Zitto acha kutafuta kiki, mbona hukushitaki hao washirika wako CCM leo unashoboka?

Zitto acha kutafuta kiki, mbona hukushitaki hao washirika wako CCM leo unashoboka?

Sio Wanazi wote walihukumiwa katika Nuremberg trials. Waliohukumiwa ni waliohusika na mauaji. Kuna watu katika utawala wa Hitler walijaribu hadi kumuua.
Kama kivuli tu angejiuzulu, makamu wa rais ni mtu wa pili kwenye madaraka, ndiyo maana aliofariki Magufuli, Samia kachukua urais.

Hizi habari z akusema "makamu wa rais ni kivuli tu" ndiyo zimewapiga watu daflao walipoona Samia anaenda kushika urais baada ya kufa Magufuli.

Wao waliona wanamuweka kama kivuli tu, wakati katiba inasema akifariki rais Makamu ndiye anashika urais, rais akiwa nje mara nyingi makamu anakaimu urais.

Na hata kama ni kivuli, it doesn't matter. Ukishakubali kuwa makamu wa rais kivuli katika serikali inayoua watu, na wewe unawajibika katika mauaji hayo. Ukisema mimi nilikuwa kivuli tu, huo si utetezi, hapo umekubali kosa.

Hii ndiyo ile ile habari ya The Nuremberg Trials ya wanajeshi waliojitetea kwamba "sisi tuliua kwa kupokea amri kutoka juu tu". Ukikubali amri kutoka juu ya kuua watu, ukajitetea kwamba mimi nilikuwa kivuli tu, kapuku tu, foot soldier tu, na wewe unawajibika kwa mauaji hayo.

Sasa Zitto mbona hamsemi rais wa sasa na anafanya kama nchi imebadilisha chama na uongozi wakati rais wa sasa alikuwa makamu wa rais wa Magufuli?
 
Hii yote ina maana kwamba makamu anasubiria tu kupangiwa majukumu na mkuu wake. Sasa shughuli itakuwa kuthibitisha ni majukumu gani alipangiwa amsaidie Rais wakati huo akiwa makamu. Hakuna mwanasheria atataka kujihusisha na kesi dhaifu kama hii.
Tusidanganyane, katiba iko hapa

SEHEMU YA PILI

MAKAMU WA RAIS

Mkamu mmoja wa Rais, kazi na mamlaka yake Sheria ya 1994 Na.34 ib.11
Sheria ya 2000 Na.3 ib.9 47.-
(1) Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwa ndiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla, na hususan-
(a) atamsaidia Rais katika kufuatilia utekelezaji wa siku hata siku za Mambo ya Muungano;
(b) atafanya kazi zote atakazoagizwa na Rais;
(c) atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 37(5), Makamu wa Rais atapatikana kwa kuchaguliwa katika uchaguzi ule ule kwa pamoja na Rais, baada ya kupendekezwa na chama chake wakati ule ule anapopendekezwa mgombea kiti cha Rais na watapigiwa kura kwa pamoja. Mgombea kiti cha Rais akichaguliwa basi na Mahakmu wa Rais atakuwa amechaguliwa.

(3) Mtu atateuliwa kugombea kiti cha Makamu wa Rais kwa kufuata kanuni kwamba endapo Rais wa Jamhuri ya Muungano atatoka sehemu moja ya Muungano, basi Makamu wa Rais atakuwa ni mtu anayetoka sehemu ya pili ya Muungano
 
Sio Wanazi wote walihukumiwa katika Nuremberg trials. Waliohukumiwa ni waliohusika na mauaji. Kuna watu katika utawala wa Hitler walijaribu hadi kumuua.
Sawa.

Sasa hapa unasema nini? Samia alijaribu kumuua Magufuli?

Samia alikuwa number two wa Magufuli. Number two wa Hitler hakutafutwa kushitakiwa kwa makosa ya Nazi?
 
Hii yote ina maana kwamba makamu anasubiria tu kupangiwa majukumu na mkuu wake. Sasa shughuli itakuwa kuthibitisha ni majukumu gani alipangiwa amsaidie Rais wakati huo akiwa makamu. Hakuna mwanasheria atataka kujihusisha na kesi dhaifu kama hii.
Samia hakujua watu wanauawa na kupotea?

Yani, hapa utetezi wako ni kama serikali haikuhusika. Na hata kama serikali haikuhusika, ina lawama za uzembe kuachia mauaji yaendelee bila hata kuyadhibiti au kuhukumu wauaji nchini.

Kama serikali imehusika tu, Samia anawajibika.

Kama kapangiwa atahusika kwa sababu alipangiwa na kukubali.

Kama hakupangiwa na alijua, atahusika kwa kushindwa kuripoti hata kwa umma, au hata kujiuzulu, na kuzuia mipango hiyo kama whistleblower.

Kama hata hakujua, atahusika kwa kuwa mzembe na kuachia mipango kama hii inaendelea bila yeye kujua.

Hawezi kukwepa lawama hapo.
 
Huwezi kuhukumiwa kwa kutojua uhalifu uliofanyika juu au chini yako na watu wengine.
Samia hakujua watu wanauawa na kupotea?

Yani, hapa utetezi wako ni kama serikali haikuhusika. Na hata kama serikali haikuhusika, ina lawama za uzembe kuachia mauaji yaendelee bila hata kuyadhibiti au kuhukumu wauaji nchini.

Kama serikali imehusika tu, Samia anawajibika.

Kama kapangiwa atahusika kwa sababu alipangiwa na kukubali.

Kama hakupangiwa na alijua, atahusika kwa kushindwa kuripoti hata kwa umma, au hata kujiuzulu, na kuzuia mipango hiyo kama whistleblower.

Kama hata hakujua, atahusika kwa kuwa mzembe na kuachia mipango kama hii inaendelea bila yeye kujua.

Hawezi kukwepa lawama hapo.
 
Huwezi kuhukumiwa kwa kutojua uhalifu uliofanyika juu au chini yako na watu wengine.
Unaweza. Kwa uzembe.

Ukiwa meneja wa benki, halafu watu walio chini yako ambao ulitakiwa kuwasimamia wakaiba hela, wewe hata kama hujaiba, unaweza kuwajibishwa na kuhukumiwa kwa uzembe.

Hii ishawahi kumtokea rafiki yangu alikuwa meneja wa benki Dar.
 
Hako ni kakikundi ambacho sio kinatafuta haki bali visasi vyao. Kuna watu wamelengwa, wanasahau awamu ya 5 kafa mtu mmoja tu! System nzima ni ile ile zaidi ya ku change positions.

Maloto katangulizwa kama kawaida. Watu wanawachora tu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Tatizo la watanzania ni usahaulifu na ndio maana CCM na watu wake hawajawahi kuwa na akili,mnasema sheria inafuata mkondo wake kumbe mnalipa visasi,hakika aliyekufa ni mmoja na CCM yote ya akina zitto kabwe imesahau kabisa hatari sana ukiwa na AKILI ambayo haina AKILI ndani yake ni tatizo kubwa.The time will tell,let us wait.
 
Back
Top Bottom