Waje wajibu tuhuma. Maana akina Musiba walitamba kana kwamba wameinunua nchi.Nimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.
Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.
Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.
Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
Kwan hao TISS si ni watu pia? Au??
unataka tupoteze muda kujadili na hili nalo, ambalo hata mtoto wa primary anayo majibu yake?Nimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.
Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.
Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.
Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli.No ni mchanganyiko wa wanyama na Ndege
Jamani porojo nyingi mzoga unaharibika kule kaufukueni shauri yenuNi sahihi kbs... Zitto kabwe kwenye hilo yuko sahihi kwa 100% ... Hata kwenye ufisadi unaoendelea hapa nchini pia wanahusika kwa 100%
Sawa ila tunamshauri mbwa wake anaoza akamzikeUpumbavu wake upo wapi. Au kusema ukweli ndo upumbavu
Umeshafika Rondo? Vaa sanda sasaTiss wa mwendo kasi, hao ni wale matiss walioingizwa kipindi cha dhalimu ili kumsaidia kufanya siasa chafu. Na hao ndio walifanikisha kuichafua hiyo idara ili kumfuruhisha dhalimu.
Na 2025 imekula kwako. Lisu kakataa Nusu MkateShetani yoyote lazima nimchukue, na hiyo 2020 hakukuwa na uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura, sasa ningeshindwaje uchaguzi?
Ajiangalie asije akapotea kwa changamoto za kupumua!Nimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.
Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.
Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.
Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
Hakuwa na ujanja huo, yule aliyekuwa anazungukwa na askari kibao kama kaingia madarakani kwa kupindua nchi. Angekuwa anajiamini angejitokeza mtaani mwenyewe ndio angefurahia show.Dhalimu alikugusa matundu yako yote,huna hamu nae
Nimekutajia kwa majina baadhi ya watu waliotajwa kuhujumu nchi hii, tena kwa ripoti rasmi, na hakuna hatua yoyote aliyowachukulia. Sasa unaniletea porojo za uzalendo, wakati tunajua kipindi cha Magufuli waliokuwa wanajiita wazalendo hawakuwa na tofauti na wajinga.dah hii vita vya ki fikra ni ngumu. Sisi wazelendo tunaamini wezi wapo ila ninyi mnaamini walionewa. Ingewezekana mfe wote mnaoshabikia wezi
Wanaweza kumshughulikia kweli kutokana na nguvu walizo nazo kimamlaka, lakini hawawezi kubadili ukweli aliousema.TISS ni idara nyeti, Zitto ashughulikiwe.
Hamna shida mkojoNa 2025 imekula kwako. Lisu kakataa Nusu Mkate
Mimi na majizi ya CCM wapi na wapi?Umeshafika Rondo? Vaa sanda sasa
Ni kweli TISS ilitumika vibaya na kichaa Magufuli. Musiba alikuwa anachapia gazeti lake la Tanzanite kwenye mtambo wa Mbweni.Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ameonyesha kutoridhishwa na wasifu wa Bernard Kamillius Membe (69) kutogusia uwepo wake ndani ya chama hicho cha siasa.
Membe ambaye alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa alijiunga na ACT-Wazalendo Julai 15, 2020 akitokea chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilichomlea. Hata hivyo, Mei 29, 2022 mwanasiasa huyo alirejea CCM.
Leo Jumapili, Mei 14, 2023, mwili wa Membe unaagwa Kitaifa katika Viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kisiasa, wanadiplomasia na Serikali wakiwemo, Rais Samia Suluhu Hassan, Makamu wake, Dkt. Philip Mpango na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Mara baada ya Zitto kuitwa kutoa salamu za rambirambi kwa niaba ya vyama vya siasa, alianza kwa kutoa angalizo kwamba atatumia zaidi ya muda uliopangwa wa dakika mbili.
“Sitaongea kwa dakika mbili, tunasherehekea maisha ya mtu aliyefanya mengi katika Taifa hili. Sitaongea kwa niaba ya vyama vya siasa kwa sababu sijaongea nao kupewa hiyo ruhusa, nitaongea kwa niaba yangu binafsi kama mtu ninayemfahamu Membe na pia kama kiongozi wa chama ambacho Membe alikuwa mwanachama.
“Na ni muhimu sana historia iwekwe vizuri, maana nimemsikiliza Jaji akisoma wasifu wa marehemu hajaweka kama Membe aliwahi kuwa mwananchama wa ACT -Wazalendo na alikuwa mgombea Urais katika uchaguzi mkuu uliopita,” amesema Zitto.
Katika wasifu uliosomwa mbele ya waombolezaji eneo la siasa, umegusia kuwa amewahi kuwa Mbunge wa Mtama kuanzia 2000 hadi 2015 na alijitosa kwenye kinyang’anyiro cha urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2020 na kuishia nafasi ya tano. Huku ukiacha ushiriki wake ndani ya ACT-Wazalendo pamoja na kugombea urais na ndicho kimemfanya Zitto kufafanua.
Makinda wakeHawa wanaonyenyuka kidooogo wakati wa kuaga ni wakina nani?
Wakati wa magufuli kulikuwa na kikundi kinaitwa vijana wazalendo wa kitanzania. Kikundi kilikuwa na kina heri James, makonda, Dr abas na msigwa kutaja wachache. Hiki kilikuwa kina ratibu mambo yote mabaya ikiwemo mauaji na utekaji kwa kilichoitwa kuunga mkono juhudi za raisi. Kilikuwa na watu wa TISS. Makao yake yalikuwa pale sayansi. Huyo musiba ni zao la kikundi hiki sikulazimishi ua.ini lakini huo ndiyo ukweli. Hawa wanajua alipo Ben sananeNimeona mahala Zitto akitamka kwa kujiamini kuwa taifa letu lilifikia pabaya sababu Tiss ilitumiwa na watu wa serikali ili kutukana viongozi wastaafu na waiowastaafu.
Hapa alimaanisha wazi kuwa Tiss walimtumia Musiba.
Tiss ni idara ya serikali na sio mtu. Ni taasisi ya umma ambayo ikichafuliwa kwa tuhuma kama hizi hachafuki mtu bali ofisi ya umma.
Je ni kweli taifa letu linakuwa na idara kama hii ambayo inatumika kutukana viongozi?
Wazuri hawafiTiss wa mwendo kasi, hao ni wale matiss walioingizwa kipindi cha dhalimu ili kumsaidia kufanya siasa chafu. Na hao ndio walifanikisha kuichafua hiyo idara ili kumfuruhisha dhalimu.