Mkuu wamepanic hawa yaniDogo ZZT hawezi kutishwa kitoto namna hii!! Kajipange tena upya!
Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Wakuu, inasemekana Zitto Kabwe ali-post facebook hii kitu halafu aka-edit later.
Original post:
Revised Post:
Kutoka Gazeti la Raia Tanzania
kwaiyo pesa za msaada kutoka conservative party ndo chairman kajianzishia gazeti lake huku akijua fika chama hakina hata ofisi na sometyms sebule za watu ndo zinatumika kama office...Mbowe resign Mkuu huu ni upuuzi wako
Wana JF
Hali ya kisiasa kwa Mh ZZK itakuwa mbaya zaidi kwa mujibu wa rafiki yangu mmoja wa Lumumba. Wanadai kuwa habari za kupokea rushwa ya magari kwa mheshimiwa zzk hachomoki kutokana na vielelezo mpaka vya picha vipo. Kwa mujibu wa mtoa habari wangu inawezekana ushaidi huu ilivujishwa kwa Lisu na mtu ambaye wanasema ni rafiki wa karibu wa ZZK waliyemtaja kwa jina moja Habib kupitia kwa Mtendaji mmoja mkubwa wa Serikali wa wizara moja nyeti ambaye ndiye aliyemkabidhi Lisu kwa ajili ya kumaliza ZZK. Inasemekana kuwa Lusi amepatiwa na Mtendaji huyo wa wizara nondo ambazo atakuwa anazishusha moja baada ya nyingine kulingana na jinsi zzk atakavyokuwa anajitetea. Mtoa habari anasema jamaa aliingia king muda mrefu na jamaa wamejipanga na wameanza na kakombora kadogo. Inasemekana jamaa wamemshauri ZZK asijaribu kupambana na Lisu ila yeye mara zote apeleke mashambulizi kwa Mbowe. Wamemwambia ati Lisu ni hatari sana kushindananaye, pia inasemekena ameshauriwa asikanyage tena JF kuzungumzia chochote aishie huko facebook.
Ganzi hivi hujui kama we ni chizi tangu unasoma Meta.Mimi na Juliana ni wanaccm na tunakura pesa ya ccm ila wenzangu mbowe na zitto ni wanachadema na wanakiri kura pesa ya ccm!!! WanaJf Hivi mimi na Juliana na hawa Mbowe na Zitto nani anasaliti mabadiliko!!!!!Kidumu chama cha mapinduzi chama kinachowalea watanzania wote bila kujari itikadi za vyama vyao.
Wana JF
Hali ya kisiasa kwa Mh ZZK itakuwa mbaya zaidi kwa mujibu wa rafiki yangu mmoja wa Lumumba. Wanadai kuwa habari za kupokea rushwa ya magari kwa mheshimiwa zzk hachomoki kutokana na vielelezo mpaka vya picha vipo. Kwa mujibu wa mtoa habari wangu inawezekana ushaidi huu ilivujishwa kwa Lisu na mtu ambaye wanasema ni rafiki wa karibu wa ZZK waliyemtaja kwa jina moja Habib kupitia kwa Mtendaji mmoja mkubwa wa Serikali wa wizara moja nyeti ambaye ndiye aliyemkabidhi Lisu kwa ajili ya kumaliza ZZK. Inasemekana kuwa Lusi amepatiwa na Mtendaji huyo wa wizara nondo ambazo atakuwa anazishusha moja baada ya nyingine kulingana na jinsi zzk atakavyokuwa anajitetea. Mtoa habari anasema jamaa aliingia king muda mrefu na jamaa wamejipanga na wameanza na kakombora kadogo. Inasemekana jamaa wamemshauri ZZK asijaribu kupambana na Lisu ila yeye mara zote apeleke mashambulizi kwa Mbowe. Wamemwambia ati Lisu ni hatari sana kushindananaye, pia inasemekena ameshauriwa asikanyage tena JF kuzungumzia chochote aishie huko facebook.
Hakika sikutegemea kuona Zitto anakuja low this much pamoja na kwamba niliamini ni mjinga , mjivuni , limbukkeni, ambaye Elimu yake si msaada .Zitto kwa tuhuma alizozitoa kwa Mbowe kweli nimeshagaa sana .Zitto aliuwa wapi kuyasema haya ? Zitto hata mimi menyewe najua ulipewa magari na mkono na ukaja nayo Kigoma na mojawapo ni double cabin mpya .Zitto kabla ya kumtukana Mbowe na kuzusha tueleze kwanza kama hukupewa magari watu waweke ushahidi .Kkwa ajili yako ndogo Mkono amekuwa wazi na alisema hili si mara moja kwamba anataka Chadema iwe na nguvu .Kwa mfano hawakuwa na Mbunge kwenye eneo lakini in the open alipigia kampeni Chadema kwa kuona wagombea wa CCM hawakuwa na sifa .Alisema in the open leteni watu wa kuwatetea kwenye halmashauri .Zitto ametoa tuhuma ambazo baada ya hili kuisha hajui kwamba atakuwa haaminiki tena .Kwa akili matope hii nani wa kukuamini tena siku za usoni maana sote tunajua tutaenda facebook na Twittere kusema tu .Haya umesha toa tuhumaweka ushahidi sasa ili uaminiwe .Ulianza kumchafua Slaa na diliza Lowasa ukaona hazina mashiko umeanza haya .Aibu yako na utashangaa Dunia .
Kwann mbowe amechakachua kifungu cha ukomo wa uongozi?Kama hawezi kutishwa nini kimemkimbizia kulialia mahakamani?
Dogo ZZT hawezi kutishwa kitoto namna hii!! Kajipange tena upya!