Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
Hivi zitto ukishinda kesi yako na CDM isipokutoa uanachama unadhani utakuwa na amani ndani ya chama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Zitto anaitwa kikaoni yeye anakimbilia mahakamani, atajibuje sasa tuhuma anazotaka aandikiwe. ama anahusiana na ukichwabuta!!!!!!
swali kikaoni,majibu mtandaoni!!
Mbona Zitto anaitwa kikaoni yeye anakimbilia mahakamani, atajibuje sasa tuhuma anazotaka aandikiwe. ama anahusiana na ukichwabuta!!!!!!
Akisema leo itaonekana ni frustration za kufukuzwa uanachama!Zitto angekuwa mzalendo angeyasema hayo kabla hajatimuliwa.
Amepotea kisiasa kiuraisi kabisa!Kifo ni kibaya sana jamani...Zitto anaonyesha dalili zote za kuelekea kuzimu!
Sasa hivi ataongea kila analojua akidhani itasaidia kumwokoa, too bad it is late this time.
Zitto amejibu zaidi hayo sema Mods wanayafuta amesema pia jinsi Mbowe alivyokuwa anachukuwa pesa kwa Rostam na Mkono.
Wao wamemwaga mboga yeye kamwaga ugali.