Zitto acha kutafuta kiki, mbona hukushitaki hao washirika wako CCM leo unashoboka?

Zitto acha kutafuta kiki, mbona hukushitaki hao washirika wako CCM leo unashoboka?

Sio kwamba watu wanamchukia zito ila hawamuamini kwenye ishu zenye maslahi na jamii. Hatabiriki kiufupi, anaweza kuwauza.
 
kwamba bwana John POMBE MAGUFULI ALIMUUA NDG BEN SANANE PALE IKULU BAADA YA KUMPIGA RISASI
Kwamba kulikuwa na kikundi kilichoitwa vijana wazalendo wa kitanzania kikifanya shughuli zake pale sayansi na kwamba kiliongozwa na bwana msigwa. na kwamba hata ule ujinga wa musiba na kupigwa risasi Lisu viliratibiwa hapo
Kumbe?

Safi sana hii
 
Kwa akili za serikali ile ya awamu ya tano? Mbona hilo sio la kujiuliza
Ila hata kama tuki assume sio wao, mbona hakukamatwa mtu hata mmoja kuhusiana na hilo tukio licha ya kufanyika kwenye maeneo yenye ulinzi mkali na kukamatwa kwenye CCTV Camera ambazo zilitolewa na kufichwa?
Endelea kujiuliza kwamba pia kwa kutoa hizo camera si inafanya serikali ndio ihisiwe kuhusika sasa ina maana serikali yenyewe haikujua hilo kwamba itahisiwa yeye?
 
Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.

Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo Unaaanisha bado hatari za kuteka na kuua watu zipo vilevile watu wasijaribu kudai haki?
 
Sasa kwa nini Zitto hamsemi? Anafanya kama rais wa sasa hakuwepo kabisa kwenye serikali hiyo?

Hamsemi labda anajua kilichokuwa kinaendelea kwenye serikali iliyopita ,maana jiwe alijitanabaisha ni "Serikali yangu ya Magufuli" means ilikuwa one-man show.
 
Endelea kujiuliza kwamba pia kwa kutoa hizo camera si inafanya serikali ndio ihisiwe kuhusika sasa ina maana serikali yenyewe haikujua hilo kwamba itahisiwa yeye?
Soma tena post yangu, awamu ya 5 walikuwa hawana akili
 
Kuwajibika? Tunataka uwajibikaji? Au tunachagua wa kuwajibika? Hili jukwaa siku hizi gumu sana. Basi tusubiri hiyo kesi tuone .....

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sioni ugumu wa hili jukwaa.

Tatizo thinking yenu imetawaliwa na hisia sana kwa wale muwapendao, hamtaki waguswe, wakiguswa mtatafuta sababu zozote hata zisizo na ushahidi ilimradi muwatetee..

Hili sio tatizo lako pekee, nimeliona hata kwa wenzio, nao huangaika kumtetea mama yao hata kwa sababu zisizoeleweka, za kihisia tu...
 
Sioni ugumu wa hili jukwaa.

Tatizo thinking yenu imetawaliwa na hisia sana kwa wale muwapendao, hamtaki waguswe, wakiguswa mtatafuta sababu zozote hata zisizo na ushahidi ilimradi muwatetee..

Hili sio tatizo lako pekee, nimeliona hata kwa wenzio, nao huangaika kumtetea mama yao hata kwa sababu zisizoeleweka, za kihisia tu...
Umewasahau na wenye kuongozwa na hisia za chuki.
 
Umewasahau na wenye kuongozwa na hisia za chuki.
Sijawasahau, mpaka sasa utafiti wangu unanionesha, wale wenye hisia za mahaba hutafsiri chuki vile wapendavyo hasa wakiona wampemdae anapingwa, ndio huwapachika wapingaji jina la chuki.
 
Sijawasahau, mpaka sasa utafiti wangu unanionesha, wale wenye hisia za mahaba hutafsiri chuki vile wapendavyo hasa wakiona wampemdae anapingwa, ndio huwapachika wapingaji jina la chuki.
Ila suala la wenye chuki lipo na lipo wazi sana, sio wote ila wapo.
 
Back
Top Bottom