Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
ni kweli ameifuta kwenye wall yake ya facebook... na hapa sijui kama itabaki .. mimi ningependa ibaki tuidiscuss,,,
hii kauli ndio naitafakari sana jamaa alikuwa anamaanisha nini.. naomba moderators waache tuidiscuss hii..
always nasema jamaa hana washauri wazuri kisiasa..
They must know I am not a push over. Chacha died, I won't. Mtu ambaye hawezi kuheshimu mke wake aliyemzalia watoto hawezi kunyooshea mtu kidole
kuhusu maadili."
hii kauli ndio naitafakari sana jamaa alikuwa anamaanisha nini.. naomba moderators waache tuidiscuss hii..
always nasema jamaa hana washauri wazuri kisiasa..