Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
thibitisheni malalamiko yenu..toeni ushahdi na takwimu ziwe wazi zaidi ya hapo mtakuwa mnaexpress feelings zenu ambazo hatuzipi support coz no evidence...kwani lini mmewah kumjadili kinana kwa tuhma za ujangili? au zungu kwa tuhma za madawa ya kulevya? au mulongo kwakufoji vyeti? tafakari...hatakama unamaslah na ccm leta hoja za kiueledi sio hizi zinazowafanya wanaccm wenzenu wawashangae..

wewe umewahi kujadili lini? Mbowe kwa huu ufisadi
 
kamati kuu haina muda wa kujadili mipasho, toa hoja msingi ijadiliwe, ndugu huko kwenu wanaumia kwa gharama umeme kupanda juu na mambo mengine, wewe unatuletea umbea wa solon, komaa kiakili wewe.
 
Ivi nyie n buku saba mnatafta kwa kijinga kias hcho kimekula kwenu mbowe ndo baba yao bonge la mwenyekt chadema hoyeee. we jamaa ulivyoandika umechosha vdole vyako 2 hujielew fkiria kabla ujatoa mada nguchich wewe
 
Nasikia ile post Original aliichakachua baadae, mwenye nayo aitupie hapa, hii haijatulia kabisa!
 
paka akitaka jina hujipitisha kwa watu. Huyu jamaa. mi nishamsoma kitambo kuhusu dharau alizonazo kwa wengine. Ni kajamaa kapumbafu sana na hakana adabu. Wanaotaka kawe ka rais kao nadhani hawakajui
 
ninapata wasiwasi kuwa tutahama kwenye ajenda za mhim itakuwa cdm na zito,hv mnajua kwa huu mgogolo wa cdm n kias gan cha fedha kimeibiwa? maana vyombo vya habr vyote vmehamia kwa cdm vs zito! plz let change our ajenda wakuu!

Aaah tu change agenda kwakua amegusa kunako!
Wanaojiita wapigania haki kumbe wao ndio wanyoji wakubwa,
eti na mbowe anapigana dhidi ya mkoloni mweusi hivi kama si unafiki ni kitu gani?
 
AMA KWELI FADHILI MBUZI UTAMLA NYAMA.............

Nampa pole sana Mh Freeman Mbowe, mwenyekiti wa Chadema Taifa kwa kutukanwa na kukosewa adabu na kijana mdogo, Msaliti Zitto Kabwe, ambaye leo mafanikio yake yametokana na yeye Mh Mbowe, lakini kasahau na kaamua kukutuna ati wewe ndo kamati kuu!

vile vile nimpe pole Mh Tundu Lissu Mbunge wa Singida mashariki na Mwanasheria wa chama, kwa kuitwa Kifaranga na huyu kijana ----- asiye na Adabu, we mpuuuze kwani leo amewadhihirishia watanzania kuwa hafai hata kuwa Balozi wa nyumba kumi......

Zitto Z Kabwe mpaka sasa hujakanusha tuhuma za kweli kabisa kwamba ulihongwa Magari mawili na Mh mkono iliusimsimamishe mgombea Msoma Vijijini, badala yake uliishia kujitoa ufahamu na kuwatukana Viongozi mtandaoni kuonyesha ulivyofilisika mawazo kama si kufilisika hoja!

Zitto Kabwe amejitoa ufahamu na kudai eti mtu asiyemuheshimu mke wake aliyewazalia watoto wake hawezi kumfundisha mtu maadili.......
Zitto, kabla ujanyoosha kidole kwa mwenzako embu jaribu kujitazama wewe mpaka leo una umri miaka 37 umeshindwa kuoa, na kinacho kusumbua ni uzinzi, embu kumbuka April tukio la aibu ulilolifanya pale Mount Meru Arusha, baada ya kunywa KONYAGI, mbona sisi hatusemi..........

Si jambo jema kujadili misha ya Binafsi ya Kiongozi, kwani hakuna aliye mkamilifu Chini ya Jua.......

