Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa nini Zitto hamsemi? Anafanya kama rais wa sasa hakuwepo kabisa kwenye serikali hiyo?Kusemwa hana kinga mkuu.
Kwani Samia kashitakiwa?Zitto anajua Samia alikuwa Makamu wa Rais na anawajibika?
Hapana. Kufungua kesi ni ishu ndogo. Kesi hii inatakiwa isimamiwe kikamilifu mpaka mwisho hukumu ipatikane.Naunga mkono. Kesi kufika tu mezani kwa Mahakama hata kama haitafika mwisho ni ushindi
🤣🤣🤣Sio kwamba watu wanamchukia zito ila hawamuamini kwenye ishu zenye maslahi na jamii. Hatabiriki kiufupi, anaweza kuwauza.
Kumbe?kwamba bwana John POMBE MAGUFULI ALIMUUA NDG BEN SANANE PALE IKULU BAADA YA KUMPIGA RISASI
Kwamba kulikuwa na kikundi kilichoitwa vijana wazalendo wa kitanzania kikifanya shughuli zake pale sayansi na kwamba kiliongozwa na bwana msigwa. na kwamba hata ule ujinga wa musiba na kupigwa risasi Lisu viliratibiwa hapo
Kwani nani kasema kashitakiwa?Kwani Samia kashitakiwa?
Endelea kujiuliza kwamba pia kwa kutoa hizo camera si inafanya serikali ndio ihisiwe kuhusika sasa ina maana serikali yenyewe haikujua hilo kwamba itahisiwa yeye?Kwa akili za serikali ile ya awamu ya tano? Mbona hilo sio la kujiuliza
Ila hata kama tuki assume sio wao, mbona hakukamatwa mtu hata mmoja kuhusiana na hilo tukio licha ya kufanyika kwenye maeneo yenye ulinzi mkali na kukamatwa kwenye CCTV Camera ambazo zilitolewa na kufichwa?
Sasa ulitaka amseme Samia ili iweje.Kwani nani kasema kashitakiwa?
Kwahiyo Unaaanisha bado hatari za kuteka na kuua watu zipo vilevile watu wasijaribu kudai haki?Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.
Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Sasa kwa nini Zitto hamsemi? Anafanya kama rais wa sasa hakuwepo kabisa kwenye serikali hiyo?
Soma tena post yangu, awamu ya 5 walikuwa hawana akiliEndelea kujiuliza kwamba pia kwa kutoa hizo camera si inafanya serikali ndio ihisiwe kuhusika sasa ina maana serikali yenyewe haikujua hilo kwamba itahisiwa yeye?
Wacha watu watoe USHAHIDI WAO Kama kipo wanachokijua wacha waseme tu wewe unaumia nini?ASANTE ZITTO kwa HILO
Ila hao watu wa awamu ya tano ndio hao hao bado wapo awamu hii.Soma tena post yangu, awamu ya 5 walikuwa hawana akili
Sioni ugumu wa hili jukwaa.Kuwajibika? Tunataka uwajibikaji? Au tunachagua wa kuwajibika? Hili jukwaa siku hizi gumu sana. Basi tusubiri hiyo kesi tuone .....
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Umewasahau na wenye kuongozwa na hisia za chuki.Sioni ugumu wa hili jukwaa.
Tatizo thinking yenu imetawaliwa na hisia sana kwa wale muwapendao, hamtaki waguswe, wakiguswa mtatafuta sababu zozote hata zisizo na ushahidi ilimradi muwatetee..
Hili sio tatizo lako pekee, nimeliona hata kwa wenzio, nao huangaika kumtetea mama yao hata kwa sababu zisizoeleweka, za kihisia tu...
Huyu aliyefungua shtaka atakuwa anatumiwa na kikundi fulani.
Sijawasahau, mpaka sasa utafiti wangu unanionesha, wale wenye hisia za mahaba hutafsiri chuki vile wapendavyo hasa wakiona wampemdae anapingwa, ndio huwapachika wapingaji jina la chuki.Umewasahau na wenye kuongozwa na hisia za chuki.
Ila suala la wenye chuki lipo na lipo wazi sana, sio wote ila wapo.Sijawasahau, mpaka sasa utafiti wangu unanionesha, wale wenye hisia za mahaba hutafsiri chuki vile wapendavyo hasa wakiona wampemdae anapingwa, ndio huwapachika wapingaji jina la chuki.