MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Aanze na ile sakata ya kubadilisha safari ya mbunge wa viti maalumu kutoka NY ili wakutane Dubai kwa mambo yaleeee!
Wana JF,
Kama kuna jambo ambalo binadamu wa kawaida akiliona atashangaa basi ni haya anayofanya Zitto ndani ya Chadema!
Zitto Kabwe ni kiutuko ndani ya siasa!
Mwaka 2010 wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais pale Jangwani Zitto aliingia mitini.Kwa kumlea Mwenyekiti akasema Zitto amepewa jukumu la kufanya uzinduzi Kigoma, hakuna alichofanya Zitto.
Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
Uchaguzi mdogo wa Arumeru hakwenda kabisa na badala yake akiwa Kigoma akatangaza kuwania Urais mwaka 2015 huku akijua (kutokana na katiba ya sasa) hana sifa ukiangalia umri!
Kwenye tukio la bomu mkutano wa Chadema Zitto alitoka Dodoma akakimbilia Dar!! Haya yote anayafanya akiwa kiongozi wa Chadema!!!
Zitto leo anatukana watu waliomlea kupitia mitandao ya kijamii!!
Zitto ni binadamu wa aina gani?
Zitto amewahi kupata kashfa nyingi lakini Mbowe amekuwa akimshauri, leo anamtukana.
Ndugu yangu Zitto; Uenyekiti unautaka umuongoze nani wakati kwenye shughuli muhimu za chama unaingia mitini?
Kama ni urais unataka huku ukijua huna sifa kikatiba mbona hukugombea 2005 na/au 2010?
Zitto ni mfano mbaya sana na hastahili kuigwa!
Wana JF,
Kama kuna jambo ambalo binadamu wa kawaida akiliona atashangaa basi ni haya anayofanya Zitto ndani ya Chadema!
Zitto Kabwe ni kiutuko ndani ya siasa!
Mwaka 2010 wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais pale Jangwani Zitto aliingia mitini.Kwa kumlea Mwenyekiti akasema Zitto amepewa jukumu la kufanya uzinduzi Kigoma, hakuna alichofanya Zitto.
Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
Uchaguzi mdogo wa Arumeru hakwenda kabisa na badala yake akiwa Kigoma akatangaza kuwania Urais mwaka 2015 huku akijua (kutokana na katiba ya sasa) hana sifa ukiangalia umri!
Kwenye tukio la bomu mkutano wa Chadema Zitto alitoka Dodoma akakimbilia Dar!! Haya yote anayafanya akiwa kiongozi wa Chadema!!!
Zitto leo anatukana watu waliomlea kupitia mitandao ya kijamii!!
Zitto ni binadamu wa aina gani?
Zitto amewahi kupata kashfa nyingi lakini Mbowe amekuwa akimshauri, leo anamtukana.
Ndugu yangu Zitto; Uenyekiti unautaka umuongoze nani wakati kwenye shughuli muhimu za chama unaingia mitini?
Kama ni urais unataka huku ukijua huna sifa kikatiba mbona hukugombea 2005 na/au 2010?
Zitto ni mfano mbaya sana na hastahili kuigwa!
Wana JF,
Kama kuna jambo ambalo binadamu wa kawaida akiliona atashangaa basi ni haya anayofanya Zitto ndani ya Chadema!
Zitto Kabwe ni kiutuko ndani ya siasa!
Mwaka 2010 wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais pale Jangwani Zitto aliingia mitini.Kwa kumlea Mwenyekiti akasema Zitto amepewa jukumu la kufanya uzinduzi Kigoma, hakuna alichofanya Zitto.
Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
Uchaguzi mdogo wa Arumeru hakwenda kabisa na badala yake akiwa Kigoma akatangaza kuwania Urais mwaka 2015 huku akijua (kutokana na katiba ya sasa) hana sifa ukiangalia umri!
Kwenye tukio la bomu mkutano wa Chadema Zitto alitoka Dodoma akakimbilia Dar!! Haya yote anayafanya akiwa kiongozi wa Chadema!!!
Zitto leo anatukana watu waliomlea kupitia mitandao ya kijamii!!
Zitto ni binadamu wa aina gani?
Zitto amewahi kupata kashfa nyingi lakini Mbowe amekuwa akimshauri, leo anamtukana.
Ndugu yangu Zitto; Uenyekiti unautaka umuongoze nani wakati kwenye shughuli muhimu za chama unaingia mitini?
Kama ni urais unataka huku ukijua huna sifa kikatiba mbona hukugombea 2005 na/au 2010?
Zitto ni mfano mbaya sana na hastahili kuigwa!
Wana JF,
Kama kuna jambo ambalo binadamu wa kawaida akiliona atashangaa basi ni haya anayofanya Zitto ndani ya Chadema!
Zitto Kabwe ni kiutuko ndani ya siasa!
Mwaka 2010 wakati wa uzinduzi wa kampeni za Urais pale Jangwani Zitto aliingia mitini.Kwa kumlea Mwenyekiti akasema Zitto amepewa jukumu la kufanya uzinduzi Kigoma, hakuna alichofanya Zitto.
Kwenye uchaguzi mdogo wa Igunga Zitto hakukanyaga...Dr. Slaa kwa kumlinda akasoma ujumbe ambao Zitto alipost facebook kuomba wanaigunga wamchague Kashindye!
Uchaguzi mdogo wa Arumeru hakwenda kabisa na badala yake akiwa Kigoma akatangaza kuwania Urais mwaka 2015 huku akijua (kutokana na katiba ya sasa) hana sifa ukiangalia umri!
Kwenye tukio la bomu mkutano wa Chadema Zitto alitoka Dodoma akakimbilia Dar!! Haya yote anayafanya akiwa kiongozi wa Chadema!!!
Zitto leo anatukana watu waliomlea kupitia mitandao ya kijamii!!
Zitto ni binadamu wa aina gani?
Zitto amewahi kupata kashfa nyingi lakini Mbowe amekuwa akimshauri, leo anamtukana.
Ndugu yangu Zitto; Uenyekiti unautaka umuongoze nani wakati kwenye shughuli muhimu za chama unaingia mitini?
Kama ni urais unataka huku ukijua huna sifa kikatiba mbona hukugombea 2005 na/au 2010?
Zitto ni mfano mbaya sana na hastahili kuigwa!