SI VEMA MAAMUZI YA KAMATI KUU KUMBEBESHA MH MBOWE NA LISSU PEKE YAO..
matusi ya zitto ni yapi kusema kwamba hao viongozi wake waliongwa au kumsema mbowe amueshimu mkewe..leo mkuki kwa nguruwe eeeh anavyotukanwa kikwete matusi ya nguoni hayaonekani..hao leo waloamua kumwaga ugali mwenzao kamwaga mboga imekua matusi duuh
 
Zitto Kabwe amejitoa ufahamu na kudai eti mtu asiyemuheshimu mke wake aliyewazalia watoto wake hawezi kumfundisha mtu maadili.......
Zitto, kabla ujanyoosha kidole kwa mwenzako embu jaribu kujitazama wewe mpaka leo una umri miaka 37 umeshindwa kuoa, na kinacho kusumbua ni uzinzi, embu kumbuka April tukio la aibu ulilolifanya pale Mount Meru Arusha, baada ya kunywa KONYAGI,(huyu sio mfahidhina mbona anakunywa pombe?nadhani hawa ndugu zetu wanaovaa vibaragashee wanadai ni haramu kunywa pombe sasa huyu dogo vipi?) mbona sisi hatusemi..........

Sintapenda sana kuongelea swala la Zito ila nadhani BUSARA ingetumika zaidi kuliko hasira
 
...Zitto Z Kabwe mpaka sasa hujakanusha tuhuma za kweli kabisa kwamba ulihongwa Magari mawili na Mh mkono iliusimsimamishe mgombea Msoma Vijijini, badala yake uliishia kujitoa ufahamu na kuwatukana Viongozi mtandaoni kuonyesha ulivyofilisika mawazo kama si kufilisika hoja
.....
Lakini mkuu, tukiweka ushabiki pembeni, hivi inawezekana vipi kwa "chama makini" kama CDM mtu mmoja akaamua kuwekwa au kutokuwekwa mgombea katika jimbo fulani? Hakuna vikao au kamati?

Umejenga hoja - ambayo nakubaliana nayo - ya kuwa Mbowe asilaumiwe binafsi kwa maamuzi ya CC (yeye peke yake sio CC). Lakini, je hatuwezi kutumia mantiki hiyo hiyo kusema kuwa lawama za kutokuwekwa kwa mgombea katika jimbo fulani ziende kwa chama (au kamati husika, kama ilikuwepo) na sio kwa ZZK?
 
Zitto, kabla ujanyoosha kidole kwa mwenzako embu jaribu kujitazama wewe mpaka leo una umri miaka 37 umeshindwa kuoa, na kinacho kusumbua ni uzinzi, embu kumbuka April tukio la aibu ulilolifanya pale Mount Meru Arusha, baada ya kunywa KONYAGI, mbona sisi hatusemi..........

My God!
 
asante sana ole milya kumuatack mtu personal ni udhaifu mkubwa sana na hapa nazid kuamin kwamba uyu jamaa kapewa pesa ming sana na watawala pamoja na kupanga mipango ovu dhidi ya chama chake shame on you Zitto

nikikumbuka lwakatare alivyo tesekea mahabusu kwa.mipango ambayo ulipanga wewe kushirikiana na hao kina mwigulu nazid kupata hasira sana na ww n trust me history itakuhukumu nauona mwisho wako kisiasa
 
Kama kweli James umeandika wewe hii post basi wewe ni ----. Mbowe ajibu shutma. Zitto ni marafiki na Mkono amekiri, na Mbowe mamilioni haya yote yako wapi? Milya utakaa sana ukisubiri ulichokifuata Chadema maadam wewe siyo mchaga una kazi kweli nitakupigia simu baadae nikupe live
 
Kwani uongo uko wapi, mtu asiyemheshimu mke wake aliyemzalia watoto anaweza kufundisha wengine maadili?.
 
matusi ya zitto ni yapi kusema kwamba hao viongozi wake waliongwa au kumsema mbowe amueshimu mkewe.

1.Zitto ana mtoto aliyezaa nje ya ndoa!
2.Kuhongwa kwa Mbowe HAKUMHALALISHII yy pia kuhongwa
3. Kama madai ya Lissu ni ya uzushi aende Mahakamani
 
Kweli nimeamini wachaga hawaridhiki hata wawe mabilionea we mbowe huna hata haya unaendelea kula pesa za ccm mmh kweli
 
Unajipendekeza na wewe upewe pesa za rostam na mkono huna lolote!!nyinyi vishabiki maandazi ndo mnayakuza haya mambo!!!!badala ya kutafuta njia ya kuyamaliza kazi kuchochea tuu!!!!

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom