Kwani hujui magazeti ya Musiba mwanzo yalikuwa yana chapwa na mitambo ya TISS na sio siri.Nimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.
Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.
Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.
Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
Kwamba alichofanya zito ni kupigia mstari tu?Kwani uongo, hao tiss sio kutumika tu kutukana viongozi, bali ndio walitumika kuharibu chaguzi za nchi hii kipindi chote cha dhalimu. Huo ni ukweli ulio wazi na Zito kausema tu kukazia ukweli huo.
Kuumbua wezi na mafisadi ni siasa chafu? Kuzuia madawa ya kulevya ni siasa chafu? Kenge kabisaTiss wa mwendo kasi, hao ni wale matiss walioingizwa kipindi cha dhalimu ili kumsaidia kufanya siasa chafu. Na hao ndio walifanikisha kuichafua hiyo idara ili kumfuruhisha dhalimu.
Majini litutumbweKwan hao TISS si ni watu pia? Au??
Kumbe msiba ni mtu mzito sanaKwani hujui magazeti ya Musiba mwanzo yalikuwa yana chapwa na mitambo ya TISS na sio siri.
Naona kama unajichanganya😅😅Kwanini Zitto asiwalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya CCM, badala yake anawalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya watu binafsi?
Rais hatakiwi kuumbua hao unaosema ni mafisadi au wauza madawa, anatakiwa awapeleke mahakamani sheria ikachukue mkondo wake. Sio kuleta siasa za kiki za kishamba.Kuumbua wezi na mafisadi ni siasa chafu? Kuzuia madawa ya kulevya ni siasa chafu? Kenge kabisa
Sasa we hukumuona msiba anawatukana tena kwa kujiamini kabisa na hakuna ambaye alikuwa ana ubavu wa kumkataza? Au clip hujaziona. Hii nayo inahitaji proof. Akiri kisodaNimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.
Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.
Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.
Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
Najichanganya kwenye kitu gani?Naona kama unajichanganya[emoji28][emoji28]
Wewe kushindwa uchaguzi 2020 isiwe sababu ya kumchukia hayati JPM.Kwani uongo, hao tiss sio kutumika tu kutukana viongozi, bali ndio walitumika kuharibu chaguzi za nchi hii kipindi chote cha dhalimu. Huo ni ukweli ulio wazi na Zito kausema tu kukazia ukweli huo.
Akilizako fupisana, nikipindi gani ambacho uchaguzi haukuharibiwa?.Kwani uongo, hao tiss sio kutumika tu kutukana viongozi, bali ndio walitumika kuharibu chaguzi za nchi hii kipindi chote cha dhalimu. Huo ni ukweli ulio wazi na Zito kausema tu kukazia ukweli huo.
Ccm wote walitangazwa kinguvu bila kushinda na proof ni Ile kauli ya jpm kwamba hawezi kumpa mkurugenzi mafuta ya gari halafu atangaze mpinzaniWewe kushindwa uchaguzi 2020 isiwe sababu ya kumchukia hayati JPM.
Kwani walikuwa hawapelekwi???? Mbona wengi walishitakiwa na ninyi hao hao mkasema walisingiziwa na matokeo yake wengi hao wezi wamerudishwa serikalini waibe na uhakika wizi umeongezeka na rais alikiri. Sasa unataka nini?Rais hatakiwi kuumbua hao unaosema ni mafisadi au wauza madawa, anatakiwa awapeleke mahakamani sheria ikachukue mkondo wake. Sio kuleta siasa za kiki za kishamba.
Hoja hapa ni kuwa alitumika na Tiss. Use ur brainSasa we hukumuona msiba anawatukana tena kwa kujiamini kabisa na hakuna ambaye alikuwa ana ubavu wa kumkataza? Au clip hujaziona. Hii nayo inahitaji proof. Akiri kisoda
Shetani yoyote lazima nimchukue, na hiyo 2020 hakukuwa na uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, sasa ningeshindwaje uchaguzi?Wewe kushindwa uchaguzi 2020 isiwe sababu ya kumchukia hayati JPM.
Ndiyo alitumika na TISS. Kwani usalama wa taifa maana yake nini. Au hata hujui maana yakeHoja hapa ni kuwa alitumika na Tiss. Use ur brain
Katika wanasiasa wapumbavu Tanzania ni ZittoKwanini Zitto asiwalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya CCM, badala yake anawalaumu TISS wanapofanya kazi kwa maslahi ya watu binafsi?
Au TISS wakiibeba CCM kwa Zitto sio tatizo kwasababu anajua ana interest zake huko, hata hizi shutuma zake kama zingekuwa zimewagusa marafiki zake CCM asingesema chochote, ni mnafiki tu.