Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Wamemwaga mbogo yeye kamwaga ugali.
 
Vijana wa CCM ni hasara kwa TAIFA....utafiti upi na wakatii hazi hekaya za zito zimejaa facebook...achene ujinga bana
 
Kwanini anasema hayo SASA ameshindwa kukibomoa???

Sasa kama ni HIVYO then CCM ilimuua HORACE KOLIMBA ? Waziri Msuya enzi zile alimuua Waziri Mkuu SOKOINE ?

DAUDI MWANGOSI aliuawa na POLICE wa CCM ?
 
Dogo Zitto Network imekata kabisaa ña,hapo ndo. Anazidi kujivuruga ,haya yangekuwepo wasingeyasahau kwenye andiko lao la mkakati wa,mabadiliko 2013.mi nangoja kesho mahakani
Kamanda akijivuruga sindiyo vizuri yaani Tundu Lissu amtangaze kuwa kapewa magari akae kimya? Ebo.
 
mbona hata wale rafiki zake masalia ndio kila siku wanaandika huo upuuzi, hili lnadhihirisha tuu kuwa kumbe ni kweli Zitto na akina Shonza, Mwampamba, Mchange, and the likes walikuwa na special mission, but wamefair!

Lakini inasikitisha, pesa itakuwa wamepata but, they are youth, inasikitisha saana, how on earth watu wazima wawatumie vijana na kuangamiza future zao kabisa? Zitto atubu tuu, usaliti hauishiagi hapo, laazima kuna malipo!
Mkuu haisaidii sana kuwa nani kasema nini, jibu tuhuma za Mbowe na Slaa kupokea fweza za kifisadi toka kwa Mkono.
 
Kwan Wangwe aliuliwa na akina nani?
 
Wanaukumbi.

Kumbe Gazeti letu pendwa la Tanzanzia Daima limeanzishwa na fedha za chama cha kutoka Consevative Party cha Uingereza.

Hizi habari zimekuja kama tetesi lakini bado naendelea na uchunguzi nitawajuza zaidi.

ha ha ha! si wewe na yule ajuza mlisema chadema hawana ubavu wa kumfukuza zitto?
 
mbona hata wale rafiki zake masalia ndio kila siku wanaandika huo upuuzi, hili lnadhihirisha tuu kuwa kumbe ni kweli Zitto na akina Shonza, Mwampamba, Mchange, and the likes walikuwa na special mission, but wamefair!

Lakini inasikitisha, pesa itakuwa wamepata but, they are youth, inasikitisha saana, how on earth watu wazima wawatumie vijana na kuangamiza future zao kabisa? Zitto atubu tuu, usaliti hauishiagi hapo, laazima kuna malipo!
Zitto habari ingine sikilizia mziki wake hapo bado ajaamua kufunguka.
 
alikuwa wapi kabla judge hajashikilia kadi na ubunge wake

Wasaliti wakafie mbali kimkakati na kisiasa KWISHINE CHADEMA ya SCAN virus wa ukombozi wa 2 sasa wataisoma namba ngoja judge aachilie kadi ndo watajua madhara ya usaliti.

Kumbe hajakanushwa alihongwa hayo magari ina maana ananulika kwa magari watanzania wateseke kweli mfa maji haachi tapatapa
 
komaa nao hadi wachaga wakimbie chama,
najua huwapendi wachaga wamemfanya nini mama yako?no one will thrust zitto alishadanganya mpaka mshahara wa waziri mkuu,alidanganya mabilioni ya uswisi then anamzushia mwenyekiti wakiwote tunajua nia yake ilikuwa ovu kukiuwa chadema kama alivyomuahidi wasira kuwa anaweza kumbe pia kamdanganya inabidi arudishe hela za ccm za kuimaliza chadema
 
Huyu Nimrod Mkono alikuwemo katika list ya mafisadi iliyowekwa hadharani na Dr Slaa pale mwembechai. Hivi huyu Mkono kama angekuwa ana ushahidi wa kuonyesha undumilakuwili dhidi ya Dr Slaa na Mbowe kweli angeshindwa kufanya hivyo miaka yote hii!? Kwanini hiki Kirus kama kulijua uchafu huu miaka yote hii kikae kimya hadi kilivyoadhirika ndio kianze kubwabwaja!? Mkono ni lawyer aliyebobea kama ana ushahidi wa kina kuthibitisha maneno ya mhaini kuhusu hizo milioni 40, milioni 200 za kutoka kwa Mkono na milioni 100 za kutoka kwa Rostam basi auweke hadharani.
 
Zzk again!!!!!!!!!!!!!!
Uamuzi wa busara si kujibizana kwenye mitandao bali kufanya maamuzi magumu. Nakumbuka huko nyuma imesemwa sana kuwa ZZK anawapenzi wengi kama kweli mbona rahisi tu kuanzisha chama na huenda chama chake kitapata wanachama wengi kwani kitaratibiwa na ZZK mwenyewe. Kwanini kujisumbua kama watu wamekosa imani na wewe bora kujiengua na kuanza upya . I believe ZZk bado kijana mdogo hivyo anaweza kuanza upya bila shida.
 
Kimsingi ZZK hajakanusha kuhusu kununuliwa magari au kupewa pesa. Saa hizi ndiyo nimeanza kumwelewa ZZK kuwa ni mtu wa aina Gani. Anajifanya kukataa posho Hadharani kumbe kuna mirija iliyokuwa inamnufaisha kisirisiri kiasi hiki. Kwa kweli aliyepasua jipu hili nampa hongera sana.
 
Haya ndiyo sababu ya yeye kusaliti chama?
Mbona uliyakalia kimya?
ungekuwa mzalendo wa kweli haya ungeyasema mara tu yalipotokea.
 
  • Thanks
Reactions: Pai
haya sasa oneni unafiki watu wanajifanya watakatifu kumbe hamna kitu. Eti mbowe hanunuliki na blahblah nyngne. Yaani mbowe ndo ametumwa kuharibu chama na si zitto ila wale waliowekwa mateka na jamaa huyu wa nyumba ndogo hawawez kuelewa
 
Back
Top Bottom