Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika nchi hii iliharibiwa sana katika miaka michache iliyopita! Hivi, mstari wa kutenganisha kutafuta haki na kulipiza kisasi unachorwa wapi? Hivi kweli kutaka kujua ni kwanini uhalifu wa raia kutekwa, kuumizwa, kupotea na kuuawa haujafuatiliwa na vyombo vyenye dhamana hiyo ni kulipiza kisasi? Kwa hakika "kakikundi" siyo hawa wanaotafuta majibu ya udhalimu uliotendeka awamu ya tano bali ni wale walioasisi na kutenda udhalimu huo. Kwa mambo yale ya kutisha tusingetarajia raia mwema wa nchi hii kubeza na hata kutilia shaka mawazo ya raia wenzake ya kutaka kupata majibu kutoka kwa watu wenye dhamana kikatiba na kishearia. Mtu mwovu hutamani kuaminisha umma kuwa uovu ule ulikuwa na baraka za uongozi wote wa awamu hiyo! Jambo hilo siyo kweli hata kidogo. Uovu huo uliasisiwa na kutekelezwa na watu wachache sana tena waliokuwa wakifanya kazi hiyo nje ya mifumo rasmi ya uendeshaji wa nchi. Hawa wanaobeza jitihada za kupata majibu kutoka kwa wahusika ama ni wanufaika au watekelezaji wa uovu huo. Haiwezekani hata kidogo kuwa udhalimu huo ulifanyika kutokana na maamuzi ya vikao rasmi vya kiserikali au vyombo vya ulinzi na usalama.Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.
Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwani Tundu Lissu alipigwa risasi chini ya urais wa nani?Sasa ulitaka amseme Samia ili iweje.
Sijaona mahali popote ktk comment ya hii kesi Zitto akimtaja rais yeyote aliyepita!
Sasa kwa nini Samia alikubali kukaa kwenye serikali ya one man show?Hamsemi labda anajua kilichokuwa kinaendelea kwenye serikali iliyopita ,maana jiwe alijitanabaisha ni "Serikali yangu ya Magufuli" means ilikuwa one-man show.
Ki protocol ni ngumu kuondoka maana ingeleta sintofahamu ,ilibidi afe kisabuni hadi mwisho.Sasa kwa nini Samia alikubali kukaa kwenye serikali ya one man show?
Unajua ukishakubali kukaa kwenye serikali ya one man show unawajibika kwa maamuzi ya seriklai hiyo?
Unaelewa Nuremberg Trials ni nini na ilitoa hukumu gani kuhusu wanajeshi na wanachama wa wa Nazi waliohukumiwa kwa kushiriki kwenye mauaji ya Wayahudi na kutoa utetezi wa kwamba wao walifanya kwa "maagizo kutoka juu" tu?
kwa katiba yetu rais ndio kila kitu,makamo ni kuvuli tu,sijui kwa nchi nyingineZitto anajua Samia alikuwa Makamu wa Rais na anawajibika?
Ukichunguza sana utaona hizi ni cheap politics tu. Zitto hataki kumuwajibisha Samia, japo kisiasa tu, kama kisheria haiwezekani.Ki protocol ni ngumu kuondoka maana ingeleta sintofahamu ,ilibidi afe kisabuni hadi mwisho.
Yes kiuhalisia inabidi uwajibike ,kwakuwa wao wanalijua hilo ndiyo maana walijiwekea KINGA ili wasiingie kwenye "kuwajibika".
Hata huku kwetu haikubaliki ,kama ulishiriki wewe kama wewe hata kama ulipewa maagizo kutoka juu lazima ile kwako uliyetenda na si aliyeagiza , Hii ni kama kesi ya Zombe kutoa maagizo wafanyabiashara wa madini wakauawe mabwepande ,askari alijitetea kwamba aliagizwa na Zombe,pia zombe na yeye akajitetea kwamba yeye hajashika mtutu na kuua ,kwahiyo Zombe akachomoka.
Kama kivuli tu angejiuzulu, makamu wa rais ni mtu wa pili kwenye madaraka, ndiyo maana aliofariki Magufuli, Samia kachukua urais.kwa katiba yetu rais ndio kila kitu,makamo ni kuvuli tu,sijui kwa nchi nyingine
Chama lako hilo,CCM hawajiamini.
Ndiyo. Kwa hizi ajira za kujuana inawezekana sana.Lakini tuulizane na tuambizane ukweli.
Wewe unaamini Serikali inaweza kumiliki wadunguaji wa aina Ile?
Ficha ujinga wako .Ni Mungu tu aliamua Tundu Lissu aishi .Hata kama wengi kuwa watunguaji Mahiri kiasi gani ,Mungu akiamua uishi utaishi.Lakini tuulizane na tuambizane ukweli.
Wewe unaamini Serikali inaweza kumiliki wadunguaji wa aina Ile?
