Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Aaaah, hivi kweli wanaccm wameishiwa hoja kiasi hiki kiasi kwamba kuzungumza hata kuandika mambo ya maana mmeshindwa, hebu tafuteni hoja nzuri za kuweza kumtia hatiani Mbowe zenye ushahidi wa kutosha siyo hizo taralila zenu. Nilimsikia hata father god wenu (Mwigulu) jana kwenye kuaga mwili wa marehemu Dr. Mgimwa nilishangaa sana hivi kweli hayo maneno ya mke mwenza yanaweza yakamtia hatiani Mbowe au Dr. Slaa?!!!!!
 
Naona pamoja na wajumbe kufungwa macho na fisadi Mbowe, sasa nadhani watafunguka na kumjadili kwa pesa ambazo amekuwa akipokea toka CCM, pia Dr. Slaa ambaye hata kadi ya CCM hajarudisha. Tulishasema hawa ndo wasaliti wana wasingizia wengine, mengi tu yatakuja hapa. Hivi inakuwaje unamwomba Baba yako akupe hela umpelekee Mama yako halafu unamwambia Mama nakukopesha pesa hii na kweli Mama yako bila kujua anatafuta huku na kule anakulipa. Jamani Mbowe uwe na hofu ya Mungu, utakufa vibaya sana. Pesa za Mkono kapewa yeye anakuja kuwakopesha CHADEMA, kwani alipewa zake binafsi au alipewa za Chama?hivi hiki chama kina akaunti kweli au inatumika ya Mbowe?

Nahisi maccm mumechanganyikiwa na katika hili hamna pa kushika. Hahahahaaaaa.
 
Jana nilikuwa naongea na kijana wangu mmoja ambaye alikuwa anasoma na Zitto UDSM na amenifumbua macho kuhusu huyu kijana mpaka nimeshangaa. Kumbe hizi tabia zake za ujanja ujanja wa kugeuza maneno hajaanza leo, anazo toka chuoni. Tena habebeki maana yeyote atakaye mpa promo anahakikisha baadae anamchafua ili asiweze ku compete naye.
My take; may be family aliyokulia Zito inaweza kuwa sababu ya tabia chafu za Kijana huyu,refers to statements za hovyo hovyo za mama.

Kwahiyo tufanyaje?
 
Hizi ndiyo post za majungu, hata tungekuomba utupe ushahidi utabwabwaja maneno hapa. Jadili na wapika majungu wenzako.
 
mleta hoja wewe ni muongo siyo kweli kwamba zito kasema vile. ila mnajitungia maneno ili kumchafua mbowe , hiv mnalipwa kias gan kwa kila post? toka jana mnadai zito ndo kaandika kwenye wall yake facebook, siyo kweli hakuna kitu kama hicho .
 
Kama alikua na uwezo wa kujibu ya nn amekimbilia mahakamani? Umaarufu wake umeishia hapa, unapofikia hatua ya kuonwa kama choo kwa wananchi waliokuona shujaa ni jambo la kuhurumiwa sana. Tunavuna tupandacho, lets wait and see

Swala zuri ulilosema ni lets wait and see! ila hawezi kujibu tuhuma kwa kamati kuu cdm wakati uamuzi tayar umesha pitishwa kua avuliwe uanachama, unafikir akienda kujibu nani atasikiliza wakati walishajipanga kumtoa kwenye chama? Dr. Slaa anasema kama co mahakama zito angeungana na wasaliti wenzie!

Kimtazamo hata kwa bahati mbaya zito akishinda kesi yake bado hawezi kua mwanachama wa cdm tena!
 
thibitisheni malalamiko yenu..toeni ushahdi na takwimu ziwe wazi zaidi ya hapo mtakuwa mnaexpress feelings zenu ambazo hatuzipi support coz no evidence...kwani lini mmewah kumjadili kinana kwa tuhma za ujangili? au zungu kwa tuhma za madawa ya kulevya? au mulongo kwakufoji vyeti? tafakari...hatakama unamaslah na ccm leta hoja za kiueledi sio hizi zinazowafanya wanaccm wenzenu wawashangae..

Nimekosa kitufe cha like kwenye post yako nimeamua ku-like kwa style hii (LIKE)
 
Makubwa....naona shutuma zinageukia upande sahihi mida hii
 
thibitisheni malalamiko yenu..toeni ushahdi na takwimu ziwe wazi zaidi ya hapo mtakuwa mnaexpress feelings zenu ambazo hatuzipi support coz no evidence...kwani lini mmewah kumjadili kinana kwa tuhma za ujangili? au zungu kwa tuhma za madawa ya kulevya? au mulongo kwakufoji vyeti? tafakari...hatakama unamaslah na ccm leta hoja za kiueledi sio hizi zinazowafanya wanaccm wenzenu wawashangae..

Tatizo kisimu changu ni Mchina, sioni like hapa. Ila kamata LIKE nyingi.
 
Jamani taifa linaangamia nyie mnaendelea kulumbana katika hoja ambazo hazina tija? Kiongozi kama ni mbovu kuna jinsi ya kuwashughulikia. Tutalonga wee wenzetu oktoba wanazoa serikali za mitaa yote, 2015 wanabakia IKULU. Mbona hatufunguki akili? Mtaani kwetu sisi tumeshajipanga vyema serikali ya mtaa lakini hii haitasaidia kitu kama hatutachukua mtaa mingi iwezekanavyo!
 
hayo ni ya kweli, zitto aliandika kny wall yake ya fb....baadae akaedit. Ila sasa tujiulize kama mm hunipendi, then nikaua na kuiba kuku, then ww unataka kunikomoa kwa kwenda kunishtaki kwa kosa la kuiba kuku na sio la kuua, hivi si upunguani wa akili huo? kwa nn kina Lisu kama kweli wana ushahidi mzito wasingeutumia zaidi ya porojo?.....nadhan now inawabidi wajibu tuhuma hizi mpya na nzito na kunyamaza na kuja na cheap responses.
 
Back
Top Bottom