Tangu lini unataka CHADEMA wakamate nchi?Hamuwezi kamata nchi kwa hizi attitudes, mtaishia kuwa watu wa kulaumu na kutukana maisha yenu yote... What a waste of time and effort..!!
Msipojiheshimu hamtaheshimiwa
Pumbavu ni tusi? pumbavu wewe.Mkuu unamatusi balaa... Nawe mbunge msataafu Nini?
Kuna wapumbavu wana suggest Mbowe amuombe Samia msamaha.Suala la mbowe amesingiziwa au lah, ni la mahakama kuamua,,
Serikali haijataka ipigiwe magoti na mtu yeyote,
Zito kumzungumzia mbowe ni utashi wake, hakuna mwenye haki ya kumzuia, afterall zito kumbe ni mwenyekiti wa vyama vyote vya upinzani,,
Na wewe huyu hapaNakuona hapo Kati [emoji23][emoji1787]View attachment 2046560
Nyinyi mliomfunga Mbowe kwa mashtaka ya uongo ndio mnalalamika afunguliwe?Kwa hiyo ninyi wanachadema mkiongozwa na Lissu hamtaki Mbowe aachiwe huru ili muwe na topic ya kuzungumzia?
Anasubiri kubakwa.
Lisu jeKiukweli Lema amekomaa sana kisiasa.
Anajenga hoja zinaeleweka.
Chadema na Lisu mnatakiwa mheshimu mawazo ya vyama vingine. Leo mmeshambulia sana Zito licha ya Zito kuwa mpole lakini hamna adabu.
Zito acha kuwa mpole sana kwa hawa watu.
ebu sikia hapaona jinsi lisu anavyomtusi Zito. Siyo fair kabsa
lisu kulikuwa kuna haja ya kutukana wenzako, kwani maamuzi ya ACT lazima yafananane na Chadema,.
Chadema acheni siasa za chuki
Walikuwa hawana agenda yoyote ndio mana wakajikita kwenye mambo yaliyo nje na kusudio laoZitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Ntakujaza kofi kwenye uzi wa watuKijani kibichi tunawaangalia wanavyotifuana tunasema hii[emoji1787][emoji1787]
Natania .
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ntakujaza kofi kwenye uzi wa watu
unazinguaZitto na wewe ni takataka.
Mnaacha kwenda kuzungumzia kichama chenu kwenye huo mkutano wenu na samia mpo busy kujidai mnaongelea CHADEMA.
Pumbavu nyinyi.
Tuliwatuma mzungumzie CHADEMA?
Unasemaje nyumbu[emoji23][emoji1787]View attachment 2046214
Chadema na Lisu mnatakiwa mheshimu mawazo ya vyama vingine. Leo mmeshambulia sana Zito licha ya Zito kuwa mpole lakini hamna adabu.
Zito acha kuwa mpole sana kwa hawa watu.
ebu sikia hapaona jinsi lisu anavyomtusi Zito. Siyo fair kabsa
Lisu kampiga zito spanna
lisu kulikuwa kuna haja ya kutukana wenzako, kwani maamuzi ya ACT lazima yafananane na Chadema,.
Chadema acheni siasa za chuki
Sijawahi kumuamin ZittoChadema na Lisu mnatakiwa mheshimu mawazo ya vyama vingine. Leo mmeshambulia sana Zito licha ya Zito kuwa mpole lakini hamna adabu.
Zito acha kuwa mpole sana kwa hawa watu.
ebu sikia hapaona jinsi lisu anavyomtusi Zito. Siyo fair kabsa
Lisu kampiga zito spanna
lisu kulikuwa kuna haja ya kutukana wenzako, kwani maamuzi ya ACT lazima yafananane na Chadema,.
Chadema acheni siasa za chuki
WhySijawahi kumuamin Zitto
KweliSuala la mbowe amesingiziwa au lah, ni la mahakama kuamua,,
Serikali haijataka ipigiwe magoti na mtu yeyote,
Zito kumzungumzia mbowe ni utashi wake, hakuna mwenye haki ya kumzuia, afterall zito kumbe ni mwenyekiti wa vyama vyote vya upinzani,,