Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
"Chacha died, i won't" says ZITTO. Usalama wa Taifa naomba muamke!
Mbona hii ni Clue ya kutosha kunyanyukia jambo?
Zitto kuna kitu anafahamu kuhusu kifo cha Mh. Chacha . Naomba maramoja abanwe aseme yote!
Mbona serikali ikisikia mtu kauawa Nchi za Nje lazima uchunguzi ufanywe kizalendo?
Sasa kwanini wasifuatilie hili kwa misingi hiyohiyo?
Hakuna kitu kibaya kama damu ya Mtanzania kumwagika bila kujua kilicho sababisha, eti walio hai wakapuuzia.
Narudia tena kuna jambo analofahamu ZITTO kuhusu "CHACHA"
NB: Labda akitudanganya kitaalamu kua "CHACHA" SIO WANGWE TUMFAHAMUYE!
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Mbowe ni mwizi tu,
Tena wizi ameanzia bot.

Angalia hata midomo yake imekaa kilaghai laghai tu.

Nawashangaa huu ujasiri wa kuwafukuza wenzie kwenye chama
anaupata wapi.
 
Ulimboka mbona ushahidi wake uko wazi zaidi na hao Waserikali wako kimya hadi leo?
 
Unajua nimefuatilia hii ishu ya zito kwa muda mrefu sasa sijapata jibu sahihi ,
1-ulianza kutoka waraka wa siri wa zito kabwe unaomuhusisha kupokea pesa nyingi sana kutoka ccm (pesa za walipa kodi more than 3bn inasemekana alipewa zito) ili kukivuruga chadema na kuunda mtandao ndani ya chadema hii ikapita

2-ukaja waraka wa mabadiliko/mapinduzi huu ndio chadema wakaukomalia na kuwafukuza

3-zikasambaa e-mail kumuhusisha lukuvi, nchemba pamoja na zito wakipanga mikakati ya kuivuruga chadema (hackers walifanya yao hapa)

4-tena hii mpya kaitoa lissu eti kahongwa gari 2 za kifahari na nkono na pesa kibao

my intake
tuelewe lipi hapa ni kweli kutaka kugombea uenyekiti ndio sababu ya kuvuliwa au tamaa ya pesa na ufisadi ndo sababu haswa ila tunafichwa kitu hapa
 
Siyo usalama sema Polisi wamkamate aseme yawezekana anaficha waalifu.
 
...
... WW zzk ww... kwanza ile HUMMER unasumbua nayo hapa mjini tuambie utoa wapi...??? acha kuona watu wajinga ww zzk.... mwisho wako umefika huna ujanja ww....
 
...
... WW zzk ww... kwanza ile HUMMER unasumbua nayo hapa mjini tuambie utoa wapi...??? acha kuona watu wajinga ww zzk.... mwisho wako umefika huna ujanja ww....
Aka kajamaa kalifikiri watu ni wajinga sana,sasa kameumbuka!
 
siasa ni mchezo mchafu, inawezekana madai yakawa ya kweli au uongo kwa sababu wanazozijua wenyewe Chadema.
 
swali kikaoni,majibu mtandaoni!!

...ujinga mtupu,kwanza waliomba mitandao ya kijamii ipigwe ban mbona yeye anakimbilia mitandao,wabinafsi wanajisahau haraka sana...
 
Hahahaaa; vp akisema Chacha Marwa/ Wambura/ n.k alikufa kwa malaria, mimi sifi kwa vile natumia chandarua
 
Mbona Zitto anaitwa kikaoni yeye anakimbilia mahakamani, atajibuje sasa tuhuma anazotaka aandikiwe. ama anahusiana na ukichwabuta!!!!!!
 
Mbowe ni mwizi tu,
Tena wizi ameanzia bot.

Angalia hata midomo yake imekaa kilaghai laghai tu.

Nawashangaa huu ujasiri wa kuwafukuza wenzie kwenye chama
anaupata wapi.

kama kuna ushahidi basi angeshtakiwa. hawa waliofukuzwa kuna ushahidi kwamba wamenda kinyume na katiba ya chama
 
Mitandao haitasaidia this time.
Watu wamekuwa wakimfollow kwenye mitandao kutokana na alivyojengwa na chama, na si kama binadamu wa kawaida.
 
ZZK ndiyo umechelewa sasa huwezi tena kujitakasa kamwe
 
Haka kajamaa kanafiki sana halafu kanajiona sana kwanza kalitudanganya kwamba kana majina kwenda huko CCM wanapokupenda.
 
Back
Top Bottom