Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Mleta mada hujui unacho kiongea yaani Kama umekurupushwa usingizini.!
 
Kama alikua na uwezo wa kujibu ya nn amekimbilia mahakamani? Umaarufu wake umeishia hapa, unapofikia hatua ya kuonwa kama choo kwa wananchi waliokuona shujaa ni jambo la kuhurumiwa sana. Tunavuna tupandacho, lets wait and see
 
Mwaswali ni kumi namoja. Hayo aloyasema hayamo kwenye maswali kumi na moja.
 
Acheni ushamba,hakuna jambo linalofanyika hasa lenye maslahi fulani usalama wasijue nini kimetokea na ndio maana hata hili la Wangwe wanajua na wamepiga kimya.
 
Unaomba usalama wa taifa uamke? Ulilala lini? Kwa Mwangosi ulilala? kwa Kibanda? Achilia hayo ya zamani, mankotena ya meno ya tembo bandarini mwenye nayo hajulikani. Napo utasema usalama wa taifa amkeni? Ulilala lini? We mchochezi tu.
 
pale si kikaoni,pale walikuwa wanazungumza na waandishi wa habari ili habari ziwafikie wananchi,zitto nae ameamuwa kutumia njia ya mitandao ili ujumbe uwe kuwafikia wananchi.
kunya anye kuku,akinya bata kaharisha.
kikawaida,mwiba unapoingilia ndipo utakapotokea


point yako ilikua na mashiko enz zile hatjagundua uSALITI wake lakini kwa sasa sdhani kama tutakuwa na nafasi ata kusoma unafiki wake kt mtandao,

mlodai zito kwanza omben mahakama iendee kumlinda o.wise jana naye alikuwa ametimuliwa rasmi, chezea chadema wewe, hatulei pimbi ata wawe ni wa mwandiga
 
Alafu siku hizi ana vimanenoo, mmmh mara kifaranga, mama kifaranga, maneno ya kanga, kubwabwaja, wamezoea vya kunyonga n.k. Huu ni upande wa pili wa Zitto ambao nilikuwa siujui

Ana kipaji cha taarab,inshort kapanic vibaya sana
 
Natafuta Redio -mbao nani anayo aniuzie, hizi Za kisasa bendi Nyingi sana kiasi hujui Leo utyuni ipi uache ipi.. Ile ya Mbao ukifungua tu-kitu mwaaa bendi hiyo hiyo ni kurekebisha mikoromo tu..
 
Hata akisema mwache aseme na mbona siku zote hakusema kama anavyoficha walioficha pesa uswiss?
 
Jana nilikuwa naongea na kijana wangu mmoja ambaye alikuwa anasoma na Zitto UDSM na amenifumbua macho kuhusu huyu kijana mpaka nimeshangaa. Kumbe hizi tabia zake za ujanja ujanja wa kugeuza maneno hajaanza leo, anazo toka chuoni. Tena habebeki maana yeyote atakaye mpa promo anahakikisha baadae anamchafua ili asiweze ku compete naye.
My take; may be family aliyokulia Zito inaweza kuwa sababu ya tabia chafu za Kijana huyu,refers to statements za hovyo hovyo za mama.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Zitto hadi anaiga spinning za akina Mtela. Kazi ipo.
 
Jf wanaendekeza vitu vya kijinga na visivyokuwa na vyanzo vya kuleweka!huu ni upuuzi wa hali juu!
 
Kaka nilileta uzi hapa plus ushahidi wapi zilipitia mpaka kumfikia mbowe but mod wakaufunga uzi wangu ili siri idibumburuke lakini nitauweka tena

Mods udaku na ushahidi wa saloon huwa hawavumilii
 
Kifo ni kibaya sana jamani...Zitto anaonyesha dalili zote za kuelekea kuzimu!
Sasa hivi ataongea kila analojua akidhani itasaidia kumwokoa, too bad it is late this time.

Hivi unadhani yanayosemwa sasa hayatakuwa na madhara kwa chadema?
kama wewe unaielewa propaganda basi uelewe kuwa haya yanayosemwa sasa ndio yatatumika 2015 kama njia ya kushinda uchaguzi mkuu,unaweza kuyachukulia kimzaha mzaha lakini subiri utaona madhara yake pale bwana mwiguru atakapoanza kupita kila kona na kuanza kuwaaminisha wananchi.
sio kila jambo mnalichukulia juu,labda tu mkubali kushindwa na kuwa tayari kushindana kwa ajili ya ruzuku na si kuingia ikulu.
nisingependa kuyaona haya yakisemwa kwani ni mtaji wa kisasa kwa ccm.
 
Nimejifunza kuwa wanasiasa sio watu wa kuwaamini kabisa, maana kama mwenyekiti, naibu katibu wote wanachukua hela kwa hao tunaoaminishwa na mafisadi, maana yake nini?
 
Back
Top Bottom