Fisadi kuuMnafiki ulikuwa wewe ,usiyejua ulifanyalo.
Lowasa ana kosa gani Ukawa?
mbona alituwakilisha vizuri tuu pamoja na hali yake aliyokuwa nayo ya kiafya,
Lowasa kurudi CCM hakukuiathiri upinzani any way. Mbona akina Nasari ndio wasaliti! Wanatuacha pale unapowahitaji zaidi?
Lowasa tulijuwa angetusogeza kupata ushindi, na tulikaribia kushinda na wabunge tuliongeza some how,
Kajiondokea kwa maslahi yake kuona yanavurugwa na Nduli mkandamizaji wa upinzani.
Alifanya uwazi usiokuwa na athari kwetu.
Why do you think so, is opposition about political parties only? I thought opposition in terms of divergent views on how things should work is natural with human beings. Parties are just vehicles and formal means to disburse our thoughts. Which means even if a party dies in your interpretation another vehicle will come in to occupy the vacuum.
My point is we should, in politics not be myopic by tying ourselves to personalities instead of issues. ACT-Wazalendo is an organisation, it has people including Zitto himself. At times decision is not only about Zitto but the people inside the party. In politics also things don't remain stagnant, they change. Circumstances change people change also and Zitto can't be immune to such.
You look not amused by my comments am fine with that. We don't necessarily need to agree on everything. By bringing your views to this platform you allow a room for divergent views. Don't feel offended to hear something different from your standpoint. Let's stay on the subject don't attack me.You go and practice your Opposition at home. Opposition and Political parties are inseparable, and they must be considered together.
Zitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.
Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata
Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine
This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku
Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
Sioni ni jinsi gani CHADEMA wanaweza kutoweka mgombea urais kwa kumtegemea yule wa ACT-Wazalendo. Hii haitawezekana.Siasa ndivyo ilivyo, japo Zitto nae haaminiki kutokana na aliyowahi kuyafanya siku za nyuma, binafsi naamini hata kama patakuwa na coalition kati ya Chadema na ACT but mgombea Urais wa Tanzania Bara lazima awe mpinzani, alielelewa upinzani.
ACT haiwezi kupata wabunge watakaofika robo ya chadema,ni zenji tu ila kwa bara wabunge wa ACT hawatazidi wawili au watatuNa kwa upepo wa sasa ACT wanaenda kuunda Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni japo ni habari chungu kwa Chadema...Ni swala la muda tu ja
Eeeenh, siyo 'vita ya panzi furaha ya kunguru'?Hii itakuwa vita ya kunguru furaha kwa panzi
Hiyo yako ndiyo sawaEeeenh, siyo 'vita ya panzi furaha ya kunguru'?
Hii inakuwaje sasa!
Ile coalition ya 2015 haitakuwa na tofauti na hii, vyama vilivyo na mtazamo wa pamoja vinaamua nani aweke mgombea, then kingine hakimuweki coz huu muungano huwa hautambuliki kisheria, ni jambo linalotokea tu ambapo huwezi walazimisha ambao hawajamuweka mgombea wamuweke, huo ni utashi wao. Kama walivyofanya TLP kwa Magufuli.Sioni ni jinsi gani CHADEMA wanaweza kutoweka mgombea urais kwa kumtegemea yule wa ACT-Wazalendo. Hii haitawezekana.
Sijui sheria za uundaji serikali ilivyo, baada ya vyama vyote kutopata kura za kutosha kuunda serikali peke yao na kulazimisha muungano wa vyama.
Kama sheria hiyo ipo na inaruhusu vyama kuungana na kupata wingi wa wabunge na kuruhusiwa kuunda serikali, hapo ndipo ninapoona uwezekano wa CHADEMA na ACT-Wazalendo wakiwa na mpango wa kuunda serikali ya pamoja.
Vinginevyo sioni aina yoyote ya muungano kabla ya matokeo ya uchaguzi.
Kwa hiyo hata kitendo cha Chadema kusimamisha wagombea katika majimbo waliyokubaliana kuwaachia NCCR na CUF pia wasilaumiwe kwa hiloHivyo vyama wakati vinaingia makubaliano wa kuunda UKAWA na Chadema vilijiamini vinauwezo wa kushinda majimboni, hivyo kama wangeshinda nao wangekuwa na ruzuku zao, kuwalaumu Chadema kwa hili huwatendei haki.
