Lisu ni dikteta mbaya sana, akikamata urais atawaua sana.. mtafungwa sana kwenye viroba...Chadema na Lisu mnatakiwa mheshimu mawazo ya vyama vingine. Leo mmeshambulia sana Zito licha ya Zito kuwa mpole lakini hamna adabu.
Zito acha kuwa mpole sana kwa hawa watu.
ebu sikia hapaona jinsi lisu anavyomtusi Zito. Siyo fair kabsa
lisu kulikuwa kuna haja ya kutukana wenzako, kwani maamuzi ya ACT lazima yafananane na Chadema,.
Chadema acheni siasa za chuki
Hamuwezi kamata nchi kwa hizi attitudes, mtaishia kuwa watu wa kulaumu na kutukana maisha yenu yote... What a waste of time and effort..!!Zitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Kuwashwa washwa na ya CHADEMA.kosa la zito ni nini kaka
Anamwongelea boss wake wa zamani, zito na mbowe walishamaliza tofauti zao, zito ameshamtembelea jela mara kadhaa,, zito alimtembelea lisu akiwa hoi Nairobi mara kadhaa , waislamu wamelelewa katika makuzi ambayo yanawafanya wasiwe watu wa husda, vijicho, roho za kwanini, dharau, ngebe, ufukunyungu, kisirani, wala ufukunyungu na wala hawana ushamba wa madaraka, so zito kumwombea mbowe msamaha ni jambo ambalo ni reasonable,,Ni kuacha kuongelea chama chake kwenye mkutano na kuanza kuongelea Mbowe na CHADEMA.
Kwani ajenda ya mkutano wenu ulikuwa Mbowe?
Ndo maana nasemaga hiki chama hakifai kabisa kutawala nchi hii,, kimejaaa watu wa ajabu sanaKwa hiyo ninyi wanachadema mkiongozwa na Lissu hamtaki Mbowe aachiwe huru ili muwe na topic ya kuzungumzia?
Democrasia mnayodai kuotetea, imeruhusu freedom of expression,, haijaweka mipaka, chama chenu mnakiita chama cha demokrasia na maendeleo,Kuwashwa washwa na ya CHADEMA.
Inakuwaje mashetani wa CCM leo mna huruma na Mbowe? Tumewastukia na huyo snitch wenuNdo maana nasemaga hiki chama hakifai kabisa kutawala nchi hii,, kimejaaa watu wa ajabu sana
😃😄😃😄Democrasia mnayodai kuotetea, imeruhusu freedom of expression,, haijaweka mipaka, chama chenu mnakiita chama cha demokrasia na maendeleo,
Democrasia ipi sasa?, Au ya matumbo yenu? [emoji23][emoji23]
Mkuu unamatusi balaa... Nawe mbunge msataafu Nini?Zitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Hamuwezi kamata nchi kwa hizi attitudes, mtaishia kuwa watu wa kulaumu na kutukana maisha yenu yote... What a waste of time and effort..!!
Msipojiheshimu hamtaheshimiwa
Mimi sina shida na mbowe, ni mtu mzuri tu, nyie ndo mnamharibiaInakuwaje mashetani wa CCM leo mna huruma na Mbowe? Tumewastukia na huyo snitch wenu
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Yaani watu wamsingizie ugaidi halafu awapigie magoti !Mimi sina shida na mbowe, ni mtu mzuri tu, nyie ndo mnamharibia
Kijani kibichi tunawaangalia wanavyotifuana tunasema hii[emoji1787][emoji1787]Kiukweli Lema amekomaa sana kisiasa.
Anajenga hoja zinaeleweka.
Kwa nini mlitaka Zitto amuombe makamo wa kwanza azungumze na Rais Samia Suala la mwenyekiti MBOWE .Zitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Suala la mbowe amesingiziwa au lah, ni la mahakama kuamua,,Yaani watu wamsingizie ugaidi halafu awapigie magoti !
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Huyo mnyama ana tako limelegea kama la mama yako mzazi.Gunioo![emoji23][emoji1787]View attachment 2046214
Alitumwa na na katibu mkuu wenuZitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Nakuona hapo Kati [emoji23][emoji1787]Huyo mnyama ana tako limelegea kama la mama yako mzazi.Gunioo!