenye viroba...
 
Zitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Hamuwezi kamata nchi kwa hizi attitudes, mtaishia kuwa watu wa kulaumu na kutukana maisha yenu yote... What a waste of time and effort..!!
Msipojiheshimu hamtaheshimiwa
 
Ni kuacha kuongelea chama chake kwenye mkutano na kuanza kuongelea Mbowe na CHADEMA.
Kwani ajenda ya mkutano wenu ulikuwa Mbowe?
Anamwongelea boss wake wa zamani, zito na mbowe walishamaliza tofauti zao, zito ameshamtembelea jela mara kadhaa,, zito alimtembelea lisu akiwa hoi Nairobi mara kadhaa , waislamu wamelelewa katika makuzi ambayo yanawafanya wasiwe watu wa husda, vijicho, roho za kwanini, dharau, ngebe, ufukunyungu, kisirani, wala ufukunyungu na wala hawana ushamba wa madaraka, so zito kumwombea mbowe msamaha ni jambo ambalo ni reasonable,,
Kinana aliwahi kutoka hadharani na kuomba msamaha kwa jpm,,, japo hakuwa na kosa lolote,
Unaweza kuwa umemkosea mtu bila kujua kuwa umemkosea kuombana msamaha ni logic na reasonable[emoji3][emoji3]
 
Kuwashwa washwa na ya CHADEMA.
Democrasia mnayodai kuotetea, imeruhusu freedom of expression,, haijaweka mipaka, chama chenu mnakiita chama cha demokrasia na maendeleo,
Democrasia ipi sasa?, Au ya matumbo yenu? [emoji23][emoji23]
 
Democrasia mnayodai kuotetea, imeruhusu freedom of expression,, haijaweka mipaka, chama chenu mnakiita chama cha demokrasia na maendeleo,
Democrasia ipi sasa?, Au ya matumbo yenu? [emoji23][emoji23]
😃😄😃😄
 
Mbeleko ya chama chakavu kila mwenye akili anaijua,kama hao watawala ktk mangap mabaya wanayafanya na waliyafanya na bado wanapeta
Hamuwezi kamata nchi kwa hizi attitudes, mtaishia kuwa watu wa kulaumu na kutukana maisha yenu yote... What a waste of time and effort..!!
Msipojiheshimu hamtaheshimiwa
 
Zitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Kwa nini mlitaka Zitto amuombe makamo wa kwanza azungumze na Rais Samia Suala la mwenyekiti MBOWE .
Hakujua kuwa Zitto na Makamo wa1ni ACT.

Mkiitwa nyumbu mnaona sifaa eeeh
 
Yaani watu wamsingizie ugaidi halafu awapigie magoti !

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Suala la mbowe amesingiziwa au lah, ni la mahakama kuamua,,
Serikali haijataka ipigiwe magoti na mtu yeyote,
Zito kumzungumzia mbowe ni utashi wake, hakuna mwenye haki ya kumzuia, afterall zito kumbe ni mwenyekiti wa vyama vyote vya upinzani,,
 
Zitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Alitumwa na na katibu mkuu wenu
 
Viongozi wa Chadema waoga ndomana hawachelewi kukimbia nchi huyo Lissu anaongea ye yuko ulay anakula bata huku anashawishi upumbavu wenzake
 
Huyo mnyama ana tako limelegea kama la mama yako mzazi.Gunioo!
Nakuona hapo Kati [emoji23][emoji1787]
download.jpg
 
Back
Top Bottom