mkuu jamii inataka nini na wewe unasema nini hapa, ni sahihi kutumia fedha chafu katika jambo halali??? mpaka hapo credibility ya mwenyekiti ipo hoi

jamani tupeane ushahidi siyo umbea umbea tu. waliomtuhumu zitto wameleta ushahidi na zitto naye atuletee ushahidi tumwamini.
 
Kwa hiyo mtu akikutuhumu tu bila kutoa ushahidi basi mtu ajiuzuru tu,basi hii itakuwa nchi ya wajinga!

tunahitaji utetezi wa hizi tuhuma otherwise tuna haki ya kuamini kua ni kweli...
 
Siku zote huwa sana Zitto kuwa ni janga kwa kizazi hiki, wanaJF huyu Zitto alikuwa upande wa Mbowe kumpinga Chacha Wangwe, Na ni Zitto ndiye aliyekuwa kinara cha kumponda Wangwe na kumuita msaliti mnafiki lakin leo Zitto anakuja akijifanya kuwa yeye yupo upande wa marehemu wangwe.. Huu ni unafiki mkubwa usio hata na chembe ya aibu.
 
Last edited by a moderator:

Mbowe kwisha kayeyuka kama nta....yale madai ya saccos yametimia hoja ni kwamba kwanini akubali kuchukua fedha za mafisadi ambao waliwasoma pale mwembe yanga? Kuna agenda gani ya siri kati yake na mkono pamoja na rostam? Chadema ni genge la wahuni na huyo babu yenu apumzike atakufa kwa presha
 
mkuu inashangaza sana wanachedema kushangilia maovu kama haya ni aibu kwa chama..
 
Kwa hiyo mtu akikutuhumu tu bila kutoa ushahidi basi mtu ajiuzuru tu,basi hii itakuwa nchi ya wajinga!

Huna taarifa kwamba amekiri kuwa kweli amepokea "misaada" toka CCM kwa ajili ya CHADEMA ila akaenda kukikopesha chama?
 
Amen chadema tutashinda kwa nguvu za Mungu hawa wahuni wadogo tutawafukuza wote.
 
hakika mtu alie li engeneer hili sakata ni jasusi wa hatari....
 

Zitto ameshapambana sana na hayo ndani ya chama na ndiyo asili ya kuitwa msaliti ambayo kwa tafsiri ya akina Mbowe ni mnoko/mvurugaji wa deal..

Na kwa sasa akiwa nje,ni sahihi sasa kutuonyesha yale aliyokuwa anapambana nayo ndani ya Chadema na kwa nini mahusiano yake na wenye chama yamefikia hapa.
 
mkuu jamii inataka nini na wewe unasema nini hapa, ni sahihi kutumia fedha chafu katika jambo halali??? mpaka hapo credibility ya mwenyekiti ipo hoi

wewe ni stroke inakusumbua meza mavi kutwa ma 3.utapona......
 
sasa watetezi wa Mbowe na wa Zitto hapa mnisaidie.

Je, ni makosa Zitto kupewa magari mawili na Mkono na halali Mbowe kupewa Fedha na mtu huyo huyo kwa malengo tofauti??

Na Rostam naye anaingia vipi??
 

kwanza unatakiwa uprove kuwa ni kweli alichukua. Pili, unless useme beyond reasonable doubt kuwa alichukua kwa makusudi ya kusaliti chama. Mbona hujahoji pesa zilizotoka kwa Sabodo?
 
Dr.W.Slaa anaona aibu hata kuingia na kuchangia mijadala humu JF, Nafsi inamsuta.
 
NATAMANI ZZK AFANYE MKUTANO WOWOTEEEEEE WA HADHARA TUONE KAMA KALE KA KAULI KA TL KATAFANYA KAZI HAHAHAHAA...!!!

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…