we jamaa una akili nyingi ila hapa umepunyanga ,mifano yako yote uliyootoa hapa haiendani na nilichoandika.Mimi nimesema kwa katiba tuliyonayo makamo wa raisi ni kivuli,wewe badala ya kujibu hiyo hoja ili tujue ni kivuli kivipi wewe uansema angejiuzulu,sasa akijiuzulu si anachaguliwa mwingine halafu yanakua yaleyale,kwani wewe hujui kwamba makamo wa rais kwenye nchi yetu ni mkata utepe tu bora waziri mkuu ana nguvu kumliko.pili unasema eti sio kivuli kwakuwa akifariki rais yeye ndio anakamata mamlaka ,sasa hapo si mpaka afe,sisi hatuongelea rais akifa maana kwa nchi yetu hatujazoea rais kufa au kuuawa madarakani ndio maana makamo anawekwa yoyote yule ila kwa yaliyotokea sysytem zitakua zimejifunza.pia sijasema eti katika serikali iliyouwa watu makamo atajitetea sehemu kwamba mimi nilikua kivuli ,maana hakuna sehemu yeye anateuliwa na kuambiwa wewe ni kivuli,pia wala hakuna hiyo kesi kwamba rais aliyekuwepo kafanya mauaji anakamatwa mamako kwa kuwa serikali ni moja sio kweli.huo mfano wa wanajeshi sio relevant maana wanajenshi hao ndio walioshika bundukio kwenda kuua so hawawezi kusema eti tulipokea maagizo wakati wao ndio wameenda kuua mtu(fatilia kesi yaa zombe na sabaya) rais wa sasa ni rais ana nguvu zote ila kipindi alivyokua makamo alikua kama housegirl tu hata wakina tundulisu wanapigwa risasi bora makonda alikua na taarifa zote kuliko huyo makamo.so kwa katiba ya nchi yetu usikatae tupambane tupate katiba mpyaKama kivuli tu angejiuzulu, makamu wa rais ni mtu wa pili kwenye madaraka, ndiyo maana aliofariki Magufuli, Samia kachukua urais.
Hizi habari z akusema "makamu wa rais ni kivuli tu" ndiyo zimewapiga watu daflao walipoona Samia anaenda kushika urais baada ya kufa Magufuli.
Wao waliona wanamuweka kama kivuli tu, wakati katiba inasema akifariki rais Makamu ndiye anashika urais, rais akiwa nje mara nyingi makamu anakaimu urais.
Na hata kama ni kivuli, it doesn't matter. Ukishakubali kuwa makamu wa rais kivuli katika serikali inayoua watu, na wewe unawajibika katika mauaji hayo. Ukisema mimi nilikuwa kivuli tu, huo si utetezi, hapo umekubali kosa.
Hii ndiyo ile ile habari ya The Nuremberg Trials ya wanajeshi waliojitetea kwamba "sisi tuliua kwa kupokea amri kutoka juu tu". Ukikubali amri kutoka juu ya kuua watu, ukajitetea kwamba mimi nilikuwa kivuli tu, kapuku tu, foot soldier tu, na wewe unawajibika kwa mauaji hayo.
Sasa Zitto mbona hamsemi rais wa sasa na anafanya kama nchi imebadilisha chama na uongozi wakati rais wa sasa alikuwa makamu wa rais wa Magufuli?
😀😀😀😀 eti anajua mengi sana. Kama unamaanisha kweli basi wewe utakuwa kati ya watu ambao IQ zao ni -ve 10. Mimi ninachomkubali Zito ni jinsi alivyo Bingwa wa kucheza na vichwa vya watu wajinga kwa kutengeneza scenario za kuwaaminisha watu. Na katika hili amefanikiwa kiasi chake.Zito anajua mengi sana
Kwa hiyo wewe unaona wote wakalishe matako kama wewe unayeota moto kwenye jua kali. Amka kwani wewe huumii wenzako wanapoteswa na kupotezwa?!Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.
Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kwanza kabisa naomba uondoe hiyo dhana ya "we jamaa una akili sana...", itavuruga mjadala tu.we jamaa una akili nyingi ila hapa umepunyanga ,mifano yako yote uliyootoa hapa haiendani na nilichoandika.Mimi nimesema kwa katiba tuliyonayo makamo wa raisi ni kivuli,wewe badala ya kujibu hiyo hoja ili tujue ni kivuli kivipi wewe uansema angejiuzulu,sasa akijiuzulu si anachaguliwa mwingine halafu yanakua yaleyale,kwani wewe hujui kwamba makamo wa rais kwenye nchi yetu ni mkata utepe tu bora waziri mkuu ana nguvu kumliko.pili unasema eti sio kivuli kwakuwa akifariki rais yeye ndio anakamata mamlaka ,sasa hapo si mpaka afe,sisi hatuongelea rais akifa maana kwa nchi yetu hatujazoea rais kufa au kuuawa madarakani ndio maana makamo anawekwa yoyote yule ila kwa yaliyotokea sysytem zitakua zimejifunza.pia sijasema eti katika serikali iliyouwa watu makamo atajitetea sehemu kwamba mimi nilikua kivuli ,maana hakuna sehemu yeye anateuliwa na kuambiwa wewe ni kivuli,pia wala hakuna hiyo kesi kwamba rais aliyekuwepo kafanya mauaji anakamatwa mamako kwa kuwa serikali ni moja sio kweli.huo mfano wa wanajeshi sio relevant maana wanajenshi hao ndio walioshika bundukio kwenda kuua so hawawezi kusema eti tulipokea maagizo wakati wao ndio wameenda kuua mtu(fatilia kesi yaa zombe na sabaya) rais wa sasa ni rais ana nguvu zote ila kipindi alivyokua makamo alikua kama housegirl tu hata wakina tundulisu wanapigwa risasi bora makonda alikua na taarifa zote kuliko huyo makamo.so kwa katiba ya nchi yetu usikatae tupambane tupate katiba mpya
Zitto anajua Samia alikuwa Makamu wa Rais na anawajibika?
Samia hakwepi hili jambo.
Kwakuwa makamu wa Rais wa Magufuli.
Anahusika 100% kwa kila jambo alilofanya Magufuli kama msaidizi wake namba moja.
Tusidanganyane, katiba iko hapaMakamu wa Rais kazi zake ni mazingira, mambo ya muungano na kuzindua zindua tu.
Hawajibiki kwa mambo ya boss wake.