Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

Kaka, binafsi nakujua sana. Kwa kutumia ile ID yako nyingine...mara nyingi unasema unawatu wako watatu. CCM unae E.Lowassa,CUF unae Jussa na Chadema unae Zitto. Ok tufanye poa, sasa katika hawa watu 3 ni nani hasa unaemkubali kupita hao wengine wawili.

Mwisho, mara nyingi unapenda kutupia coment tata kwa kutumia hii ID fake na unapotaka kutupia coment za upeo wako na kazi yako unakuja na VU ID. Je ni kwanini unafanya hivi?
 
WanaJF!

Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.

Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.

Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.

Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.

Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.

CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).

ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.

Hatutaki kiherehere kwenye Chama chetu.....Baki huko huko kwa wauza unga wenzako na magaidi...
 
Last edited by a moderator:
Kama kura yako Hamy-D inaweza kutukosesha ushindi basi na iwe hivyo lakini hata siku moja ccm haiwezi kutuchagulia kiongozi wa Chadema. Na hata mara moja hujawahi kuwa na nia njema na Chadema na hata hiki unachokifanya hapa unakijua kuwa unatafuta kupandikiza chokochoko miongoni mwa wanchadema kwakuwa unatambua nguvu ya Chadema kwa sasahivi, kwahiyo mawazo kama haya u najaribu kuyaleta ili kama itafanikiwa kuleta migawanyiko kwa wanachadema basi nyie ccm mpate kupumua.

Ukweli ni kwamba kiongozi wa Chadema atakayechaguliwa na wanachama wenyewe ndiye atakuwa chaguo lao na wala hakuna cha vikundi wala kikundi cha kuweza kuamua kuwa nani awe kiongozi na nani asiwe.
 
WanaJF!

Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa
kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe
hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa
kwa umma.

Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika
uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya
miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa,
nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.

Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi
kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na
taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina
tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa
akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.

Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye
kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo
mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana
wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo
wa kujenga hoja na uzalendo wake.

Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye
ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa
wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye
aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga
imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana
nchini.

CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa
hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa
ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama
hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka
udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi
hizo (soma aya ya kwanza).

ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA
NCHI.

unalipwa kiasi gani mkuu per thread/post!?
 
Last edited by a moderator:
Chadema hawa wanafiki wakubwa.
Zitto hawezi kupewa hiyo nafasi kwani sio mchaga.
 
Mimi hayo ya Wassira siyajui na binafsi sitaki CHADEMA ife, ila ningependa kumuona Zitto akiwa mwenyekiti wa CHADEMA.
mbona ulisema baada ya mgombea binafsi kupitishwa hakutakua na kitu kinachoitwa CHADEMA. wewe ndugu vipi mbona hauleleweki mara hii umeshasahau ulichoongea mda si mrefu kweli ukiwa muongo uwe na kumbukumbu dada.
 
Ni kweli mkuu, binafsi namwamin mh Zito kwa mismamo yake, hili ni jembe sna, tatizo nae kawa mbali mno kwenye ujenzi wa chama!
 
Jamani, huyu mleta mada siyo muislaam, ni mkristu alafu siyo mfia dini I mean siyo mdini hata kidogo. Ila kwa wale ambao hamumfahamu...huyu jamaa ni mfuasi wa mzee Lowassa. Na wanakundi lao ambalo ndani yake kuna wanasiasa, waandishi wa habari kama yeye na baadhi ya wafanyabiashara. So anachokifanya hapa ni kutaka kuwagombanisha viongozi na wanachama wa Chadema kwa maslahi ya mzee Lowassa.

Huyu mtu yuko hapa kikazi kwa maslahi ya mzee Lowassa. Hutaki Unaacha.
 
WanaJF!

Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.

Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.

Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.

Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.

Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.

CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).

ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.

HAMY-D
Nimelike kwa sababu umempongeza na inaonekana unaikubali sana CHADEMA, harakati zake na viongozi wake. Ahsante hata ubuyu ulianza kama mchicha, wahenga wanasema. Hata hivyo napenda kukumbusha kwamba kuna kitu kinaitwa Working Together Ideology kikichagizwa na Collective Responsibilities.

Ndugu Zitto ni mwana CHADEMA damu, yeye ni Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA ni sehemu ya uongozi wa juu wa CHADEMA, kama unajua vizuri mgawanyo wa kazi katika nafasi ya ukatibu - utagundua kabisa Katibu katika taasisi iwayo yoyote ni mtu Mkubwa sana na ndiye Injini ya Taasisi husika. Ndugu Zitto amekuwa hivyo, yuko hivyo na ninaamini ataendelea kuwa hivyo (The Engine), kwa hiyo kazi anazozifanya ni kwa mujibu wa nafasi yake lakini pia na kipaji chake.

Nakupa Falsafa moja, wewe unaweza kuwa mzuri sana kwa Nafasi ya Mwenyekiti lakini kamwe usifit kabisa katika nafasi ya ukatibu, usije ukashangaa kwa nini Dr Slaa amewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na sasa hivi ni Katibu Mkuu,,naamini yawezekana kabisa katika nafasi ile alichaguliwa kimakosa na alikuwa hafiti,,si unaona nafasi ya Ukatibu ilivyomfit?
Nataka kukumbusha kuwa tu kwamba hata JK amewahi kuwa Waziri nadhani mdogo wa Nishati na Madini lakini hatukumsikia mpaka alipopewa nafasi ya kuwa Waziri wa Mambo ya nchi za nje, ina maana kwamba the man was much fitting in that position - ni kwa taarifa tu mkuu.
Ndo maana kuna tetesi hata zinasema, Magufuli is a good leader lakini si kwa nafasi ya Urais, nadhani unasikia pia kwamba Ndg Mbowe anafiti sana katika nafsi ya Mwenyekiti wa Chama kuliko Uraisi (hapo nimekukuna). Sasa kiongozi siasa is not done by just a single creature, it is collectively practised - Ukimpenda Zitto huna budi kuipenda CHADEMA na makandokando yake yote.
HAMY-D Shida yako ni kuwa una kitu kinaitwa Personal Hatred (Chuki Binafsi) na Dr Slaa na Mbowe though najua pia wewe ni mnafiki maana unajenga hoja katika mazingira ya kutaka kuugombanisha Uongozi. Sasa unasema eti Zitto akiwa Mwenyekiti, then mfano Mbowe asimame kugombea Urais, wewe na unafiki wako utafanya nini - msimamo wako kwa Dr Slaa na Mbowe tunaujua.

Mwisho nakushauri sana kuachana na Propaganda za kitoto, watanzania washaamka kitambo, ghilba za kijinga na kitoto zishapitwa na wakati, subiri tu kuipigia CHADEMA kura 2015 na jiandae kuishi maisha bora wakati watanzania wote watakapokombolewa kwa mara ya pili kutoka mikono ya damu CCM.

Kajipange utengeneze santuri mpya, hii tumeistukia
 
Ndugu Hammy-D nimekusoma lakini labda ningependa kuwaambia washabiki wa Zitto Kabwe nikiwemo mimi binafsi.Ni kweli Zitto ni Kijana mwenye uwezo wa kujenga hoja na si yeye tu wapo vijana wengi tu wenye uwezo wa kujenga hoja CDM,mfano Mnyika,Mdee,Msigwa n.k.Lakini kwa mazingira ya siasa ya nchi yetu ilivyo chini ya CCM ni vigumu saana kubadilisha mfumo wa utawala nchini bila ya kuwa na kiongozi mwenye uelewa mpana wa namna CCM kinaendesha siasa tangu nchi yetu ipate uhuru mpaka sasa.Tunahitaji mtu atakaye bomoa system ya utawala wa CCM uliopo na kwa ufahamu wangu mimi ni kwamba huwezi kubomoa system ambayo huifahamu kwa kina jinsi inavyofanya kazi,wa mukitadha huu basi tunahitaji stuational leader ambaye ataweza kuiondoa nchi hapa ilipo,nionavyo mimi Dr.Slaa anauelewa vizuri mfumo wa uongozi wa CCM kiinchi kwa sababu moja tu ya msingi kwamba alikuwemo ndani ya CCM na amekuzwa kisiasa ndani ya CCM.Je,Zitto Kabwe amewahi kushiriki siasa za ndani ya CCM?.Najua jibu ni hapana,kama hapana ataweza vipi kubomoa mfumo wa utawala wa CCM na kuweka mfumo mpya kama hajui undani wa mfumo wa CCM unavyofanya kazi?Je,si kwamba tutakuwa tumebadilisha Rais lakini haelewi namna ya kubomoa mfumo kandamizi wa CCM uliopo?Kwa iyo mimi namshauri kaka yangu Zitto kama ana ndoto za kugombea urais ampishe Dr.Slaa ili aje kubadili mfumo kwa sababu anaelewa deeply kuliko Zitto ambaye amekulia CDM,sina maana ya kwamba hana uwezo wa kuongoza laasha.Naomba tu washabiki wa Zitto tujiulize kwanini Dr.Slaa anaogopwa sana na CCM kuliko mtu yoyote CDM?we angalia tu ata post za wanaCCM ndani ndani ya JF wanamtaja sana Dr.Slaa,kwanini,ni kwa sababu he is a threat to CCM.Ndugu wanaCDM msifanye makosa katika hili la urais.

awezi kukuelewa.
 
Kajiandikishe kupiga kura jimboni kwake, utakuwa na nafasi nzuri saana ya kutimiza ndoto yako.
 
Usituletee ujinga wako mwigulu. Wewe tangu lini ukawa na mapenzi na CHADEMA. Acha unafiki, na usituletee upuuzi wako
 
Nikweli zito ndio alietushawishi vijana wengi kuipenda chadema.Binafsi namkubar sana kabwe.Ukefatilia sana hoja zake bungeni utagundua zito nikiongozi bora.
 
Hizi ndo maada za kuandika HAMY-D sio kila siku unakurupuka ,na nakupa like kwa mara Ýa kwanza

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Yaani huyu rafiki yangu haipiti siku mbili bila ya kumfungulia thread Dr W Slaa tena za kumkashifu tu. lakini hii yote inatokana na kundi lao ambalo wameapa iwe iwavyo watahakikisha mwaka 2015 mzee Lowassa anatinga magogoni.

