Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe
Hivi zitto ukishinda kesi yako na CDM isipokutoa uanachama unadhani utakuwa na amani ndani ya chama?
 
Nadhani hapa tuangalie pia upande wa pili bado ana haki ya kuijibu hii tuhuma mtandaoni kwa sababu akiijibu kwenye vikao atakua ameikubali hii kama moja ya tuhuma bila shaka atakua kawaambia waiongeze kwenye hoja anazo shutumiwa nazo kama lissu atakua na vidhibiti vya kutosha.
 
Alafu siku hizi ana vimanenoo, mmmh mara kifaranga, mama kifaranga, maneno ya kanga, kubwabwaja, wamezoea vya kunyonga n.k. Huu ni upande wa pili wa Zitto ambao nilikuwa siujui
 
Zitto angekuwa mzalendo angeyasema hayo kabla hajatimuliwa.
 
Mbona Zitto anaitwa kikaoni yeye anakimbilia mahakamani, atajibuje sasa tuhuma anazotaka aandikiwe. ama anahusiana na ukichwabuta!!!!!!

ndiyo anajibu hivi kupitia kwenye mitandao
 
Kawaida yenu,maskini na misukule wa Lumumba Project kutumikia buku7.
Mijanaume mizima,eti inaaga alfajiri"naenda ofisini" kumbe mnaenda kutumikia ukhafir!Shame on you.
 
amesha kuwa kama Mrema na shibuda aende ccm
 
Kifo ni kibaya sana jamani...Zitto anaonyesha dalili zote za kuelekea kuzimu!
Sasa hivi ataongea kila analojua akidhani itasaidia kumwokoa, too bad it is late this time.
 
Mbona Zitto anaitwa kikaoni yeye anakimbilia mahakamani, atajibuje sasa tuhuma anazotaka aandikiwe. ama anahusiana na ukichwabuta!!!!!!


Mm ukichwabuta???!!!!!!......
anyway sioni haja ya kuendelea kumjadili uyu zito inrelation na chadema, uyu ni mda mfupi tu atafukuzwa chadewa ili awe huru kuihudumia na kuitumikia ccm yake zaid.

atuachie chadema yetu, mpango alo2mwa na ccm umeshagundulika na kuvurugwa
 
aje na ushahidi kama ule aliosema tundu lisu anao wa zitto kupewa magari na pesa kutoka kwa fisadi nimrod mkono.
 
Kifo ni kibaya sana jamani...Zitto anaonyesha dalili zote za kuelekea kuzimu!
Sasa hivi ataongea kila analojua akidhani itasaidia kumwokoa, too bad it is late this time.
Amepotea kisiasa kiuraisi kabisa!
 
usiwe muongo maneno yote hayo yakujitungia zito hajasema hivyo, nenda facebook wall ya zito kama kuna kitu hicho, hiv mnafaidika nanini kuwa mnajitungia maneno? mods mwiten zito aje athibitishe kama kweli haya kayaandika.
 
thibitisheni malalamiko yenu..toeni ushahdi na takwimu ziwe wazi zaidi ya hapo mtakuwa mnaexpress feelings zenu ambazo hatuzipi support coz no evidence...kwani lini mmewah kumjadili kinana kwa tuhma za ujangili? au zungu kwa tuhma za madawa ya kulevya? au mulongo kwakufoji vyeti? tafakari...hatakama unamaslah na ccm leta hoja za kiueledi sio hizi zinazowafanya wanaccm wenzenu wawashangae..
 
Huyu tundu kweli nimeamini ni mgonjwa wa akili maana haingii akili yale anayoongea ah wacha niendelee na kazi zangu
 
Zitto amejibu zaidi hayo sema Mods wanayafuta amesema pia jinsi Mbowe alivyokuwa anachukuwa pesa kwa Rostam na Mkono.

Wao wamemwaga mboga yeye kamwaga ugali.

Kaka nilileta uzi hapa plus ushahidi wapi zilipitia mpaka kumfikia mbowe but mod wakaufunga uzi wangu ili siri idibumburuke lakini nitauweka tena
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom