mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 627
WanaJF!
Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.
Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.
Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.
Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.
Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.
CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).
ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.
Una kura ngapi? Kura yako ni ya veto?
WanaJF!
Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa
kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe
hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa
kwa umma.
Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika
uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya
miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa,
nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.
Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi
kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na
taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina
tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa
akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.
Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye
kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo
mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana
wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo
wa kujenga hoja na uzalendo wake.
Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye
ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa
wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye
aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga
imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana
nchini.
CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa
hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa
ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama
hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka
udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi
hizo (soma aya ya kwanza).
ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA
NCHI.
mbona ulisema baada ya mgombea binafsi kupitishwa hakutakua na kitu kinachoitwa CHADEMA. wewe ndugu vipi mbona hauleleweki mara hii umeshasahau ulichoongea mda si mrefu kweli ukiwa muongo uwe na kumbukumbu dada.Mimi hayo ya Wassira siyajui na binafsi sitaki CHADEMA ife, ila ningependa kumuona Zitto akiwa mwenyekiti wa CHADEMA.
WanaJF!
Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.
Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.
Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.
Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.
Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.
CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).
ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.
Ndugu Hammy-D nimekusoma lakini labda ningependa kuwaambia washabiki wa Zitto Kabwe nikiwemo mimi binafsi.Ni kweli Zitto ni Kijana mwenye uwezo wa kujenga hoja na si yeye tu wapo vijana wengi tu wenye uwezo wa kujenga hoja CDM,mfano Mnyika,Mdee,Msigwa n.k.Lakini kwa mazingira ya siasa ya nchi yetu ilivyo chini ya CCM ni vigumu saana kubadilisha mfumo wa utawala nchini bila ya kuwa na kiongozi mwenye uelewa mpana wa namna CCM kinaendesha siasa tangu nchi yetu ipate uhuru mpaka sasa.Tunahitaji mtu atakaye bomoa system ya utawala wa CCM uliopo na kwa ufahamu wangu mimi ni kwamba huwezi kubomoa system ambayo huifahamu kwa kina jinsi inavyofanya kazi,wa mukitadha huu basi tunahitaji stuational leader ambaye ataweza kuiondoa nchi hapa ilipo,nionavyo mimi Dr.Slaa anauelewa vizuri mfumo wa uongozi wa CCM kiinchi kwa sababu moja tu ya msingi kwamba alikuwemo ndani ya CCM na amekuzwa kisiasa ndani ya CCM.Je,Zitto Kabwe amewahi kushiriki siasa za ndani ya CCM?.Najua jibu ni hapana,kama hapana ataweza vipi kubomoa mfumo wa utawala wa CCM na kuweka mfumo mpya kama hajui undani wa mfumo wa CCM unavyofanya kazi?Je,si kwamba tutakuwa tumebadilisha Rais lakini haelewi namna ya kubomoa mfumo kandamizi wa CCM uliopo?Kwa iyo mimi namshauri kaka yangu Zitto kama ana ndoto za kugombea urais ampishe Dr.Slaa ili aje kubadili mfumo kwa sababu anaelewa deeply kuliko Zitto ambaye amekulia CDM,sina maana ya kwamba hana uwezo wa kuongoza laasha.Naomba tu washabiki wa Zitto tujiulize kwanini Dr.Slaa anaogopwa sana na CCM kuliko mtu yoyote CDM?we angalia tu ata post za wanaCCM ndani ndani ya JF wanamtaja sana Dr.Slaa,kwanini,ni kwa sababu he is a threat to CCM.Ndugu wanaCDM msifanye makosa katika hili la urais.
WanaJF!
Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.
Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.
Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.
Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.
Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.
CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).
ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.