Hawa wakina Zitto na Jussa anawataja kwa unafiki tu wa kuzuga na kugombanisha watu.

Hutaki Unaacha.
 
WanaJF!

Binafsi nina amini katika 'uongozi' na sio hali ya taasisi, hii ni kwa kumaanisha kuwa endapo akipatikana kiongozi bora, basi hata taasisi iwe hoi namna gani itanyooka tu na kuwa yenye tija na yenye manufaa makubwa kwa umma.

Nina yasema haya kwa kutambua kuwa hivi karibuni una tarajiwa kufanyika uchaguzi wa ndani ya CHADEMA ambao umekuwa ukifanyika kwa kila baada ya miaka mitano, hivyo mimi kama mwananchi mpenda amani, haki na usawa, nimeona nitoe yaliyo moyoni kuhusu uchaguzi huo.

Zitto ni kijana ambae amehusika kwa kiasi kikubwa katika haya mabadiliko tunayo yaona hivi sasa kwa CHADEMA na taifa kwa ujumla wake, ni kijana ambae amejitoa kuhakikisha haki ina tolewa, usawa una kuwepo na sheria zinafuatwa, na hayo amekuwa akihakikisha yanafanywa na kuonekana kufanyika.

Zitto ndiye amekuwa tanuru la vuguvugu lenye kutoa hamasa na ujasili kwa vijana kuamka na kuhoji juu ya mambo mbalimbali yanayogusa mstakabali wa taifa letu, kwani itakumbukwa vijana wengi walijiunga na CHADEMA kwa kuvutiwa na ushawishi wa Zitto, uwezo wa kujenga hoja na uzalendo wake.

Aidha, itakumbukwa kuwa Zitto ndiye aliye ifyeka njia na kuwaandalia mazingira ya kuaminiwa na wananchi hawa wabunge wapya wa CHADEMA, kwani ni Zitto ndiye aliyekuwa akiibua mambo mbalimbali ya kifisadi serikalini, hii ilijenga imani kuwa ya wananchi kwa kijana huyu na kupelekea CHADEMA kujulikana nchini.

CHADEMA (nikiwa na maana ya wanachama) kama itajivika ujasiri na kukataa hali ya kuendeshwa na kikundi cha watu wachache na ikathubutu kumpa ridhaa ndugu Zitto nafasi ya uenyekiti wa chama hicho, binafsi nitatoa kura zangu kuanzia ya urais, ubunge mpaka udiwani kwa CHADEMA bila kujali ni nani aliye simamishwa kugombea nafasi hizo (soma aya ya kwanza).

ANGALIZO: USHABIKI WA ITIKADI ZA KISIASA NI KIKWAZO KWA MAENDELEO YA NCHI.

Hamy D, kwanza ni muhimu nianze na kunukuu maneno ya Rais Obama alipo fika Ghana kwa mara ya kwanza wakati huo nchi hiyo imetoka kwenye uchaguzi wa kidemokrasia na upinzani ukaingia Ikulu alisema ni "lazima Afrika kujenga taasisi imara na sio watu imara" najua wengi wenu hampendi kuyasikia haya,kimsingi sipingi kazi nzuri anazozifanya Kabwe Zitto hapana la hasha!mie nikujuze tu kidogo yawezekana unajua kimakusudi unapotosha kwanza (1) chadema kama taasisi imejengwa hadi kufika hapo ilipo na viongozi kwa pamoja na ushiriki mkubwa wa wanachama wapenzi,pili(2)Kazi kubwa iliyofanya na wabunge wa cdm wawapo bungeni hasa bunge la tisa ambapo karibia wabunge wa majimbo walikuwa 5,kama sijasahau niwe corrected na viti maalum 6 ndio mazao ya kuitangaza cdm nikutajie baadhi marehemu Chacha Wange,Dr slaa aliyeisimamia serikali,mzee ndesamburo,Arfi,pamoja na zitto kiasi kikubwa wakisaidiana na wabunge mahili kama Halima mdee ambaye sasa ni mbunge wa jimbo,tatu(3)makosa ya ccm hasa kupitia viongozi wao kimsingi kutokana na kukidhiri kwa ufisadi ndani ya taasisi hii ya chama cha mapinduzi imetoa nafasi kubwa kwa wananchi wengi kupoteza imani kubwa kwa vijana waliowengi wakiamini kuwa keki ya taifa inamegwa na wachache,nne(4)Mwanko wa vijana wengi wa sasa kutaka mabadiliko na wanaamini njia pekee ya kuwafikisha huko wanakohitaji ni kupitia cdm,ningekufungua sana upate soma hili lakini natambua unalijua ila unajitoa tu fahamu,mwisho kabisa chadema ni taasisi iliyojiwekea taratibu na katiba imetoa utaratibu jinsi ya kuwapata viongozi kuanzia ngazi ya msingi mpaka taifa si vyema ukijipa cheo cha meneja kampeni kwa watu,na mwisho wa siku wanachama wa cdm watamchagua mwenyekiti wao.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom