Cdm mmezoea kufukuza watu ovyo pindi demokrasia inapokula upande wenu,ona Machali na wenzake walivoondoka cdm,sasa zitto ameamua aweke ujinga wa cdm wazi afu asepe,
baada ya zitto kusepa cdm itakuwa kama TLP.
Zitto komaa na usiongee na mbwa,ongea na mmiliki wa mbwa afu usepe
 
Alikuwa wapi siku zote.
Its toooooooooo late...

Never too late. Upinzani Tanzania bado saaaana. Wote ni hao hao tu. Mnatakaje? Kwenye vita kila mtu na mbinu zake za kivita. Those that live in glass houses shouldn't throw stones.
 
Viongozi wa siasa hawawezi kuwa waadilifu hata siku 1...CDM poleni saba
 
acha kuwa kama mfuasi wa kibwetele kama tuhuma za zitto ni za kweli ila za mbowe sio?
 
Wewe una uraia wa nchi gani? Kwa nini pia unapenda kufananisha chama cha siasa na SACCOS?
Basi wote SACCOS tu.. Huwezi kuniambia chama chenye watu kama Komba,Kinana au Nape (CCM) au Mbowe, Lema na Slaa (CHADEMA)ni makini. CCM na CHADEMA sio waleta maendeleo bora waruhusu wagombea binafsi tujue moja. Na wewe unadhani mimi raia wa wapi?
 

Tatizo la mhuni ni gumu kutatuliwa na wahuni wenzake,Mtakoma kwa kijana wa Kigoma, mmezoea kunyonga na kufukuza,
R.I.P CHADEMA
 
It is the last kick of a dying horse.
 
Leo ni mekata tamaa kuhusiana na siasa hasa za bongo mpinzani kupewa au kukopa pesa kwa mtu ambaye anasadikika ni fisadi na wachama tawala.Je mbavu za kumkosoa na kumwajibisha huyo wa chama tawala atakuwa nazo?

Kweli siasa mchezo mchafu.

source:gazeti la Rai
 


Mkuu na swali jepesi juu ya hoja ya Machali. Ivi Kwanini Zimbabwe waingereza walikua hawataki kulipa fidia za ardhi iliyokua inamilikiwa na wazungu wachache, kulipa kupitia serikali ya Mugabe kutokana Na Mkataba Wa fidia walioingia Kati ya serikali na waingereza?
 
ila watu wanavituko sana ivi mini kabaang wa kutuambia sisi wakazi wa dar tunaongoza kwa kula vichwa na miguu ya kuku???
 
zito hawezi kuongea na mbwa tundu lisu.anaongea na mwenye mbwa mbowe
 
Ndg wanaJF naomba mnisaidie, hivi huko Kigoma kuna nini?

Nauliza hivi kwa kuwa watu wengi niliowakubali na pengine kuwafanya mfano wangu wa kuigwa (ROLE MODELS) wamenisaliti. Kuja kutafakari woote walionisaliti hasa wanatoka sehemu moja, Kigoma!

Nilipokuwa na umri wa 18 tu nilimkubali nakumpenda sana Mbunge wa Kigoma Mjini Mh. Dr Aman Walid Kabourou ambaye pia alikuwa katibu mkuu CHADEMA cha ajabu na sintosahau mwaka 2005 pale Dr wangu huyu aliposhindwa ubunge lakini wakati nauguza majeraha yangu haya nikasikia Dr Kabourou huyooo CCM! Mara kateuliwa kuwa Mbunge EAC na sasa M/Kiti wa mkoa Kigoma CCM. Thanks Dr Kabourou umenisaliti lakini umenipa somo la maisha ya kuwa sintamwamini ama kumfuata mtu yeyote zaidi bali ntajifunza kanuni, sheria na taratibu za taasisi husika ziniongoze, siyo MTU! Afer all, the Bible says, "AMELAANIWA AMTEGEMEAYE MWANADAMU."

