Ni wakati muafaka kwa wanacdm kujitazama upya, hii vita ni ya mboe na zito sasa hawa wengine wanadandia tuuu.
Kiukweli ninavyoona hapa ni kwamba mbowe ni mafi wa madaraka na ni fisadi na zito huenda alikua tishio kwake na pengine ni kauzibe kiaina fulani katika deals zake, maana wa kabila la mbowe nao kwa deals nawaaminia.
Sasa cdm kama inataka kuleta mabadiliko yenye tija ni wakati muafaka pia mbowe kukaa pembeni, nafasi ya uenyekiti haimfai amekula vya kutosha amefanya biashara nyingi kwa kutumia chama, ametutapeli mno. So zito na mbowe tupisheni tulisongeshe na wewe babu kama unataka kuwa na mbowe nawe tembea, halafu lisu kuwa makini usidandie hofyo utaumbuka maana bado tunakuheshimu.
Mungu ibariki Tanzania