Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pale si kikaoni,pale walikuwa wanazungumza na waandishi wa habari ili habari ziwafikie wananchi,zitto nae ameamuwa kutumia njia ya mitandao ili ujumbe uwe kuwafikia wananchi.
kunya anye kuku,akinya bata kaharisha.
kikawaida,mwiba unapoingilia ndipo utakapotokea
Alafu siku hizi ana vimanenoo, mmmh mara kifaranga, mama kifaranga, maneno ya kanga, kubwabwaja, wamezoea vya kunyonga n.k. Huu ni upande wa pili wa Zitto ambao nilikuwa siujui
Kaka nilileta uzi hapa plus ushahidi wapi zilipitia mpaka kumfikia mbowe but mod wakaufunga uzi wangu ili siri idibumburuke lakini nitauweka tena
Mleta mada hujui unacho kiongea yaani Kama umekurupushwa usingizini.!
Kifo ni kibaya sana jamani...Zitto anaonyesha dalili zote za kuelekea kuzimu!
Sasa hivi ataongea kila analojua akidhani itasaidia kumwokoa, too bad it is late this time.