nani atambike?
cpo huko nilishakombolewa cfanyi matambiko!

hakuna aliyeshikwa pabaya zaidi yake yy aliyekimbilia mahakamani.
kifupi its too leiiiiiit sio mwanachama tena wa cdm icpokuwa kwa mahakama tuuu

Uwiiiii kadi yake vp mshairudisha ufipa? Nijuze mwana-ukoo.
 
Hakuna kitu hapo wewe usiwe kibajaji mkuu,, inshu ya wangwe haiwezi kufanana na ya ulimboka na mvungi mkuu nafikiri yuanze na hizo kwanza,hayo mengine ni kutapatapa tu wewe na zitto wako wote hamna hoja mnhaha tu kutafuta huruma ya wanachama makini wa chadema .
 

lete ushahidi , unadhani kutoka mapovu kutakusaidia chochote ? IT IS OVER !
 


Mnaweseseka! Poleni sana Chadema. Tunasubiri mvuane chupi wote, tuwaone utupu wenu
 

[h=5]hivi tatizo la zitto ni nini hasa hadi vijana leo mmekua mkimchukia kusema yale ambayo sisi tulikuwa hatuyajui au kwa kuwa anataka kuhamisha ufalme kanda ya kasikazini na kuupeleka kanda ya magharibi au kawagusa miungu watu kwenye liziki zao

siku zote unaambia akili ya kuambiwa ongezea na yako ndio utoe maamuzi kama kweli zitto anatumiwa na ccm mbona matatizo haya yamekuja baada ya kuhoji matumizi ya hela za ruzuku na michango mbalimbali iliyofanya na chama pamoja na hela za wadhamini

je kama kweli ni msaliti mbona ulipotolewa waraka wa siri juu yake vija wote mliamini ila yeye leo katoa ya siri mnaanza mtukana

hili suala la zitto unatakiwa kama kijana kwanza kukaa chini na kutafakari je chadena ni mkombozi wa kweli wa wanyonge au na cdm kama ccm kila mtu anachukua chake mapema ( chukua donge mapema)

kwa hili imedhihilisha chama cha upinzani tanzania na chenye lengo la kumkomboa mtanzania ni cuf[/h]
 
Zigo analjua hilo kuwa mbio zake kisiasa zmeingia doa,tena doa kubwa

linahtaj sabun tena sio ya kusugua

i hate ths jamaa kwa unafk wake
 

Kama chama hakijawahi kushuka tangu mbowe awe mwenyekiti basi itakuwa vizuri kama mtamfanya kuwa mwenyekiti wa maisha au mtengeneze cheo cha kifalme. Badala ya kuitwa mwenyekiti aitwe mfalme...duh! Nyie watu akili zenu zimeganda ile mbaya. RIP MANDELA.
 
Issue ya Zitto itawagarimu sana CDM., nadhan wakikamilisha kumfukuza kabisa kabisa uanachama Chadema ili isimame tena itachukua tena kama miaka 10., Nilichojifunza Tanganyika wanachama wa vyama mbali mbali vya siasa hawana msimamo thabit tofauti na CUF kule visiwani., tatizo kubwa ndugu zetu wa Tanganyika wanapenda sana ukabila., udini., au mtu wa mahali Fulani., nadhan CDM itapasuka sana mwaka huu., Kule Zanzibar Hamad Rashid na yeye alianzisha tifu lake kama hivi Zitto kujidai kutoa siri za chama lakin haikuwa pigo kwa CUF watu walielewa mara 1 na hata hamadi aliporudi jimboni kwake wengi wao ata ndugu zake pia waliendelea kumlaani kwa usaliti., sana sana aliweza kuwachukuwa wanachama wa CUF walio mikoa ya Tanganyika kumuunga mkono yeye hamad Rashid., Nasema hivi kwa sababu CDM base yk kubwa ipo kule Tanganyika. Mziki wa Zitto utawagarimu sana
 
Punguka mihemko.... wamemwaga mboga naye kamwaga ugali.. tatizo liko wapi? Pipooooooz!!! GONGO FC UFIPA.

arola;
sijui kwa nini huwa hamjifichi. Yaani Maccm hayana uwezo wa kujificha kabisa. We huyu Mhaini anakuja na zake za kuleta hapa ati Mh. Mbowe kapewa fedha za kampeini, nilidhani atasema alizipewa ili ampinge Dr. Slaa kumbe anasema akazitumia kumpigia kampeini.
ZZK ameambiwa alipewa fedha ili azuie mgombea wa CDM asigombee. Unalisikia hilo weye nanihino? ZZK katuhumiwa makosa ya uhaini. Ingekuwa enzi za Mwl huyu tungempoteza kama Kambona lakini basi tu yaishe.
Mh. Mbowe, Mh. Dr Slaa, msiogope angalieni mbele. Angalieni uchaguzi ujao. This February, tunataka tushinde kwa kishindo kweli kweli. Mambo ya Zitto tukienda nayo ni kama kumpandisha chart tu. Huyo ni inzi tu kaanguka kwenye supu ya moto. Hatuimwagi tunamtoa na kutupa kelee
 
Huu ndo ukweli,kwanza katika hali ya kawaida utoe Rushwa halafu unawezaje kusema hadharani?
TL mbowe kakupoteza na hiwezi siasa
ZZK siku akianza mipasho mtakimbiana CDM kwa sababu anazijua issue zenu kuanzia A to Z
Hamjachoka tu?
 
Haha haha technically na yeye amechukua magari mawili haha big show ccm ni whatsup sana...huenda dogo naye kataka uenyekiti apige haha uzalendo ma s a bu ri yao!

Nakuona wajichekesha
 
Pole sana Mheshimiwa Mbowe, kumbuka USAFI ni hazina kuu ya mwanasiasa
 
Nilidhani wewe ni binadamu kumbe ni mtu tu eti chausiku hasara iliyoje kwa ndugu na rafiki zako waliyoipata kwa kuwa wewe chausiku.

Jibu hoja hayo unayo yaingiza huku hujaulizwa ,,au ndio kale kaugonjwa ka zitto ka kuacha kujibu hoja na kuanza kutunga tuhuma za magumashi?jibu hoja habari za jina langu azishia mada nyingine ,,ila hapa unatakiwa kujibu ulicho ilizwa tuuu basi.
 
Hiyo ni mboga tu imemwagika, bado kidogo ugali nao tutauona kwenye udongo.
 
Zito amekubali kuwa alihongwa magari na Mkono, sasa anatafuta wengine aliohongwa nao! Ajabu hana mshauri amekwisha amejimaliza
 
Uwe fair ndugu, zitto hajakosea kujibu maana kama kuanzisha mambo haya wameanza akina lisu ya kusema eti kapewa magari mawili, ivyo alichofanya zitto ni safe defense maana nae amedhihirisha anajua mengi ila kwa ukomavu wake wa kisiasa alikaaa kimya ampaka walipomchokoza ndipo kawatoa kamasi kwa kumwaga makubwa, tena inabidi aendelee kuleta zaidi maana inawezekana yako mengi mabaya kabisa na ya kushtua
 

Mkuu kupenda ni blindness,lissu aliposema kahongwa magari mawili na mkono mbna tulishangilia?au ushahidi ulikuwepo?
 

Hata kama tuhuma hizi ni za kweli, issue ni nani kazitoa kwa wakati gani. Sasa hivi kila atakalo sema Zitto kuhusu Chadema na Viongozi wake lazima tuone ni upuuzi tu. Its too little too late. Alikuwa wapi siku zote kama alikuwa anazijua hizi tuhuma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…