Hapo Segerea 2015 kwanini unawalaumu Chadema na usiwalaumu CUF?!Kwa hiyo hata kitendo cha Chadema kusimamisha wagombea katika majimbo waliyokubaliana kuwaachia NCCR na CUF pia wasilaumiwe kwa hilo
Unajua kwanini majimbo ya Lindi Mjini na Segerea yalishindwa kuchukuliwa na upinzani?
Kiufupi Chadema ndiyo kikwazo cha kukua na kufanikiwa kwa upinzani nchini kwa kuwa wanaishi katika historia ya ukubwa hata kama hawana tena matendo ya kikubwa
mama, siasa sio sayansi na haitakuwa sayansi hata izaliwe mara 1000.Siasa ni science, siasa ni upepo. Angalia maslahi ya siasa ya sasa coalition ni tija kwa Chadema?
Zitto Kabwe ni Mwanasiasa mnafiki, mbinafsi, mwongo na mtu wa kumuogopa kama ukoma. Mara zote amekuwa akilenga mambo yanayompa maslahi binafsi na si umma mkubwa wa Watanzania.
Mwaka 2015 wakati Watanzania tukitaka mabadiliko ya kweli, na kuunda Coalition ya UKAWA Zitto alikuwa kinyume chetu kabisa, na hakutaka hata kushirikiana nasi. By that time chama chake hakikutaka kabisa kumpigia kampeni Mgombea wa CHADEMA aliyeviwakilisha vyama vya Upinzani chini ya UKAWA ndugu yetu Lowassa, na badala yake ACT-Wazalendo walisimmamisha mgombea wao Mama Anna Mghwira na kuzigawa kura za Upinzani. Aidha ACT-Wazalendo walisimamisha wagombea wao wa Ubunge na Udiwani na kuzigawa kura majimboni na kwenye Kata
Kwa kipindi chote cha 2016-2017 Zitto alikuwa totally kinyume na movements ambazo Wabunge wa UKAWA walizichukua wakiwa Bungeni; wakitoka nje, yeye alibaki ndani na hata kuwaponda mara nyingine
This time around ACT-Wazalendo wanataka Mgombea wanayemsimamisha wao, Ndugu Bernard Membe, aungwe mkono na vyama vingine vyote vya Upinzani. Wanataka kukiimarisha chama chao kuwa Chama kikuu cha Upinzani kwa mgongo wa Mgombea wao mmoja kwenye Uchaguzi Mkuu. Wanajua fika wakiungwa mkono na vyama vingine wanaweza ongeza idadi ya Wabunge kwani katika Bunge la 11 alikuwa Zitto peke yake, na hivyo kuongeza kiasi cha fedha wanachopokea kama ruzuku
Nitashangaa sana, CHADEMA iliyokuwa na Wabunge na Madiwani wengi ikiingia kwenye mtego uliotegeshwa na ACT-Wazalendo yenye Mbunge Mmoja na Madiwani kiduchu. That will be the offical death of Opposition in Tanzania.
Hivi zile movements za upinzani bungeni zimesaidia nini kwa wapiga kura?Mlikataliwa kwa sababu mlikuwa Wabinafsi. Na ndiyo maana Chadema waliwaona nyie ni adui namba moja. Mwaka 2019 ndipo uliporuhisiwa kujiunga na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni baada ya kuanza kujiandaa kwa Movie hii tunayoiona sasa, na kumbuka wakati Mbatia akielezea kuruhusiwa kwako alisema sasa utapaswa kufuata taratibu zao tofauti na awali ambapo ulikuwa ujafanya kama unavyotaka. Na mostly ulitusaliti wapinzani wenzako kwenye movements kibao Bungeni. Chonde Chonde CHADEMA msiingie mtego huu mtanasa vibaya sana.
YAAANI CHADEMA impinge MKONO MEMBE HAAAAALABDA WAMESAHAU ILA CH INAWEZA KUUNGA MKONO ACT ZNZ HILO LIKO WAZI NA NI BENEFIT KWA CDM NA MTEGO KWA ACT MBELE YA WAPIGA KURASiasa ni science, siasa ni upepo. Angalia maslahi ya siasa ya sasa coalition ni tija kwa Chadema?