Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamemwaga mbogo yeye kamwaga ugali.
Napenda sana hii thriller...
Kamanda akijivuruga sindiyo vizuri yaani Tundu Lissu amtangaze kuwa kapewa magari akae kimya? Ebo.Dogo Zitto Network imekata kabisaa ña,hapo ndo. Anazidi kujivuruga ,haya yangekuwepo wasingeyasahau kwenye andiko lao la mkakati wa,mabadiliko 2013.mi nangoja kesho mahakani
Mkuu haisaidii sana kuwa nani kasema nini, jibu tuhuma za Mbowe na Slaa kupokea fweza za kifisadi toka kwa Mkono.mbona hata wale rafiki zake masalia ndio kila siku wanaandika huo upuuzi, hili lnadhihirisha tuu kuwa kumbe ni kweli Zitto na akina Shonza, Mwampamba, Mchange, and the likes walikuwa na special mission, but wamefair!
Lakini inasikitisha, pesa itakuwa wamepata but, they are youth, inasikitisha saana, how on earth watu wazima wawatumie vijana na kuangamiza future zao kabisa? Zitto atubu tuu, usaliti hauishiagi hapo, laazima kuna malipo!
Wanaukumbi.
Kumbe Gazeti letu pendwa la Tanzanzia Daima limeanzishwa na fedha za chama cha kutoka Consevative Party cha Uingereza.
Hizi habari zimekuja kama tetesi lakini bado naendelea na uchunguzi nitawajuza zaidi.
Zitto habari ingine sikilizia mziki wake hapo bado ajaamua kufunguka.mbona hata wale rafiki zake masalia ndio kila siku wanaandika huo upuuzi, hili lnadhihirisha tuu kuwa kumbe ni kweli Zitto na akina Shonza, Mwampamba, Mchange, and the likes walikuwa na special mission, but wamefair!
Lakini inasikitisha, pesa itakuwa wamepata but, they are youth, inasikitisha saana, how on earth watu wazima wawatumie vijana na kuangamiza future zao kabisa? Zitto atubu tuu, usaliti hauishiagi hapo, laazima kuna malipo!
najua huwapendi wachaga wamemfanya nini mama yako?no one will thrust zitto alishadanganya mpaka mshahara wa waziri mkuu,alidanganya mabilioni ya uswisi then anamzushia mwenyekiti wakiwote tunajua nia yake ilikuwa ovu kukiuwa chadema kama alivyomuahidi wasira kuwa anaweza kumbe pia kamdanganya inabidi arudishe hela za ccm za kuimaliza chademakomaa nao hadi wachaga wakimbie chama,