people should not stay in one side!! MBOYE SIO MSAFI THE WAY PEOPLE THINK,cdm kwa sasa ni lazima wa overhaul safu ya uongozi yenye watu waadilifu mapema sana || binafsi nimekosa imani nayo kabisa || kama wako tayari kuhongwa ili waachie jimbo je hao ni wanasiasa wa dhati au ni wafanyabiashara
 
Katika mahojiano aliyoyafanya M/Kiti wa chadema na gazeti la Raia
Tanzania ametoa hiyo kauli. Na hii ni baada ya Zitto kumtuhumu ya
kuwa alipewa Fedha na waheshimiwa/vigogo wa CCM.

Kumbe CCM imewasaidia wengi sana Tanzania....................
Huyu ni M/Kiti wao bado hawa wa ngazi za chini. Hivi ni nani aliye
msafi chadema ambaye anaweza kusimama mbele ya Watanzania.???
 
uhusiano wa hoja unaoitoa na hoja ya machali ipo wap?
 

Vilevile huu ushabiki wa sijui Zito sijui nani ni upuuzi mtupu badala ya kutatua matatizo ya maisha mnapoteza muda na pesa zenu kumzungumzia mtu. Huu ni ujinga wa hali ya juu kuna watoto hawana madawati , madarasa na mavazi ya kuendea shule pamoja na wakina mama wajawazito badala ya kujadili kutatua matatizo mnaendeleza ushabiki ndio maana Tanzania ina kila kitu lakini inaendelea kuwa maskini.
 

Kwa hiyo ccm wana fedha chafu!?
 
''Nitakuwa wa mwisho kutoka CDM'' Atafanya kazi na nani kwa matus hayo kwa Mbowe. Somebody who is aspiring to contest for presidency in future tayari amejiharibia, mtu smart hawezi kumchagua kuwa raisi as ataweza toa siri za nchi au kuuuza nchi kwa maadui baada ya kukorofishana na wenzake in the government.

We know that siasa SI HASA tunachoona au kusikia as vingine ni kama hizo pesa za kina Mkono, remember that Nyerere alikikubali CHADEMA tangu kikiwa kichanga na Mkono anatoka kumoja na Nyerere, yawezekana Mkono ni mpambanaji ndani ya CCM au wakati haujawadia wa yeye kuwa-join wapambanaji kwa uwazi.

Jibu la Mbowe nisahihi that ZZK hawezi elewa sababu ya yeye kupewa pesa na hana sababu ya kutueleza. I can say that Mbowe amepevuka kisiasa na it was right for not allowing ZZK to contest for chairmanship. Mnaweza kumpima sasa kuwa ni mpenda sifa, watu(CCM) wanapofurahia anavyotoa matusi kwa Mbowe kwake ni burudani. Na chama atakachojiunga nacho wakae kwa tahadhari as he has proved that yeye si mwanasiasa. Angetulia hata wana CDM wangeweza kumtetea. Kwa sasa yeye ni adui wa watanzania ambao walikuwa na mtumaini na CDM kuwatoa utumwani bila kujali huko jikoni mapishi yanaendeleaje.
 
Pamoja na mihela yote na viwanja/majumba/hoteli ulizorithi kwa baba yako lakini
bado unapokea vijisenti vya CCM???? Si mnazihiita ni pesa chafu refer 'List of shame'

Sasa mimi ambae ni kijana nina kadi ya chadema sina kazi, kwetu hakuna mali, nimesoma
sina kazi nitaziacha kweli hizo PESA za CCM zikija nje nje????
 
Hapa zililetwa tuhuma kwamba Zitto kapewa pesa dola mia ngapi sijui na CCM,mapovu yaliwatoka sana

Leo mwenyekiti "wetu" kala ela za Rostam,Mkono na CCM wanasema sio kosa!

Alafu bora angepeleka kwenye chama na kusema ni MSAADA kutoka CCM kwaajili ya kujiandaa na uchaguzi,yeye kaenda KUKOPESHA chama kwa RIBA kubwa na kufungua gazeti binafsi!

Huyu mtu hatufai.
 


Well Said,

Thanks
 
Ni yamkini kuwa, waliopo hatuwataki na wanaotubembeleza tuwapokee hatuwaamini kabisaaa.....wanasiasa wote ni wachumia tumbo, kama mtaani tuanze tu kwenda wenyewe.
 
Ngoja Lowassa nae ataje alio wapatia pesa ndani ya chadema tuone nani atabaki....
 
Eti sababu ya kupewa pesa na Kikwete na CCM ni kwaajili ya kwenda kukikopesha chama

Shame on him
 
wote ni wajisiriamali tu wanatumia siasa kama mtaji
 

wao wanapokea halafu wanakwambia wewe usipokee , kura uwape wao, umeona wapi kitu kama hicho??
 
Sabodo ni mwanaCCM mzuri sana na ametoa pesa mara nyingi tena hadharani kuunga mkono harakati za CHADEMA.

Kwangu mimi hili ni jambo la kawaida sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…