Zitto akosoa wasifu wa Membe kuacha uanachama wake ACT-Wazalendo. Alaani walioshiriki kumchafua kupitia magazeti

Zitto akosoa wasifu wa Membe kuacha uanachama wake ACT-Wazalendo. Alaani walioshiriki kumchafua kupitia magazeti

Nimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.

Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.

Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.

Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
Kwani hujui magazeti ya Musiba mwanzo yalikuwa yana chapwa na mitambo ya TISS na sio siri.
 
Kwani uongo, hao tiss sio kutumika tu kutukana viongozi, bali ndio walitumika kuharibu chaguzi za nchi hii kipindi chote cha dhalimu. Huo ni ukweli ulio wazi na Zito kausema tu kukazia ukweli huo.
Kwamba alichofanya zito ni kupigia mstari tu?
 
Ni sahihi kbs... Zitto kabwe kwenye hilo yuko sahihi kwa 100% ... Hata kwenye ufisadi unaoendelea hapa nchini pia wanahusika kwa 100%
 
Kwanini Zitto asiwalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya CCM, badala yake anawalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya watu binafsi?

Au TISS wakiibeba CCM kwa Zitto sio tatizo kwasababu anajua ana "interest" zake huko, hata hizi shutuma zake kama zingekuwa zimewagusa marafiki zake ndani ya CCM asingesema chochote, ni mnafiki tu.

Makonda alipompiga Mzee Warioba ngumi wakati wa awamu ya rafiki yake, Zitto aliwahi kukemea kile kitendo? Ulimboka kutekwa na kuteswa Mabwepande, Zitto alikua hajazaliwa?!
 
Nimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.

Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.

Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.

Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
Sasa we hukumuona msiba anawatukana tena kwa kujiamini kabisa na hakuna ambaye alikuwa ana ubavu wa kumkataza? Au clip hujaziona. Hii nayo inahitaji proof. Akiri kisoda
 
Kwani uongo, hao tiss sio kutumika tu kutukana viongozi, bali ndio walitumika kuharibu chaguzi za nchi hii kipindi chote cha dhalimu. Huo ni ukweli ulio wazi na Zito kausema tu kukazia ukweli huo.
Akilizako fupisana, nikipindi gani ambacho uchaguzi haukuharibiwa?.
 
Wewe kushindwa uchaguzi 2020 isiwe sababu ya kumchukia hayati JPM.
Ccm wote walitangazwa kinguvu bila kushinda na proof ni Ile kauli ya jpm kwamba hawezi kumpa mkurugenzi mafuta ya gari halafu atangaze mpinzani
 
Rais hatakiwi kuumbua hao unaosema ni mafisadi au wauza madawa, anatakiwa awapeleke mahakamani sheria ikachukue mkondo wake. Sio kuleta siasa za kiki za kishamba.
Kwani walikuwa hawapelekwi???? Mbona wengi walishitakiwa na ninyi hao hao mkasema walisingiziwa na matokeo yake wengi hao wezi wamerudishwa serikalini waibe na uhakika wizi umeongezeka na rais alikiri. Sasa unataka nini?
 
Kwanini Zitto asiwalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya CCM, badala yake anawalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya watu binafsi?

Au TISS wakiibeba CCM kwa Zitto sio tatizo kwasababu anajua ana interest zake huko, hata hizi shutuma zake kama zingekuwa zimewagusa marafiki zake CCM asingesema chochote, ni mnafiki tu.
Katika wanasiasa wapumbavu Tanzania ni Zitto
 
Back
Top Bottom