Zitto acha kutafuta kiki, mbona hukushitaki hao washirika wako CCM leo unashoboka?

Zitto acha kutafuta kiki, mbona hukushitaki hao washirika wako CCM leo unashoboka?

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Screenshot_20230114-150216.jpg
 
Zitto anajua Samia alikuwa Makamu wa Rais na anawajibika?

Oops, usiongee ukweli, ukweli hautakiwi, watu wanasahau hata Samia wao alisema kwamba Askari wao hawezi kukosea kwa maana ya waliompiga Tundu risasi, kama wangekuwa ni askari wa Serikali wasingemkosa bali angemalizwa, alisema Samia lkn wanamuona Malaika!
 
Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.

Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app

Si utulie tu, au unaogopa kusikia ukweli utakao kuumiza?
 
Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.

Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ujweli halisi,na huyo liquiman hiyo inaweza kuwa bahasha ambayo itamgharimu sana!
 
Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.

Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Mnaleta tabia ya kufunga watu midomo kwasababu za kimahaba kwa wale muwapendao, upande wa pili nao wakiguswa kwa maoni wanayoona yanamkera mama yao nao wanasema fulani amenunuliwa, hii sio sawa.

Hii tabia ya kukwepa uwajibikaji na kuingilia uhuru wa wengine kutoa maoni yao ikomeshwe, ila kama mna ushahidi fulani amenunuliwa mnakaribishwa kuuweka hadharani, ili tusitengeneze taifa la waoga na walalamikaji.
 
Oops, usiongee ukweli, ukweli hautakiwi, watu wanasahau hata Samia wao alisema kwamba Askari wao hawezi kukosea kwa maana ya waliompiga Tundu risasi, kama wangekuwa ni askari wa Serikali wasingemkosa bali angemalizwa, alisema Samia lkn wanamuona Malaika!
Lakini tuulizane na tuambizane ukweli.
Wewe unaamini Serikali inaweza kumiliki wadunguaji wa aina Ile?
 
Ukweli gani kamanda?
kwamba bwana John POMBE MAGUFULI ALIMUUA NDG BEN SANANE PALE IKULU BAADA YA KUMPIGA RISASI
Kwamba kulikuwa na kikundi kilichoitwa vijana wazalendo wa kitanzania kikifanya shughuli zake pale sayansi na kwamba kiliongozwa na bwana msigwa. na kwamba hata ule ujinga wa musiba na kupigwa risasi Lisu viliratibiwa hapo
 
kwamba bwana John POMBE MAGUFULI ALIMUUA NDG BEN SANANE PALE IKULU BAADA YA KUMPIGA RISASI
Kwamba kulikuwa na kikundi kilichoitwa vijana wazalendo wa kitanzania kikifanya shughuli zake pale sayansi na kwamba kiliongozwa na bwana msigwa. na kwamba hata ule ujinga wa musiba na kupigwa risasi Lisu viliratibiwa hapo

Waache wajitoe ufahamu wakati kila kitu kipo wazi ,USA wana data zote.
 
Back
Top Bottom