Lakini mbaya zaidi miaka ya 2008/9 nilimsikiliza kijana mmoja anayejiamini, anajenga na kutetea hoja zake vizuri anaitwa David Kafulila, ama kweli nilimkubali! Siku chache nikashtukia anatimuliwa CHADEMA huku akitetewa na baadhi ya watu akiwepo Zitto Kabwe nikafikiri labda anaonewa lakini kwa hakika aliondolewa akapokelewa NCCR baadae akawa mbunge wao 2010 kupitia jimbo 1 huko Kigoma Kusini. Kilichonishtua kijana huyu ndani ya miezi michache tu akaibua tuhuma nzito juu ya m/kiti wake taifa Mh. James Mbatia. My ghosh, jana tu ulipokelewa leo yamekuwa haya!

Haya basi labda hawa wanasiasa twende kwingine, kama mnazi wa SIMBA hakuna mtu tuliyemkubali kama Kipa namba 1 na NAHODHA wetu JUMA KASEJA. Cha ajabu mara kasepa YANGA.Jaman watani wa jadi! Ok karudi tukamsamehe haijapoa uh huyoooooo tena YANGA! Jaman Kigoma mtaniua!

Nami niseme nini kuhusu yule m/kiti wangu wa CDM tawi la SAUT 2009/10 Mh Machali sasa mbunge NCCR Kasulu-Kigoma, RICHARD TAMBWE HIZA yule m/kiti wa CUF Temeke na mgombea wa chama icho Temeke 2005 sasa Mkurugenzi wa PROPAGANDA CCM, Shekh maarufu Isa Haji Ponda mwenye saili ya Kigoma, ata sikuelewa hasa madai yake yalilenga nini hasa na kwa maslahi ya nani? Yule mwimbaji maarufu Dimond Platinum mara kwa Wema mara sijui Wolper mara kujenga Msikiti mkubwa!

Na sasa yule mwanasiasa anayedaiwa maarufu Zitto Zuberi Kabwe! Najua atawahangaisha sana lakini naamini hana chochote kabisa la kutusaidia waTz. Kwangu mimi nilimdelete tangu 2009 kwa kauli zake tata zisizokuwa na msaada kwa CDM na ata taifa hili. Leo wengine watauawa bure kwa ajili yake but mkumbuke kati ya viongozi wachache wa cdm wasioonja kichapo cha polisi basi nadhani Zitto namba moja. Mtakufa kipumbavu kwa ajili ya b7!

Naomba NDG wanajamvi tusaidizane why always KIGOMA, Kulikoni? Kigoma kuna'ni??????????????????????
 
ZITO AFUKUZWE TU HANA JIPYA. Kama ni uvumilivu basi umefikia kikomo! Kwa hapo alipofika hastahili tena kuwa mwanachama wa CHADEMA aende huko alikotumwa watampokea. Na chama kikikuchoka una haja gani ya kung'ang'ania si uondoke tu kama wenzako walivyofanya.
 
Wapenda mabadiliko ya kweli tunahitaji umakini wa hali ya juu katika huu mgogoro kwa maana upande wa MM umejipanga vizuri zaidi ya hata hiyo CC. Na sio ajabu wengine wanailaumu cc kwa kuchelewa kuchukua maamuzi haya. Kwa gear waliyoanza nayo ya mkutano wa SERENA usitegemee watatulia tu hivi hivi, huenda zikatoka hata siri za ndani (ambazo kimsingi ni weaknesses za taasisi au mtu yeyote) lakini daima wanaotoa hivi vyote kitakachowasuta ni nia na dhamira zao ....yaani wanachowaza moyoni na wanachotueleza sisi.
 
Acha ujinga wewe hujui hata siasa zilivyo, mbona mbowe na lissu hawakufunguka na kuwaeleza umma kuwa zitto alipoewa magari 2 na mkono? usiwe na akili za nyumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…