Nimefurahi sana leo chama changu kinaonyesha mwanga angalau wa tunakoelekea...May God bless pur country, give wisdom and understanfing to our dear Jemeddari Mkuu HE Dr. Samia Suluhu Hassan
Niseme tu kwa dhati ya moyo, katika kuijenga democracy mama ame fanya vizuri...Hatua ya pili ni kutimiza kwa vitendo utawala bora kwaku imarisha vyombo vya maamuzi, sheria na utekelezaji...Hili litawezekana tu kama titakubali kuileta Katiba mpya itakayo punguza nguvu za individuals, kuongeza nguvu ya umma ili kupunguza unafiki na kujuana ili sasa merits ndizo ziwe determinants...Lakini pia kuwe na affirmative measures maana kuna watu CV zao zilivurugwa au kukwamishwa na ni wazuri na kuna wengine ambao CV zao zime bumbwa huku wakiwa hawana contents...Kuwe na scrutiny ya hali ya juu ku peruse CVs za elite class wote na kujua wapi ni pumba na wapi ni mchele kisha kuruhusu vipaji vijionyeshe tuisaidie nchi yetu na kuileta katika ramani ya dunia....